Kinachoiponza Tanzania ni mashitaka dhidi ya mwana habari Erick Kabendera, ni kama marehemu Jamal Khashoggi (Mwanahabari)

Kinachoiponza Tanzania ni mashitaka dhidi ya mwana habari Erick Kabendera, ni kama marehemu Jamal Khashoggi (Mwanahabari)

Hiki ndiyo kilichoiponza Tanzania, Ukaguzi wa uhakika kwa wanaoenda Marekani
Screenshot_20200122-212927.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.

Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.
Lianglie hili...kuwa eliminated wewe basi kama ni sifa...
 
S
Subiri utaona akienda mahakamani sasa ni nini kitatokea. Mashitaka serikali yako ya hovyo inayotoa ni ya kihuni huni!
Ban ni nchi zenye idadi kubwa ya waislamu duniani ilianza kitambo sio jambo jipya ila kwa kuwa wewe unaubongo kdogo kama mwenyekiti wako mbowe huwezi jua lolote ni kupanua vidole tu


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo jiwe anachekelea tu haoni kama kuna kitu anapoteza, mwisho wa siku atasema mabeberu wana wivu na sisi kisa tumenunua Bombardier na kujenga barabara.... hahahhaha

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Mtu akiwa against huu utawala ni kibaraka. Tushazoea hiyo kauli na mnatuita mawakala wa mabeberu.
Acha kutudanganya hili la vikwazo halina uhusiano wowote na hayo uliyo yaandika kabisa kila mtu ana jua fika hapa swala ni mambo ya ugaidi na kifupi hapa sio kwamba raia watazuiwa kwenda marekani bali ni kwamba watu watakuwa wana kaguliwa sana ili kuingia marekani wala hakuna uhusiano wowote na mambo ya demokrasia sijui kabendera hakuna kitu kama hicho
 
Back
Top Bottom