Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni ukabila na chuki binafsi kwa Rais Samia

Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni ukabila na chuki binafsi kwa Rais Samia

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Msishangae Kwanini Luhaga Mpina Amekuwa akitoa taarifa za uzushi,uongo na uchonganishi mara kwa mara. Nyote ni mashahidi wa namna ambavyo amekuwa akitoa taarifa kuonyesha kana kwamba hakuna kilichofanyika awamu hii pamoja na kutoa maneno yenye kutaka kuleta na kujenga hofu kwa watanzania kwa taarifa na takwimu zisizo na ukweli wala uhalisia wa aina yoyote ile.

Amekuwa akijifanya kuzunguka zunguka kumshambulia waziri wa Fedha Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba. Lakini kiuhalisia huwa anamrenga Rais Samia kutaka kumchafua yeye binafsi pamoja na serikali yake.

Lengo lake ni kutamani kumuangusha au kumuondolea Imani aliyojijengea kwa watanzania, inayotokana na uchapakazi wake uliotukuka na uliogusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti ambao sasa wana sauti na nguvu katika Maisha yao ya kila siku.

Soma Pia: Luhaga Mpina: Wanaomsifia Rais Samia ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu

Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni Ukabila na chuki binafsi aliyo nayo na iliyomjaa kifuani pake zidi ya Rais Wetu. Ni mtu ambaye alitamani kutokuona Rais wetu na Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan akiapishwa na akikalia kiti cha Urais kuongoza Taifa hili.

Kama angekuwa na uwezo wa aina yoyote ile pengine angepindua hadi maelekezo na matakwa ya katiba yetu ili tu Mama yetu asiwe Rais. Ni mtu ambaye ana hasira kubwa sana hasa anapoona Rais wetu anaendelea kupata uungwaji mkono pamoja na kuendelea kukubalika,kupendwa na kupongezwa sana na watanzania kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya muda mfupi.

Ndio Maana kwa hasira , Ukabila na chuki zake binafsi alizonazo anaamua kutafutiza na kuunganisha vitakwimu vya uongo ili kujaribu kumchafua RAIS wetu. Bila kujua kuwa Watanzania siyo mambumbumbu wala mazuzu.

Kwa sababu kila mtanzania anafahamu ya kuwa miradi mikubwa na ya kimkakati kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere liliachwa na Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli likiwa 34% lakini kwa sasa limekamilika na lipo tayari kwa uzalishaji wa umeme wa takribani megawati 2115.

Mradi wa SGR ulikuwa ndio unaanza wakati wa Hayati Dkt John Magufuli lakini kwa sasa watu wanasafiri utafikiri wapo ulaya kutoka Dar es salaam hadi Dodoma ndani ya muda mfupi sana. Watu wanatambua mikoa mbalimbali ilikuwa haijaunganishwa katika Grid ya Taifa lakini sasa imeunganishwa.

Watanzania wanatambua ni Rais Samia ambaye amepandisha mapato ya TRA bila kukimbizana na kushikiana mitutu ya bunduki katika kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa tangia kupata uhuru wa Taifa letu. Ni Rais Samia kwa juhudi zake kupitia Royal Tour Amepelekea watalii kuongezeka na kufikia Millioni 1.8 na hivyo kuongeza mapato maradufu.

Rais Samia ameongeza Bajeti ya kilimo kutoka Billioni 250 na sasa ni zaidi ya Trilioni moja. Jambo ambalo limegusa maisha ya watanzania moja kwa moja hasa kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi ni wakulima na hivyo ukiinua kilimo unakuwa umewainua mamilioni ya watanzania. Hapo hapo ikumbukwe Mama amekuwa akitoa Mabilioni ya pesa kama Ruzuku katika kilimo hususan pembejeo hasa mbolea. Jambo lililopelekea mbolea kuwa na bei ambayo mwananchi anaweza kuimudu.

Rais Samia ni yeye ambaye anatoa zaidi ya Bilioni 33 kila mwezi kama Ruzuku kwa ajili ya kugharamia Elimu bure ili watoto wote hadi wa maskini wapate Elimu na kutimiza ndoto zao. Ni Mama huyu huyu ambaye amefikisha zaidi ya Billion mia 7 bejeti ya Elimu ya juu kwa ajili ya kuwakopesha wanafunzi wa vyuo ili wapate Elimu na hapo bado sijazungumzia Elfu kumi ambayo wanavyuo wana pata kama pesa ya kujikimu kila siku..

