Tumia akiliAcheni unafiki. Huyo Magufuli akiwa hai aliwafanyaje CHADEMA?. Si ndio huyo kaharibu chaguzi za 2019 na 2020 ili CCM ijae bungeni na kwenye Halmashauri. CCM wenyewe watumie upepo sio CHADEMA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia akiliAcheni unafiki. Huyo Magufuli akiwa hai aliwafanyaje CHADEMA?. Si ndio huyo kaharibu chaguzi za 2019 na 2020 ili CCM ijae bungeni na kwenye Halmashauri. CCM wenyewe watumie upepo sio CHADEMA.
NakaziaPunguza ujinga. Angekuwa na wafuasi wangu angeharibu uchaguzi wa 2019 na 2020. Mnaongea kana kwamba hatukuwepo. Si ndio huyu kazima mitandao nchi nzima ili apite kwa kishindo na kutengua wagombea wa upinzani kwa asilimia 80 nchi nzima 2019 na asilimia 40 2020?. Uzuri alipata kinachomtsahili.
Stupid idiot, punguza ujinga. Wewe ndio unaoongozwa na wanasiasa ndio maana nasema Jambo kama lilivyo.huyo Magufuli aliingia kwa asilimia 57 mwaka 2015 kwa tume hii ya nape. Alipoingia madarakani akafuta mikutano ya vyama na hata mikutano ya ndani ikazuiwa. Ilipofika 2019 asilimia 80 ya wagombea wa upinzani wakaenguliwa , na kugombea hivyo kulipa CCM ushindi wa asilimia 95.Ujinga unao wewe ambaye fikra zako zinaongozwa na wanasiasa badala ya kutumia akili yako kufikiri, kwa akili yako unaamini nchi upinzani upo serious na unaamini kabisa kuna mpinzani angeweza kumshinda JPM kwenye kura.
case closedMagufuli alikuwa FISADI tu kuliko mafisadi wote waliowahi kutokea Tanzania. Alitumia UWONGO na propaganda kujifanya mzalendo na mchukia rushwa, lakini yeye ndiye alikuwa mpokea rushwa mkubwa.
Watanzania by 90% ni wajinga ndiyo maana waliamini kila ambacho Magufuli alichokuwa anawambia baada ya kuvitisha vyombo vya habari visifanye kazi kwa Uhuru
Mtoto mwenyewe kubwa jinga mkubwa. Huyo Magufuli angepedwa asingezima mitandao siku ya uchaguzi. Uchungu wangu uliisha siku ilipotangazwa amekufa Tena mafichoni. Maana nilishangaa mtu gani anafanya ubaya Kama huo halafu bado anaishi?. Ningeshangaa Kama angekuwa hai Leo.Acha utoto hili liko wazi ,tatizo mkikaa kwenye ka ofisi kenu wawili watatu mna hisi mnawakilisha mawazo ya watanzania wote
Mimi siyo mwalimu. Ni mstaafu nina kipato changuIko wazi watumishi hasa waalimu ndio mnamchukia Magu
Wewe ndio utumie akili. Bado unategemea mbeleko ya marehemu kuishi. CHADEMA hatujikombi kwa mtu. Tunajisimamia wenyewe. Ndio maana huyo Magufuli kapamabana na CHADEMA weeeeh! Mpaka akafa akaiacha CHADEMA inadunda.Tumia akili
Nimetoa tu maoni mkuu , japo sijawahi kuwaelewa ccm ila nilimkubali magufuli sana na sera zake .Acheni unafiki. Huyo Magufuli akiwa hai aliwafanyaje CHADEMA?. Si ndio huyo kaharibu chaguzi za 2019 na 2020 ili CCM ijae bungeni na kwenye Halmashauri. CCM wenyewe watumie upepo sio CHADEMA.
Wewe ndio utumie akili. Bado unategemea mbeleko ya marehemu kuishi. CHADEMA hatujikombi kwa mtu. Tunajisimamia wenyewe. Ndio maana huyo Magufuli kapamabana na CHADEMA weeeeh! Mpaka akafa akaiacha CHADEMA inadundaTumia akili
Ok Mkuu, samahaniNimetoa tu maoni mkuu , japo sijawahi kuwaelewa ccm ila nilimkubali magufuli sana na sera zake .
