Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni ukabila na chuki binafsi kwa Rais Samia

Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni ukabila na chuki binafsi kwa Rais Samia

Ndugu zangu Watanzania,

Msishangae Kwanini Luhaga Mpina Amekuwa akitoa taarifa za uzushi,uongo na uchonganishi mara kwa mara. Nyote ni mashahidi wa namna ambavyo amekuwa akitoa taarifa kuonyesha kana kwamba hakuna kilichofanyika awamu hii pamoja na kutoa maneno yenye kutaka kuleta na kujenga hofu kwa watanzania kwa taarifa na takwimu zisizo na ukweli wala uhalisia wa aina yoyote ile.

Amekuwa akijifanya kuzunguka zunguka kumshambulia waziri wa Fedha Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba. Lakini kiuhalisia huwa anamrenga Rais Samia kutaka kumchafua yeye binafsi pamoja na serikali yake.

Lengo lake ni kutamani kumuangusha au kumuondolea Imani aliyojijengea kwa watanzania, inayotokana na uchapakazi wake uliotukuka na uliogusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti ambao sasa wana sauti na nguvu katika Maisha yao ya kila siku.

Soma Pia: Luhaga Mpina: Wanaomsifia Rais Samia ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu

Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni Ukabila na chuki binafsi aliyo nayo na iliyomjaa kifuani pake zidi ya Rais Wetu. Ni mtu ambaye alitamani kutokuona Rais wetu na Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan akiapishwa na akikalia kiti cha Urais kuongoza Taifa hili.

Kama angekuwa na uwezo wa aina yoyote ile pengine angepindua hadi maelekezo na matakwa ya katiba yetu ili tu Mama yetu asiwe Rais. Ni mtu ambaye ana hasira kubwa sana hasa anapoona Rais wetu anaendelea kupata uungwaji mkono pamoja na kuendelea kukubalika,kupendwa na kupongezwa sana na watanzania kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya muda mfupi.

Ndio Maana kwa hasira , Ukabila na chuki zake binafsi alizonazo anaamua kutafutiza na kuunganisha vitakwimu vya uongo ili kujaribu kumchafua RAIS wetu. Bila kujua kuwa Watanzania siyo mambumbumbu wala mazuzu.

Kwa sababu kila mtanzania anafahamu ya kuwa miradi mikubwa na ya kimkakati kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere liliachwa na Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli likiwa 34% lakini kwa sasa limekamilika na lipo tayari kwa uzalishaji wa umeme wa takribani megawati 2115.

Mradi wa SGR ulikuwa ndio unaanza wakati wa Hayati Dkt John Magufuli lakini kwa sasa watu wanasafiri utafikiri wapo ulaya kutoka Dar es salaam hadi Dodoma ndani ya muda mfupi sana. Watu wanatambua mikoa mbalimbali ilikuwa haijaunganishwa katika Grid ya Taifa lakini sasa imeunganishwa.

Watanzania wanatambua ni Rais Samia ambaye amepandisha mapato ya TRA bila kukimbizana na kushikiana mitutu ya bunduki katika kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa tangia kupata uhuru wa Taifa letu. Ni Rais Samia kwa juhudi zake kupitia Royal Tour Amepelekea watalii kuongezeka na kufikia Millioni 1.8 na hivyo kuongeza mapato maradufu.

Rais Samia ameongeza Bajeti ya kilimo kutoka Billioni 250 na sasa ni zaidi ya Trilioni moja. Jambo ambalo limegusa maisha ya watanzania moja kwa moja hasa kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi ni wakulima na hivyo ukiinua kilimo unakuwa umewainua mamilioni ya watanzania. Hapo hapo ikumbukwe Mama amekuwa akitoa Mabilioni ya pesa kama Ruzuku katika kilimo hususan pembejeo hasa mbolea. Jambo lililopelekea mbolea kuwa na bei ambayo mwananchi anaweza kuimudu.

Rais Samia ni yeye ambaye anatoa zaidi ya Bilioni 33 kila mwezi kama Ruzuku kwa ajili ya kugharamia Elimu bure ili watoto wote hadi wa maskini wapate Elimu na kutimiza ndoto zao. Ni Mama huyu huyu ambaye amefikisha zaidi ya Billion mia 7 bejeti ya Elimu ya juu kwa ajili ya kuwakopesha wanafunzi wa vyuo ili wapate Elimu na hapo bado sijazungumzia Elfu kumi ambayo wanavyuo wana pata kama pesa ya kujikimu kila siku..

Ni Mama huyu huyu ambaye amewapandisha madaraja na kuwaongeza mishahara na nyongeza ya kila mwaka watumishi wa umma wote hapa Nchini.ambao Awali walisota na kuona ajira na utumishi wa umma ni kama adhabu na utumwa. Lakini leo wana morali ya kufanya kazi na kuwahudumia watanzania kwa upendo na ukarimu wafikao katika ofisi za umma kupata huduma.

Ni Rais Samia huyu huyu ambaye mara baada ya kuingia tu madarakani alianza kumwaga ajira kwa vijana maelfu kwa maelfu ambazo hapo Awali ilikuwa ni kizungumkuti. Na kupelekea vijana wengi kuishi mitaani pasipo Matumaini zaidi ya kujikatia tamaa tu. Hata hivi sasa kuna ajira zaidi ya elfu 14 za ualimu zinasubiri vijana ili wakalitumikie Taifa lao baada ya kukamilika kwa usaili unaoendelea mikoani kwote na hapo sijazungumzia na zile ajira za afya.

