Kinachofanywa na Mchungaji Msigwa hakina tofauti na kinachofanywa na CHADEMA, nadhani kuna haja ya kubadilika

Kinachofanywa na Mchungaji Msigwa hakina tofauti na kinachofanywa na CHADEMA, nadhani kuna haja ya kubadilika

Acheni unafiki. Huyo Magufuli akiwa hai aliwafanyaje CHADEMA?. Si ndio huyo kaharibu chaguzi za 2019 na 2020 ili CCM ijae bungeni na kwenye Halmashauri. CCM wenyewe watumie upepo sio CHADEMA.
Tumia akili
 
Punguza ujinga. Angekuwa na wafuasi wangu angeharibu uchaguzi wa 2019 na 2020. Mnaongea kana kwamba hatukuwepo. Si ndio huyu kazima mitandao nchi nzima ili apite kwa kishindo na kutengua wagombea wa upinzani kwa asilimia 80 nchi nzima 2019 na asilimia 40 2020?. Uzuri alipata kinachomtsahili.
Nakazia
 
Ujinga unao wewe ambaye fikra zako zinaongozwa na wanasiasa badala ya kutumia akili yako kufikiri, kwa akili yako unaamini nchi upinzani upo serious na unaamini kabisa kuna mpinzani angeweza kumshinda JPM kwenye kura.
Stupid idiot, punguza ujinga. Wewe ndio unaoongozwa na wanasiasa ndio maana nasema Jambo kama lilivyo.huyo Magufuli aliingia kwa asilimia 57 mwaka 2015 kwa tume hii ya nape. Alipoingia madarakani akafuta mikutano ya vyama na hata mikutano ya ndani ikazuiwa. Ilipofika 2019 asilimia 80 ya wagombea wa upinzani wakaenguliwa , na kugombea hivyo kulipa CCM ushindi wa asilimia 95.


Mwaka 2020 wakaenguliwa wagombea asilimia 45 wa upinzani Tena wengine wakiwa wamemaliza ubunge wao Kama Susan Kiwanga wa CHADEMA. Sio hivyo siku ya kupiga kura mtandao wa internet ilizimwa na ujinga ukafanyika. Kama alikuwa ana uwezo wa kushinda haya yote aliruhusu ya nini?.


Na alivyomjinga, akafanya yote hayo kuikomoa CHADEMA, ila hata miezi mitatu hakumaliza kwenye Urais. Very stupid person.
 
Magufuli alikuwa FISADI tu kuliko mafisadi wote waliowahi kutokea Tanzania. Alitumia UWONGO na propaganda kujifanya mzalendo na mchukia rushwa, lakini yeye ndiye alikuwa mpokea rushwa mkubwa.

Watanzania by 90% ni wajinga ndiyo maana waliamini kila ambacho Magufuli alichokuwa anawambia baada ya kuvitisha vyombo vya habari visifanye kazi kwa Uhuru
case closed
 
Acha utoto hili liko wazi ,tatizo mkikaa kwenye ka ofisi kenu wawili watatu mna hisi mnawakilisha mawazo ya watanzania wote
Mtoto mwenyewe kubwa jinga mkubwa. Huyo Magufuli angepedwa asingezima mitandao siku ya uchaguzi. Uchungu wangu uliisha siku ilipotangazwa amekufa Tena mafichoni. Maana nilishangaa mtu gani anafanya ubaya Kama huo halafu bado anaishi?. Ningeshangaa Kama angekuwa hai Leo.
 
Acheni unafiki. Huyo Magufuli akiwa hai aliwafanyaje CHADEMA?. Si ndio huyo kaharibu chaguzi za 2019 na 2020 ili CCM ijae bungeni na kwenye Halmashauri. CCM wenyewe watumie upepo sio CHADEMA.
Nimetoa tu maoni mkuu , japo sijawahi kuwaelewa ccm ila nilimkubali magufuli sana na sera zake .
 
Kiuhalisia ukitoa sehemu ndogo ya watu ambayo ni watumishi wa Serikali na wanasiasa Asilimia kubwa ya wananchi wanaamini katika Hayati Magufuli na wanampenda .