Pole hukumuelewa Magufuli ndiyo maana ulimkubali. Ila Magufuli was a pathological liar, thief, ruthless dictator and anti democracyNimetoa tu maoni mkuu , japo sijawahi kuwaelewa ccm ila nilimkubali magufuli sana na sera zake .
Kuna kitu umekieleza lakini kwa maandishi ambayo mtu anaweza asikuelewe.Kiuhalisia ukitoa sehemu ndogo ya watu ambayo ni watumishi wa Serikali na wanasiasa Asilimia kubwa ya wananchi wanaamini katika Hayati Magufuli na wanampenda .
Ukiingia humu jukwaani ,ukiwa ofisini na ukiwa kwenye kundi la wanasiasa utaona mnaongea lugha moja kuhusu JPM ambayo ni kama 80% siyo uhalisia wa mtaani . Mtaani hawaambii kitu kibaya kuhusu JPM wakakukubali hata ukiwa na ushahidi.
CHADEMA wanakwenda mikutano wanadai sera baada ya muda anasimama kiongozi anaanza mzungumzia vibaya hayati Magufuli kitu ambacho hapo alipo zaidi ya 80% wanaamini katika utendaji wake ,Unategemea nini ?
Vivyo hivyo kwa Msigwa Kiuhalisia ukitoa wanufaika wa mfumo wa CCM watu wanaamini katika Upinzani hususani CHADEMA mbali na mapungufu yake , kwa hiyo anaposimama na kuisema vibaya watu hawamuelewi hata wana CCM mule ndani baadhi hawamuelewi .
Hivyo CDM na msigwa kuna haja ya kubadilika mnafanya makosa yale yale ,someni .
Kama CHADEMA akisimama akinadi sera zake na kusimama na Mazuri ya JPM ambayo raia wanayaoona huko mitaani wataeleweka Sana .
Unaona ulivyo wa ajabu mimi namzunguzia JPM wewe unaleta mambo ya wabunge hapa. JPM aligombea ubunge 2020? angewazuia wagombea uraisi hapo ungekuwa na chakusema kuwa JPM aliogopa kushindwa that's why akawazui wapinzani wake. Vita ya wabunge ilikuwa baina ya wao kwa wao JPM anahusikaje hapo, ndio nasema punguza mihemko.Stupid idiot, punguza ujinga. Wewe ndio unaoongozwa na wanasiasa ndio maana nasema Jambo kama lilivyo.huyo Magufuli aliingia kwa asilimia 57 mwaka 2015 kwa tume hii ya nape. Alipoingia madarakani akafuta mikutano ya vyama na hata mikutano ya ndani ikazuiwa. Ilipofika 2019 asilimia 80 ya wagombea wa upinzani wakaenguliwa , na kugombea hivyo kulipa CCM ushindi wa asilimia 95.
Mwaka 2020 wakaenguliwa wagombea asilimia 45 wa upinzani Tena wengine wakiwa wamemaliza ubunge wao Kama Susan Kiwanga wa CHADEMA. Sio hivyo siku ya kupiga kura mtandao wa internet ilizimwa na ujinga ukafanyika. Kama alikuwa ana uwezo wa kushinda haya yote aliruhusu ya nini?.
Na alivyomjinga, akafanya yote hayo kuikomoa CHADEMA, ila hata miezi mitatu hakumaliza kwenye Urais. Very stupid person.
Ni kweli wapinzani hawana saikolojia ya siasa na kampeni hawasemi mazuri ya JPM ili kulichukua kundi kubwa la JPM lililotelekezwa na ccm. Wakeup men. Badilisheni mfumo wa kampeni majukwaani.Mkuu hawa watu hawawezi kukuelewa ila majibu watayapata 2025, watarudi kusema wameibiwa kura wakati kosa lao ni kutokukubali ukweli kuwa JPM anawafuasi wengi ambao wangepaswa kuwapata.
Unajaribu kutuseti eti tulisifu lile shetani lenu la Chato!!Kiuhalisia ukitoa sehemu ndogo ya watu ambayo ni watumishi wa Serikali na wanasiasa Asilimia kubwa ya wananchi wanaamini katika Hayati Magufuli na wanampenda .
Ukiingia humu jukwaani ,ukiwa ofisini na ukiwa kwenye kundi la wanasiasa utaona mnaongea lugha moja kuhusu JPM ambayo ni kama 80% siyo uhalisia wa mtaani . Mtaani hawaambii kitu kibaya kuhusu JPM wakakukubali hata ukiwa na ushahidi.