Ni Mama huyu huyu ambaye amewapandisha madaraja na kuwaongeza mishahara na nyongeza ya kila mwaka watumishi wa umma wote hapa Nchini.ambao Awali walisota na kuona ajira na utumishi wa umma ni kama adhabu na utumwa. Lakini leo wana morali ya kufanya kazi na kuwahudumia watanzania kwa upendo na ukarimu wafikao katika ofisi za umma kupata huduma.

Ni Rais Samia huyu huyu ambaye mara baada ya kuingia tu madarakani alianza kumwaga ajira kwa vijana maelfu kwa maelfu ambazo hapo Awali ilikuwa ni kizungumkuti. Na kupelekea vijana wengi kuishi mitaani pasipo Matumaini zaidi ya kujikatia tamaa tu. Hata hivi sasa kuna ajira zaidi ya elfu 14 za ualimu zinasubiri vijana ili wakalitumikie Taifa lao baada ya kukamilika kwa usaili unaoendelea mikoani kwote na hapo sijazungumzia na zile ajira za afya.

Rais Samia amefanya mambo mengi sana ambayo siwezi kuyamaliza kuyataja hapa. Hii ndio maana hata CCM kwa kutambua uchapakazi wa Mama yetu imeamua kumpitisha Mama kuwa Mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera katika uchaguzi Mkuu wa hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu wa 2025.

Hili jambo ndilo lililomuumiza sana Mpina ambaye amejaa ukabila na chuki binafsi tu kwa Rais wetu. Embu muangalie hapa chini alivyokosa raha wakati wenzake wote wanashangilia pale ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma wakati wa mkutano mkuu maalumu uliompitisha Mama kugombea Urais

Yeye alishindwa hata kuvaa tu sare za chama na akaamua kuingia ukumbini utafikiri mvamizi wa kikao. Embu muangalie hapa ndio muelewe hiki ninachowaambieni.👎
Screenshot_20250120-072243_2.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msishangae Kwanini Luhaga Mpina Amekuwa akitoa taarifa za uzushi,uongo na uchonganishi mara kwa mara. Nyote ni mashahidi wa namna ambavyo amekuwa akitoa taarifa kuonyesha kana kwamba hakuna kilichofanyika awamu hii pamoja na kutoa maneno yenye kutaka kuleta na kujenga hofu kwa watanzania kwa taarifa na takwimu zisizo na ukweli wala uhalisia wa aina yoyote ile.

Amekuwa akijifanya kuzunguka zunguka kumshambulia waziri wa Fedha Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba. Lakini kiuhalisia huwa anamrenga Rais Samia kutaka kumchafua yeye binafsi pamoja na serikali yake.

Lengo lake ni kutamani kumuangusha au kumuondolea Imani aliyojijengea kwa watanzania, inayotokana na uchapakazi wake uliotukuka na uliogusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti ambao sasa wana sauti na nguvu katika Maisha yao ya kila siku.

Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni Ukabila na chuki binafsi aliyo nayo na iliyomjaa kifuani pake zidi ya Rais Wetu. Ni mtu ambaye alitamani kutokuona Rais wetu na Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan akiapishwa na akikalia kiti cha Urais kuongoza Taifa hili.

Kama angekuwa na uwezo wa aina yoyote ile pengine angepindua hadi maelekezo na matakwa ya katiba yetu ili tu Mama yetu asiwe Rais. Ni mtu ambaye ana hasira kubwa sana hasa anapoona Rais wetu anaendelea kupata uungwaji mkono pamoja na kuendelea kukubalika,kupendwa na kupongezwa sana na watanzania kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya muda mfupi.

Ndio Maana kwa hasira , Ukabila na chuki zake binafsi alizonazo anaamua kutafutiza na kuunganisha vitakwimu vya uongo ili kujaribu kumchafua RAIS wetu. Bila kujua kuwa Watanzania siyo mambumbumbu wala mazuzu.

Kwa sababu kila mtanzania anafahamu ya kuwa miradi mikubwa na ya kimkakati kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere liliachwa na Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli likiwa 34% lakini kwa sasa limekamilika na lipo tayari kwa uzalishaji wa umeme wa takribani megawati 2115.