Ukiingia humu jukwaani ,ukiwa ofisini na ukiwa kwenye kundi la wanasiasa utaona mnaongea lugha moja kuhusu JPM ambayo ni kama 80% siyo uhalisia wa mtaani . Mtaani hawaambii kitu kibaya kuhusu JPM wakakukubali hata ukiwa na ushahidi.

CHADEMA wanakwenda mikutano wanadai sera baada ya muda anasimama kiongozi anaanza mzungumzia vibaya hayati Magufuli kitu ambacho hapo alipo zaidi ya 80% wanaamini katika utendaji wake ,Unategemea nini ?

Vivyo hivyo kwa Msigwa Kiuhalisia ukitoa wanufaika wa mfumo wa CCM watu wanaamini katika Upinzani hususani CHADEMA mbali na mapungufu yake , kwa hiyo anaposimama na kuisema vibaya watu hawamuelewi hata wana CCM mule ndani baadhi hawamuelewi .

Hivyo CDM na msigwa kuna haja ya kubadilika mnafanya makosa yale yale ,someni .

Kama CHADEMA akisimama akinadi sera zake na kusimama na Mazuri ya JPM ambayo raia wanayaoona huko mitaani wataeleweka Sana .​
Kuna kitu umekieleza lakini kwa maandishi ambayo mtu anaweza asikuelewe.
 
Stupid idiot, punguza ujinga. Wewe ndio unaoongozwa na wanasiasa ndio maana nasema Jambo kama lilivyo.huyo Magufuli aliingia kwa asilimia 57 mwaka 2015 kwa tume hii ya nape. Alipoingia madarakani akafuta mikutano ya vyama na hata mikutano ya ndani ikazuiwa. Ilipofika 2019 asilimia 80 ya wagombea wa upinzani wakaenguliwa , na kugombea hivyo kulipa CCM ushindi wa asilimia 95.


Mwaka 2020 wakaenguliwa wagombea asilimia 45 wa upinzani Tena wengine wakiwa wamemaliza ubunge wao Kama Susan Kiwanga wa CHADEMA. Sio hivyo siku ya kupiga kura mtandao wa internet ilizimwa na ujinga ukafanyika. Kama alikuwa ana uwezo wa kushinda haya yote aliruhusu ya nini?.


Na alivyomjinga, akafanya yote hayo kuikomoa CHADEMA, ila hata miezi mitatu hakumaliza kwenye Urais. Very stupid person.
Unaona ulivyo wa ajabu mimi namzunguzia JPM wewe unaleta mambo ya wabunge hapa. JPM aligombea ubunge 2020? angewazuia wagombea uraisi hapo ungekuwa na chakusema kuwa JPM aliogopa kushindwa that's why akawazui wapinzani wake. Vita ya wabunge ilikuwa baina ya wao kwa wao JPM anahusikaje hapo, ndio nasema punguza mihemko.
 
Mkuu hawa watu hawawezi kukuelewa ila majibu watayapata 2025, watarudi kusema wameibiwa kura wakati kosa lao ni kutokukubali ukweli kuwa JPM anawafuasi wengi ambao wangepaswa kuwapata.
Ni kweli wapinzani hawana saikolojia ya siasa na kampeni hawasemi mazuri ya JPM ili kulichukua kundi kubwa la JPM lililotelekezwa na ccm. Wakeup men. Badilisheni mfumo wa kampeni majukwaani.
 
Kiuhalisia ukitoa sehemu ndogo ya watu ambayo ni watumishi wa Serikali na wanasiasa Asilimia kubwa ya wananchi wanaamini katika Hayati Magufuli na wanampenda .

Ukiingia humu jukwaani ,ukiwa ofisini na ukiwa kwenye kundi la wanasiasa utaona mnaongea lugha moja kuhusu JPM ambayo ni kama 80% siyo uhalisia wa mtaani . Mtaani hawaambii kitu kibaya kuhusu JPM wakakukubali hata ukiwa na ushahidi.

CHADEMA wanakwenda mikutano wanadai sera baada ya muda anasimama kiongozi anaanza mzungumzia vibaya hayati Magufuli kitu ambacho hapo alipo zaidi ya 80% wanaamini katika utendaji wake ,Unategemea nini ?