CHADEMA wanakwenda mikutano wanadai sera baada ya muda anasimama kiongozi anaanza mzungumzia vibaya hayati Magufuli kitu ambacho hapo alipo zaidi ya 80% wanaamini katika utendaji wake ,Unategemea nini ?
Vivyo hivyo kwa Msigwa Kiuhalisia ukitoa wanufaika wa mfumo wa CCM watu wanaamini katika Upinzani hususani CHADEMA mbali na mapungufu yake , kwa hiyo anaposimama na kuisema vibaya watu hawamuelewi hata wana CCM mule ndani baadhi hawamuelewi .
Hivyo CDM na msigwa kuna haja ya kubadilika mnafanya makosa yale yale ,someni .
Kama CHADEMA akisimama akinadi sera zake na kusimama na Mazuri ya JPM ambayo raia wanayaoona huko mitaani wataeleweka Sana .
Unajaribu kutuseti ili tulisifu lile shetani lenu la Chato!!Kiuhalisia ukitoa sehemu ndogo ya watu ambayo ni watumishi wa Serikali na wanasiasa Asilimia kubwa ya wananchi wanaamini katika Hayati Magufuli na wanampenda .
Ukiingia humu jukwaani ,ukiwa ofisini na ukiwa kwenye kundi la wanasiasa utaona mnaongea lugha moja kuhusu JPM ambayo ni kama 80% siyo uhalisia wa mtaani . Mtaani hawaambii kitu kibaya kuhusu JPM wakakukubali hata ukiwa na ushahidi.
CHADEMA wanakwenda mikutano wanadai sera baada ya muda anasimama kiongozi anaanza mzungumzia vibaya hayati Magufuli kitu ambacho hapo alipo zaidi ya 80% wanaamini katika utendaji wake ,Unategemea nini ?
Vivyo hivyo kwa Msigwa Kiuhalisia ukitoa wanufaika wa mfumo wa CCM watu wanaamini katika Upinzani hususani CHADEMA mbali na mapungufu yake , kwa hiyo anaposimama na kuisema vibaya watu hawamuelewi hata wana CCM mule ndani baadhi hawamuelewi .
Hivyo CDM na msigwa kuna haja ya kubadilika mnafanya makosa yale yale ,someni .
Kama CHADEMA akisimama akinadi sera zake na kusimama na Mazuri ya JPM ambayo raia wanayaoona huko mitaani wataeleweka Sana .
hapa siyo kujikomba ni kucheza na siasa. Politics is a game of chance. chadema fanyeni SWOT ANALYSISWewe ndio utumie akili. Bado unategemea mbeleko ya marehemu kuishi. CHADEMA hatujikombi kwa mtu. Tunajisimamia wenyewe. Ndio maana huyo Magufuli kapamabana na CHADEMA weeeeh! Mpaka akafa akaiacha CHADEMA inadunda
Kushindwa upinzani haitokuwa mara ya kwanza, je mara zote hizo ilikuwa ni kwa sababu ya kulinanga lile shetani lenu la Chato?Mkuu hawa watu hawawezi kukuelewa ila majibu watayapata 2025, watarudi kusema wameibiwa kura wakati kosa lao ni kutokukubali ukweli kuwa JPM anawafuasi wengi ambao wangepaswa kuwapata.
Usijali mkuu, nimeona tu japo magufuli alikua na mapungufu mengi tu ila ana upepo kutokana na wenzake kuzingua zaidi , nikaona kama huo upepo unaweza kutumika kisiasa, siujajua tena siasa zilivyo mkuu , mfano wa lowasa pia .Ok Mkuu, samahani
Mtaji wa lile jitu lao ilikuwa ni kwa hao 90%Magufuli alikuwa FISADI tu kuliko mafisadi wote waliowahi kutokea Tanzania. Alitumia UWONGO na propaganda kujifanya mzalendo na mchukia rushwa, lakini yeye ndiye alikuwa mpokea rushwa mkubwa.
Watanzania by 90% ni wajinga ndiyo maana waliamini kila ambacho Magufuli alichokuwa anawambia baada ya kuvitisha vyombo vya habari visifanye kazi kwa Uhuru