Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaimba kama wanaija àjamani mbona hatuwasemi na kingereza chao.Kiingereza cha agodai mabebe na Necta wapi na wapi!!😁😂
Yeye ni mnaija?Anaimba kama wanaija àjamani mbona hatuwasemi na kingereza chao. Mfano Tecno Miles usísoma lyrics zake unaweza muda mwingine usielewe anasema nini
Ni mwafrika na mwafrika hasa toka nchi kama Tanzania ambapo Kingereza sio lugha yetu ya kwanza wala ya pili asilimia kubwa ya watu huwezi kuzungumza kama native au fluent.Yeye ni mnaija?
Hata wanaija wanakosea na accent yao na ile sio standard English..Ni mwafrika na mwafrika hasa toka nchi kama Tanzania ambapo Kingereza sio lugha yetu ya kwanza wala ya pili asilimia kubwa ya watu huwezi kuzungumza kama native au fluent. Hata ukikutana na mfaransa au mgermany anazungumza Kingereza, wengi sio fluent tena wanaunga umga sentence.
Tena ije kuwa hawa wasanii wetu waliojifunza kingereza ukubwani
SamvuItakuwa tako lile
Ova
Ni binadamu kama walivyo binadamu wengine kwa nini asiwepo mtu wa kumpenda?ni ajabu sana kwamba leo hii kuna mwanaume anaweza kuwa anampenda kajala, yaani kajala yuleyule tunayemjua. ni upofu kabisa.
tabia zake chief. ninamjua ujue.siongei from nowhere. namjua kiundani mno.Ni binadamu kama walivyo binadamu wengine kwa nini asiwepo mtu wa kumpenda?
Kama kiswahili tu tunakosea ije kuwa kingereza bwana.Hata wanaija wanakosea na accent yao na ile sio standard English..Kama anataka kuongea kiingereza basi ni vyema akaongea American standard English au British Standard English hizi mbili zinakubalika hata kama akiwa anakoseakosea lakini atakuwa yumo kwenye misingi ya kiingereza na sio kuunga tela la makosa ya wanaija kosa sio kuongea kiingereza kibaya kosa kuiba English ya wanaija ambayo humo humo imechanganya kihausa,Igbo n.k
Mapenzi yana nguvu, hujawah ona wanaume wanaoa machangu si kwamba hajui anajua kabisatabia zake chief. ninamjua ujue.siongei from nowhere. namjua kiundani mno.
Tabia zako wewe zinajulikanaje nzuri au tamu?tabia zake chief. ninamjua ujue.siongei from nowhere. namjua kiundani mno.
Aise huyu manzi atakuwa ana K tamu sana...aliwavuruga sana Bashite na Abdul Nsembo kama siyo maombi ya maria na umafia wa shamim mwasha tungeongea mengineHuyo manzi alimsumbua sana Majani miaka ile.
Walipoachana produzer alipoteza hata focus ya kupiga midundo pale BR na akatoa songi la kuomba sorry akiwa na Dully nadhani ilikuwa inaitwa Please forgive me.
Yani majani na ubabe wake wote alikuwa mnyonge sana na kuomba sana misamaha akaenda chora na matatoo mikononi ili kujifariji lakini manzi alikaza mbaya.
Nahisi huyu Konde asipotuliza akili anaweza akaharibu kazi kama manzi hatarudisha moyo nyuma.
Hapo inatakiwa aachane na mitandao atafute watu wa busara kwenda kuzungumza nae pia mapenzi yana nguvu hao ma DC wa inst walimponza et ana mzungu siyo level zao aliotangulia naoSema mtu akishamove on aise kurudi na ule moyo wa mwanzo nikazi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ndio ilikiwaje nae kwa bashite na ilikuwa kwa shamim mwasha embu eleza kilichotokea na msala ulimalizwaje.Aise huyu manzi atakuwa ana K tamu sana...aliwavuruga sana Bashite na Abdul Nsembo kama siyo maombi ya maria na umafia wa shamim mwasha tungeongea mengine
Kimewaka tenaSema mtu akishamove on aise kurudi na ule moyo wa mwanzo nikazi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app