Vivyo hivyo kwa Msigwa Kiuhalisia ukitoa wanufaika wa mfumo wa CCM watu wanaamini katika Upinzani hususani CHADEMA mbali na mapungufu yake , kwa hiyo anaposimama na kuisema vibaya watu hawamuelewi hata wana CCM mule ndani baadhi hawamuelewi .

Hivyo CDM na msigwa kuna haja ya kubadilika mnafanya makosa yale yale ,someni .

Kama CHADEMA akisimama akinadi sera zake na kusimama na Mazuri ya JPM ambayo raia wanayaoona huko mitaani wataeleweka Sana .​
Unajaribu kutuseti eti tulisifu lile shetani lenu la Chato!!
Kiuhalisia ukitoa sehemu ndogo ya watu ambayo ni watumishi wa Serikali na wanasiasa Asilimia kubwa ya wananchi wanaamini katika Hayati Magufuli na wanampenda .

Ukiingia humu jukwaani ,ukiwa ofisini na ukiwa kwenye kundi la wanasiasa utaona mnaongea lugha moja kuhusu JPM ambayo ni kama 80% siyo uhalisia wa mtaani . Mtaani hawaambii kitu kibaya kuhusu JPM wakakukubali hata ukiwa na ushahidi.

CHADEMA wanakwenda mikutano wanadai sera baada ya muda anasimama kiongozi anaanza mzungumzia vibaya hayati Magufuli kitu ambacho hapo alipo zaidi ya 80% wanaamini katika utendaji wake ,Unategemea nini ?

Vivyo hivyo kwa Msigwa Kiuhalisia ukitoa wanufaika wa mfumo wa CCM watu wanaamini katika Upinzani hususani CHADEMA mbali na mapungufu yake , kwa hiyo anaposimama na kuisema vibaya watu hawamuelewi hata wana CCM mule ndani baadhi hawamuelewi .

Hivyo CDM na msigwa kuna haja ya kubadilika mnafanya makosa yale yale ,someni .

Kama CHADEMA akisimama akinadi sera zake na kusimama na Mazuri ya JPM ambayo raia wanayaoona huko mitaani wataeleweka Sana .​
Unajaribu kutuseti ili tulisifu lile shetani lenu la Chato!!
Tutalisema tu no matter mpo wajinga wengi kiasi gani mnaoliabudia
 
GSq3JaOaMAAE402.jpg
 
Wewe ndio utumie akili. Bado unategemea mbeleko ya marehemu kuishi. CHADEMA hatujikombi kwa mtu. Tunajisimamia wenyewe. Ndio maana huyo Magufuli kapamabana na CHADEMA weeeeh! Mpaka akafa akaiacha CHADEMA inadunda
hapa siyo kujikomba ni kucheza na siasa. Politics is a game of chance. chadema fanyeni SWOT ANALYSIS
 
Mkuu hawa watu hawawezi kukuelewa ila majibu watayapata 2025, watarudi kusema wameibiwa kura wakati kosa lao ni kutokukubali ukweli kuwa JPM anawafuasi wengi ambao wangepaswa kuwapata.
Kushindwa upinzani haitokuwa mara ya kwanza, je mara zote hizo ilikuwa ni kwa sababu ya kulinanga lile shetani lenu la Chato?
 
Ok Mkuu, samahani
Usijali mkuu, nimeona tu japo magufuli alikua na mapungufu mengi tu ila ana upepo kutokana na wenzake kuzingua zaidi , nikaona kama huo upepo unaweza kutumika kisiasa, siujajua tena siasa zilivyo mkuu , mfano wa lowasa pia .
 
Magufuli alikuwa FISADI tu kuliko mafisadi wote waliowahi kutokea Tanzania. Alitumia UWONGO na propaganda kujifanya mzalendo na mchukia rushwa, lakini yeye ndiye alikuwa mpokea rushwa mkubwa.

Watanzania by 90% ni wajinga ndiyo maana waliamini kila ambacho Magufuli alichokuwa anawambia baada ya kuvitisha vyombo vya habari visifanye kazi kwa Uhuru
Mtaji wa lile jitu lao ilikuwa ni kwa hao 90%
 
Back
Top Bottom