Huna ishu.
Wewe kijana. Kumbe bado upo LumumbaHuna ishu.
Mabeberu wanatuonea wivu kwa maendeleo yetuUongo mkubwa wameweka sababu zao zipo wazi inamaana soamlia na Irani nako kuna kabendela
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee kijana mshennzi. Vipi hapo?Wee mzee mshennzi...
Nipo ufipa.Wewe kijana. Kumbe bado upo Lumumba
Kwani tatizo nini ?Badala ya muendelee kupigania tume huru nyie mmekomaa na maigizo ya Marekani ambayo matokeo yake ni 0
Sent using Jamii Forums mobile app
Lianglie hili...kuwa eliminated wewe basi kama ni sifa...Kabendera alikuwa anatumika na Acacia na baadhi ya nchi kuchafua taswira ya Tz, hii ndio sababu kubwa wanaifuatilia kesi ya Kabendera kwa ukaribu sana maana ni “asset” yao. Adhabu ya Kabendera kwa nchi nyingi ni kifo maana hana tofauti na spy au foreign agent yoyote anayetumika kuchafua nchi.
Hata wakiweka vikwazo hakuna kumuachia Kabendera hadi apate haki na stahili yake kwa kuichafua nchi ili iwe fundisho kwa nyumbu yoyote ukitumika kama foreign agents wewe ni adui wa nchi na adhabu inayokustahili ki usalama ni kuwa eliminated.
Hujafatilia au hukufatilia ,tayari waliohukumiwa kunyongwa kwakufanya tukio lile, wameshaambiwa niwengine ,mchakato umeaza upya .wakienda hovyo watakumbanaSasa mbona Saudi Arabia hawajawekewa vikwazo, kama ndio hivyo?
Hahahah wewe uko kwa kina samatta uko unataka tununue mkate mmoja bilion tano kama zimbabwe ya komred kipepe mgabeWaviongeze tu hivyo vikwazo maana kenge hasikii mpaka atoke damu.
Sasa mbona Saudi Arabia hawajawekewa vikwazo, kama ndio hivyo?
Hakuna kitu kama hicho. Marekani hawezi hata siku moja kumwekea vikwazo Saudi Arabia, unasikia? Amka wewe.Hujafatilia au hukufatilia ,tayari waliohukumiwa kunyongwa kwakufanya tukio lile, wameshaambiwa niwengine ,mchakato umeaza upya .wakienda hovyo watakumbana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ban ni nchi zenye idadi kubwa ya waislamu duniani ilianza kitambo sio jambo jipya ila kwa kuwa wewe unaubongo kdogo kama mwenyekiti wako mbowe huwezi jua lolote ni kupanua vidole tuS
Subiri utaona akienda mahakamani sasa ni nini kitatokea. Mashitaka serikali yako ya hovyo inayotoa ni ya kihuni huni!
Kwahiyo mataifa mengine ya Afrika yana ukaguzi wa uhakika siyo?Hiki ndiyo kilichoiponza Tanzania, Ukaguzi wa uhakika kwa wanaoenda MarekaniView attachment 1331184
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia dawa imekuingia lofa weweSasa mbona Saudi Arabia hawajawekewa vikwazo, kama ndio hivyo?
Acha kutudanganya hili la vikwazo halina uhusiano wowote na hayo uliyo yaandika kabisa kila mtu ana jua fika hapa swala ni mambo ya ugaidi na kifupi hapa sio kwamba raia watazuiwa kwenda marekani bali ni kwamba watu watakuwa wana kaguliwa sana ili kuingia marekani wala hakuna uhusiano wowote na mambo ya demokrasia sijui kabendera hakuna kitu kama hichoMtu akiwa against huu utawala ni kibaraka. Tushazoea hiyo kauli na mnatuita mawakala wa mabeberu.
Dawa gani lofa wewe.