min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😁😁Pole hukumuelewa Magufuli ndiyo maana ulimkubali. Ila Magufuli was a pathological liar, thief, ruthless dictator and anti democracy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁Pole hukumuelewa Magufuli ndiyo maana ulimkubali. Ila Magufuli was a pathological liar, thief, ruthless dictator and anti democracy
Tena kafa kifo cha kidhalili kabisaUongo tu, mnaona aibu. Siyo huyu Magufuli aliyewasulubu CHADEMA kwa uonevu?. Leo yupo wapi?. Kafa CHADEMA bado ipo.
Basi itakuwa vyeti fekiMimi siyo mwalimu. Ni mstaafu nina kipato changu
Wewe ndio utumie akili. Bado unategemea mbeleko ya marehemu kuishi. CHADEMA hatujikombi kwa mtu. Tunajisimamia wenyewe. Ndio maana huyo Magufuli kapamabana na CHADEMA weeeeh! Mpaka akafa akaiacha CHADEMA inadunda
Endeleeni kujidanganyaWewe ndio utumie akili. Bado unategemea mbeleko ya marehemu kuishi. CHADEMA hatujikombi kwa mtu. Tunajisimamia wenyewe. Ndio maana huyo Magufuli kapamabana na CHADEMA weeeeh! Mpaka akafa akaiacha CHADEMA inadunda
Miaka 5 bila ya siasa.Imekaaje hyo?Ni kweli chadema wangeutumia upepo wa Magufuli bila kujalisha wananchi wengi wangewaunga mkono.
marehemu alikuwa mhainiNimetoa tu maoni mkuu , japo sijawahi kuwaelewa ccm ila nilimkubali magufuli sana na sera zake .
Noma sanaMiaka 5 bila ya siasa.Imekaaje hyo?
Wewe mburura tambua kuwa 90% ya wabunge wote waliopo bungeni sasa hivi waliteuliwa na Magufuli mwenyewe. Kama utabisha na hili wewe ni kiaziUnaona ulivyo wa ajabu mimi namzunguzia JPM wewe unaleta mambo ya wabunge hapa. JPM aligombea ubunge 2020 angewazuia wagombea uraisi hapo ungekuwa na chakusema kuwa JPM aliogopa kushindwa that's why akawazui wapinzani wake. Vita ya wabunge ilikuwa baina ya wao kwa wao JPM anahusikaje hapo, ndio nasema punguza mihemko.
Vyeti feki siyo issue kabisa. Mbona Magufuli mwenyewe alikuwa na PhD Feki lakini alipewa kuwa Rais wa Tanzania. Njoo na hoja nyingineBasi itakuwa vyeti feki
Una akili ndogo sanaWewe mburura tambua kuwa 90% ya wabunge wote waliopo bungeni sasa hivi waliteuliwa na Magufuli mwenyewe. Kama utabisha na hili wewe ni kiazi
AiseeVyeti feki siyo issue kabisa. Mbona Magufuli mwenyewe alikuwa na PhD Feki lakini alipewa kuwa Rais wa Tanzania. Njoo na hoja nyingine
Wewe una kamasi kichwani huna akili hata moja.Una akili ndogo sana
Wewe ni kilazaWewe una kamasi kichwani huna akili hata moja.
Huyo jamaa yenu aliwafanya misukuleIko wazi watumishi hasa waalimu ndio mnamchukia Magu
Propaganda zake zilidunda humu JF ndio akataka kuifungia.Magufuli alikuwa FISADI tu kuliko mafisadi wote waliowahi kutokea Tanzania. Alitumia UWONGO na propaganda kujifanya mzalendo na mchukia rushwa, lakini yeye ndiye alikuwa mpokea rushwa mkubwa.
Watanzania by 90% ni wajinga ndiyo maana waliamini kila ambacho Magufuli alichokuwa anawambia baada ya kuvitisha vyombo vya habari visifanye kazi kwa Uhuru
Matapeli na wezi aliwakomesha sana na kuwafirisi ndio maana mnamchukia 🤣🤣🤣🤣Vyeti feki siyo issue kabisa. Mbona Magufuli mwenyewe alikuwa na PhD Feki lakini alipewa kuwa Rais wa Tanzania. Njoo na hoja nyingine
Acheni ujinga watu wawili watatu mnatumia multiple IDs kuonekana wengiAcha marehemu asimangwe alizingua mno,kwahiyo sisi sio wa mtaani