Kinachoiponza Tanzania ni mashitaka dhidi ya mwana habari Erick Kabendera, ni kama marehemu Jamal Khashoggi (Mwanahabari)

Kinachoiponza Tanzania ni mashitaka dhidi ya mwana habari Erick Kabendera, ni kama marehemu Jamal Khashoggi (Mwanahabari)

Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.
Hajashtakiwa kwa kuichafua serikali,mbona unakuwa zwazwa?
 
Duh
Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi tusipoangilia vizuri itaponzwa na kabila moja hivi linapenda sifa saaana,na enzi za nyerere lilijaribu kuasi historia iko vizuri inathibitisha.
Kabila hili limejazana nchi za magharibi lakini wengi wao ndio kazi za akina kabendera,
Wewe ni kenge kweli kweli, unahukumuje watu kwa makabila yao????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.

Kuna tofauti ya nchi na serikali. Na kuna tofauti ya kusema kweli na kuichafua nchi. Haya mambo usipokuwa na upeo mkubwa wa kujua mambo lazima utayachanganya. Nakushauri jitahidi ujue tofauti ya hayo mambo.
 
Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.
Yaani tuwekewe vikwazo sababu ya kabendera? Au impact ya vikwazo huifahamu?
 
Huijui nguvu ya wanahabari wa kimataifa wewe
Uwe unasoma na kuelewa, nimemjibu alivyosema kama ni vikwazo tuwekewe tu ila kabendera anyooshwe. Ndo nkamuuliza anajua impact ya vikwazo mpaka aseme tuwekewe tu sababu ya mwandishi moja anayeandika makala?
 
Tumegusa asset yao, wanataka aachiwe ili kutoleta ugumu ku recruit next assets.
Vita ya kidiplomasia inahitaji akili kuliko nguvu. Yaani wananchi wateseke sababu ya asset moja ya wazungu? Akili ya aina gani hii? Ni raia wenu, mnashindwa nn kumpangia kazi nyingine mpaka atese raia? Au hatuna akili za kijasusi kutatua tatizo dogo kama la kabendera?
 
S
Uongo mkubwa wameweka sababu zao zipo wazi inamaana soamlia na Irani nako kuna kabendela

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri utaona akienda mahakamani sasa ni nini kitatokea. Mashitaka serikali yako ya hovyo inayotoa ni ya kihuni huni!
 
Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.
Bahati mbaya sana wewe utatangulia kabla yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.
Hebu tuweke kumbukumbu sahihi. Huyu Eric Kabendera ni investigative Journalist mwenye kiwango cha juu katika kufuatilia na kuchambua.

Kama angekuwa na kosa la kuchafua nchi, basi tungeona Serikali ikimfungulia mashtaka yanayoendana na Sheria ya Huduma ya Habari au Sheria Cyber crime ya Mwaka 2015.

Kitendo cha kumfungulia mashtaka kwa Sheria ya Kuhujumu Uchumi na kutakatisha fedha ni dhahiri kuwa Eric Kabendera alikuwa ameandika habari za ukweli ambazo Serikali haina majibu. Kama katakatisha fedha basi kesi ianze na tuone ushahidi. Kinyume cha hapo ni unyanyasaji na dhuluma dhidi ya haki za Binadamu.
 
Back
Top Bottom