Mradi wa SGR ulikuwa ndio unaanza wakati wa Hayati Dkt John Magufuli lakini kwa sasa watu wanasafiri utafikiri wapo ulaya kutoka Dar es salaam hadi Dodoma ndani ya muda mfupi sana. Watu wanatambua mikoa mbalimbali ilikuwa haijaunganishwa katika Grid ya Taifa lakini sasa imeunganishwa.

Watanzania wanatambua ni Rais Samia ambaye amepandisha mapato ya TRA bila kukimbizana na kushikiana mitutu ya bunduki katika kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa tangia kupata uhuru wa Taifa letu. Ni Rais Samia kwa juhudi zake kupitia Royal Tour Amepelekea watalii kuongezeka na kufikia Millioni 1.8 na hivyo kuongeza mapato maradufu.

Rais Samia ameongeza Bajeti ya kilimo kutoka Billioni 250 na sasa ni zaidi ya Trilioni moja. Jambo ambalo limegusa maisha ya watanzania moja kwa moja hasa kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi ni wakulima na hivyo ukiinua kilimo unakuwa umewainua mamilioni ya watanzania. Hapo hapo ikumbukwe Mama amekuwa akitoa Mabilioni ya pesa kama Ruzuku katika kilimo hususan pembejeo hasa mbolea. Jambo lililopelekea mbolea kuwa na bei ambayo mwananchi anaweza kuimudu.

Rais Samia ni yeye ambaye anatoa zaidi ya Bilioni 33 kila mwezi kama Ruzuku kwa ajili ya kugharamia Elimu bure ili watoto wote hadi wa maskini wapate Elimu na kutimiza ndoto zao. Ni Mama huyu huyu ambaye amefikisha zaidi ya Billion mia 7 bejeti ya Elimu ya juu kwa ajili ya kuwakopesha wanafunzi wa vyuo ili wapate Elimu na hapo bado sijazungumzia Elfu kumi ambayo wanavyuo wana pata kama pesa ya kujikimu kila siku..

Ni Mama huyu huyu ambaye amewapandisha madaraja na kuwaongeza mishahara na nyongeza ya kila mwaka watumishi wa umma wote hapa Nchini.ambao Awali walisota na kuona ajira na utumishi wa umma ni kama adhabu na utumwa. Lakini leo wana morali ya kufanya kazi na kuwahudumia watanzania kwa upendo na ukarimu wafikao katika ofisi za umma kupata huduma.

Ni Rais Samia huyu huyu ambaye mara baada ya kuingia tu madarakani alianza kumwaga ajira kwa vijana maelfu kwa maelfu ambazo hapo Awali ilikuwa ni kizungumkuti. Na kupelekea vijana wengi kuishi mitaani pasipo Matumaini zaidi ya kujikatia tamaa tu. Hata hivi sasa kuna ajira zaidi ya elfu 14 za ualimu zinasubiri vijana ili wakalitumikie Taifa lao baada ya kukamilika kwa usaili unaoendelea mikoani kwote na hapo sijazungumzia na zile ajira za afya.

Rais Samia amefanya mambo mengi sana ambayo siwezi kuyamaliza kuyataja hapa. Hii ndio maana hata CCM kwa kutambua uchapakazi wa Mama yetu imeamua kumpitisha Mama kuwa Mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera katika uchaguzi Mkuu wa hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu wa 2025.

Hili jambo ndilo lililomuumiza sana Mpina ambaye amejaa ukabila na chuki binafsi tu kwa Rais wetu. Embu muangalie hapa chini alivyokosa raha wakati wenzake wote wanashangilia pale ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma wakati wa mkutano mkuu maalumu uliompitisha Mama kugombea Urais

Yeye alishindwa hata kuvaa tu sare za chama na akaamua kuingia ukumbini utafikiri mvamizi wa kikao. Embu muangalie hapa ndio muelewe hiki ninachowaambieni.👎View attachment 3220283

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ukabila unatokea wapi? Kwenye ukweli lazima watu waseme mambo mengine ni upuuzi wako tu!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msishangae Kwanini Luhaga Mpina Amekuwa akitoa taarifa za uzushi,uongo na uchonganishi mara kwa mara. Nyote ni mashahidi wa namna ambavyo amekuwa akitoa taarifa kuonyesha kana kwamba hakuna kilichofanyika awamu hii pamoja na kutoa maneno yenye kutaka kuleta na kujenga hofu kwa watanzania kwa taarifa na takwimu zisizo na ukweli wala uhalisia wa aina yoyote ile.

Amekuwa akijifanya kuzunguka zunguka kumshambulia waziri wa Fedha Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba. Lakini kiuhalisia huwa anamrenga Rais Samia kutaka kumchafua yeye binafsi pamoja na serikali yake.

Lengo lake ni kutamani kumuangusha au kumuondolea Imani aliyojijengea kwa watanzania, inayotokana na uchapakazi wake uliotukuka na uliogusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti ambao sasa wana sauti na nguvu katika Maisha yao ya kila siku.

Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni Ukabila na chuki binafsi aliyo nayo na iliyomjaa kifuani pake zidi ya Rais Wetu. Ni mtu ambaye alitamani kutokuona Rais wetu na Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan akiapishwa na akikalia kiti cha Urais kuongoza Taifa hili.

Kama angekuwa na uwezo wa aina yoyote ile pengine angepindua hadi maelekezo na matakwa ya katiba yetu ili tu Mama yetu asiwe Rais. Ni mtu ambaye ana hasira kubwa sana hasa anapoona Rais wetu anaendelea kupata uungwaji mkono pamoja na kuendelea kukubalika,kupendwa na kupongezwa sana na watanzania kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya muda mfupi.

Ndio Maana kwa hasira , Ukabila na chuki zake binafsi alizonazo anaamua kutafutiza na kuunganisha vitakwimu vya uongo ili kujaribu kumchafua RAIS wetu. Bila kujua kuwa Watanzania siyo mambumbumbu wala mazuzu.

Kwa sababu kila mtanzania anafahamu ya kuwa miradi mikubwa na ya kimkakati kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere liliachwa na Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli likiwa 34% lakini kwa sasa limekamilika na lipo tayari kwa uzalishaji wa umeme wa takribani megawati 2115.

Mradi wa SGR ulikuwa ndio unaanza wakati wa Hayati Dkt John Magufuli lakini kwa sasa watu wanasafiri utafikiri wapo ulaya kutoka Dar es salaam hadi Dodoma ndani ya muda mfupi sana. Watu wanatambua mikoa mbalimbali ilikuwa haijaunganishwa katika Grid ya Taifa lakini sasa imeunganishwa.

Watanzania wanatambua ni Rais Samia ambaye amepandisha mapato ya TRA bila kukimbizana na kushikiana mitutu ya bunduki katika kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa tangia kupata uhuru wa Taifa letu. Ni Rais Samia kwa juhudi zake kupitia Royal Tour Amepelekea watalii kuongezeka na kufikia Millioni 1.8 na hivyo kuongeza mapato maradufu.

Rais Samia ameongeza Bajeti ya kilimo kutoka Billioni 250 na sasa ni zaidi ya Trilioni moja. Jambo ambalo limegusa maisha ya watanzania moja kwa moja hasa kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi ni wakulima na hivyo ukiinua kilimo unakuwa umewainua mamilioni ya watanzania. Hapo hapo ikumbukwe Mama amekuwa akitoa Mabilioni ya pesa kama Ruzuku katika kilimo hususan pembejeo hasa mbolea. Jambo lililopelekea mbolea kuwa na bei ambayo mwananchi anaweza kuimudu.

Rais Samia ni yeye ambaye anatoa zaidi ya Bilioni 33 kila mwezi kama Ruzuku kwa ajili ya kugharamia Elimu bure ili watoto wote hadi wa maskini wapate Elimu na kutimiza ndoto zao. Ni Mama huyu huyu ambaye amefikisha zaidi ya Billion mia 7 bejeti ya Elimu ya juu kwa ajili ya kuwakopesha wanafunzi wa vyuo ili wapate Elimu na hapo bado sijazungumzia Elfu kumi ambayo wanavyuo wana pata kama pesa ya kujikimu kila siku..

Ni Mama huyu huyu ambaye amewapandisha madaraja na kuwaongeza mishahara na nyongeza ya kila mwaka watumishi wa umma wote hapa Nchini.ambao Awali walisota na kuona ajira na utumishi wa umma ni kama adhabu na utumwa. Lakini leo wana morali ya kufanya kazi na kuwahudumia watanzania kwa upendo na ukarimu wafikao katika ofisi za umma kupata huduma.

Ni Rais Samia huyu huyu ambaye mara baada ya kuingia tu madarakani alianza kumwaga ajira kwa vijana maelfu kwa maelfu ambazo hapo Awali ilikuwa ni kizungumkuti. Na kupelekea vijana wengi kuishi mitaani pasipo Matumaini zaidi ya kujikatia tamaa tu. Hata hivi sasa kuna ajira zaidi ya elfu 14 za ualimu zinasubiri vijana ili wakalitumikie Taifa lao baada ya kukamilika kwa usaili unaoendelea mikoani kwote na hapo sijazungumzia na zile ajira za afya.

Rais Samia amefanya mambo mengi sana ambayo siwezi kuyamaliza kuyataja hapa. Hii ndio maana hata CCM kwa kutambua uchapakazi wa Mama yetu imeamua kumpitisha Mama kuwa Mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera katika uchaguzi Mkuu wa hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu wa 2025.

Hili jambo ndilo lililomuumiza sana Mpina ambaye amejaa ukabila na chuki binafsi tu kwa Rais wetu. Embu muangalie hapa chini alivyokosa raha wakati wenzake wote wanashangilia pale ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma wakati wa mkutano mkuu maalumu uliompitisha Mama kugombea Urais

Yeye alishindwa hata kuvaa tu sare za chama na akaamua kuingia ukumbini utafikiri mvamizi wa kikao. Embu muangalie hapa ndio muelewe hiki ninachowaambieni.👎View attachment 3220283

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naamini nyuma ya Luhaga Mpina Kuna kundi kubwa la Wana CCM, ni vile tu hawana ujasiri
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msishangae Kwanini Luhaga Mpina Amekuwa akitoa taarifa za uzushi,uongo na uchonganishi mara kwa mara. Nyote ni mashahidi wa namna ambavyo amekuwa akitoa taarifa kuonyesha kana kwamba hakuna kilichofanyika awamu hii pamoja na kutoa maneno yenye kutaka kuleta na kujenga hofu kwa watanzania kwa taarifa na takwimu zisizo na ukweli wala uhalisia wa aina yoyote ile.

Amekuwa akijifanya kuzunguka zunguka kumshambulia waziri wa Fedha Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba. Lakini kiuhalisia huwa anamrenga Rais Samia kutaka kumchafua yeye binafsi pamoja na serikali yake.

Lengo lake ni kutamani kumuangusha au kumuondolea Imani aliyojijengea kwa watanzania, inayotokana na uchapakazi wake uliotukuka na uliogusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti ambao sasa wana sauti na nguvu katika Maisha yao ya kila siku.

Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni Ukabila na chuki binafsi aliyo nayo na iliyomjaa kifuani pake zidi ya Rais Wetu. Ni mtu ambaye alitamani kutokuona Rais wetu na Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan akiapishwa na akikalia kiti cha Urais kuongoza Taifa hili.

Kama angekuwa na uwezo wa aina yoyote ile pengine angepindua hadi maelekezo na matakwa ya katiba yetu ili tu Mama yetu asiwe Rais. Ni mtu ambaye ana hasira kubwa sana hasa anapoona Rais wetu anaendelea kupata uungwaji mkono pamoja na kuendelea kukubalika,kupendwa na kupongezwa sana na watanzania kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya muda mfupi.

Ndio Maana kwa hasira , Ukabila na chuki zake binafsi alizonazo anaamua kutafutiza na kuunganisha vitakwimu vya uongo ili kujaribu kumchafua RAIS wetu. Bila kujua kuwa Watanzania siyo mambumbumbu wala mazuzu.

Kwa sababu kila mtanzania anafahamu ya kuwa miradi mikubwa na ya kimkakati kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere liliachwa na Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli likiwa 34% lakini kwa sasa limekamilika na lipo tayari kwa uzalishaji wa umeme wa takribani megawati 2115.

Mradi wa SGR ulikuwa ndio unaanza wakati wa Hayati Dkt John Magufuli lakini kwa sasa watu wanasafiri utafikiri wapo ulaya kutoka Dar es salaam hadi Dodoma ndani ya muda mfupi sana. Watu wanatambua mikoa mbalimbali ilikuwa haijaunganishwa katika Grid ya Taifa lakini sasa imeunganishwa.

Watanzania wanatambua ni Rais Samia ambaye amepandisha mapato ya TRA bila kukimbizana na kushikiana mitutu ya bunduki katika kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa tangia kupata uhuru wa Taifa letu. Ni Rais Samia kwa juhudi zake kupitia Royal Tour Amepelekea watalii kuongezeka na kufikia Millioni 1.8 na hivyo kuongeza mapato maradufu.

Rais Samia ameongeza Bajeti ya kilimo kutoka Billioni 250 na sasa ni zaidi ya Trilioni moja. Jambo ambalo limegusa maisha ya watanzania moja kwa moja hasa kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi ni wakulima na hivyo ukiinua kilimo unakuwa umewainua mamilioni ya watanzania. Hapo hapo ikumbukwe Mama amekuwa akitoa Mabilioni ya pesa kama Ruzuku katika kilimo hususan pembejeo hasa mbolea. Jambo lililopelekea mbolea kuwa na bei ambayo mwananchi anaweza kuimudu.

Rais Samia ni yeye ambaye anatoa zaidi ya Bilioni 33 kila mwezi kama Ruzuku kwa ajili ya kugharamia Elimu bure ili watoto wote hadi wa maskini wapate Elimu na kutimiza ndoto zao. Ni Mama huyu huyu ambaye amefikisha zaidi ya Billion mia 7 bejeti ya Elimu ya juu kwa ajili ya kuwakopesha wanafunzi wa vyuo ili wapate Elimu na hapo bado sijazungumzia Elfu kumi ambayo wanavyuo wana pata kama pesa ya kujikimu kila siku..

Ni Mama huyu huyu ambaye amewapandisha madaraja na kuwaongeza mishahara na nyongeza ya kila mwaka watumishi wa umma wote hapa Nchini.ambao Awali walisota na kuona ajira na utumishi wa umma ni kama adhabu na utumwa. Lakini leo wana morali ya kufanya kazi na kuwahudumia watanzania kwa upendo na ukarimu wafikao katika ofisi za umma kupata huduma.

Ni Rais Samia huyu huyu ambaye mara baada ya kuingia tu madarakani alianza kumwaga ajira kwa vijana maelfu kwa maelfu ambazo hapo Awali ilikuwa ni kizungumkuti. Na kupelekea vijana wengi kuishi mitaani pasipo Matumaini zaidi ya kujikatia tamaa tu. Hata hivi sasa kuna ajira zaidi ya elfu 14 za ualimu zinasubiri vijana ili wakalitumikie Taifa lao baada ya kukamilika kwa usaili unaoendelea mikoani kwote na hapo sijazungumzia na zile ajira za afya.

Rais Samia amefanya mambo mengi sana ambayo siwezi kuyamaliza kuyataja hapa. Hii ndio maana hata CCM kwa kutambua uchapakazi wa Mama yetu imeamua kumpitisha Mama kuwa Mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera katika uchaguzi Mkuu wa hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu wa 2025.

Hili jambo ndilo lililomuumiza sana Mpina ambaye amejaa ukabila na chuki binafsi tu kwa Rais wetu. Embu muangalie hapa chini alivyokosa raha wakati wenzake wote wanashangilia pale ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma wakati wa mkutano mkuu maalumu uliompitisha Mama kugombea Urais

Yeye alishindwa hata kuvaa tu sare za chama na akaamua kuingia ukumbini utafikiri mvamizi wa kikao. Embu muangalie hapa ndio muelewe hiki ninachowaambieni.👎View attachment 3220283

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watu wengi wanaoishi ukanda wa ziwa kuu ni wakabila sana ushaidi ni kinachoendelea goma Rwanda na the like
 
Naamini nyuma ya Luhaga Mpina Kuna kundi kubwa la Wana CCM, ni vile tu hawana ujasiri
Kundi kubwa la mamilioni ya wana CCM tupo nyuma ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ndio maana tulimpitisha kwa kishindo kikuu kugombea Urais uchaguzi Mkuu wa mwaka Huu.
 
Back
Top Bottom