Rais Samia amefanya mambo mengi sana ambayo siwezi kuyamaliza kuyataja hapa. Hii ndio maana hata CCM kwa kutambua uchapakazi wa Mama yetu imeamua kumpitisha Mama kuwa Mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera katika uchaguzi Mkuu wa hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu wa 2025.

Hili jambo ndilo lililomuumiza sana Mpina ambaye amejaa ukabila na chuki binafsi tu kwa Rais wetu. Embu muangalie hapa chini alivyokosa raha wakati wenzake wote wanashangilia pale ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma wakati wa mkutano mkuu maalumu uliompitisha Mama kugombea Urais

Yeye alishindwa hata kuvaa tu sare za chama na akaamua kuingia ukumbini utafikiri mvamizi wa kikao. Embu muangalie hapa ndio muelewe hiki ninachowaambieni.👎View attachment 3220283

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lakini we jamaa ni mpumbavu sana na ole tukutane njiani nakutwanga mangumi ujinga ukuondoke

Mpina anapozungumzia uongozi mbovu, mikopo isiyo na tija, katiba n.k, anakuwa anatetea au kuzungumzia kabila lake au anatetea Nchi yake?

Mpina ni mzalendo na mlinda Rasilimali zetu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msishangae Kwanini Luhaga Mpina Amekuwa akitoa taarifa za uzushi,uongo na uchonganishi mara kwa mara. Nyote ni mashahidi wa namna ambavyo amekuwa akitoa taarifa kuonyesha kana kwamba hakuna kilichofanyika awamu hii pamoja na kutoa maneno yenye kutaka kuleta na kujenga hofu kwa watanzania kwa taarifa na takwimu zisizo na ukweli wala uhalisia wa aina yoyote ile.

Amekuwa akijifanya kuzunguka zunguka kumshambulia waziri wa Fedha Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba. Lakini kiuhalisia huwa anamrenga Rais Samia kutaka kumchafua yeye binafsi pamoja na serikali yake.

Lengo lake ni kutamani kumuangusha au kumuondolea Imani aliyojijengea kwa watanzania, inayotokana na uchapakazi wake uliotukuka na uliogusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti ambao sasa wana sauti na nguvu katika Maisha yao ya kila siku.

Soma Pia: Luhaga Mpina: Wanaomsifia Rais Samia ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu

Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni Ukabila na chuki binafsi aliyo nayo na iliyomjaa kifuani pake zidi ya Rais Wetu. Ni mtu ambaye alitamani kutokuona Rais wetu na Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan akiapishwa na akikalia kiti cha Urais kuongoza Taifa hili.

Kama angekuwa na uwezo wa aina yoyote ile pengine angepindua hadi maelekezo na matakwa ya katiba yetu ili tu Mama yetu asiwe Rais. Ni mtu ambaye ana hasira kubwa sana hasa anapoona Rais wetu anaendelea kupata uungwaji mkono pamoja na kuendelea kukubalika,kupendwa na kupongezwa sana na watanzania kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya muda mfupi.

Ndio Maana kwa hasira , Ukabila na chuki zake binafsi alizonazo anaamua kutafutiza na kuunganisha vitakwimu vya uongo ili kujaribu kumchafua RAIS wetu. Bila kujua kuwa Watanzania siyo mambumbumbu wala mazuzu.

Kwa sababu kila mtanzania anafahamu ya kuwa miradi mikubwa na ya kimkakati kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere liliachwa na Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli likiwa 34% lakini kwa sasa limekamilika na lipo tayari kwa uzalishaji wa umeme wa takribani megawati 2115.

Mradi wa SGR ulikuwa ndio unaanza wakati wa Hayati Dkt John Magufuli lakini kwa sasa watu wanasafiri utafikiri wapo ulaya kutoka Dar es salaam hadi Dodoma ndani ya muda mfupi sana. Watu wanatambua mikoa mbalimbali ilikuwa haijaunganishwa katika Grid ya Taifa lakini sasa imeunganishwa.

Watanzania wanatambua ni Rais Samia ambaye amepandisha mapato ya TRA bila kukimbizana na kushikiana mitutu ya bunduki katika kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa tangia kupata uhuru wa Taifa letu. Ni Rais Samia kwa juhudi zake kupitia Royal Tour Amepelekea watalii kuongezeka na kufikia Millioni 1.8 na hivyo kuongeza mapato maradufu.

Rais Samia ameongeza Bajeti ya kilimo kutoka Billioni 250 na sasa ni zaidi ya Trilioni moja. Jambo ambalo limegusa maisha ya watanzania moja kwa moja hasa kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi ni wakulima na hivyo ukiinua kilimo unakuwa umewainua mamilioni ya watanzania. Hapo hapo ikumbukwe Mama amekuwa akitoa Mabilioni ya pesa kama Ruzuku katika kilimo hususan pembejeo hasa mbolea. Jambo lililopelekea mbolea kuwa na bei ambayo mwananchi anaweza kuimudu.

Rais Samia ni yeye ambaye anatoa zaidi ya Bilioni 33 kila mwezi kama Ruzuku kwa ajili ya kugharamia Elimu bure ili watoto wote hadi wa maskini wapate Elimu na kutimiza ndoto zao. Ni Mama huyu huyu ambaye amefikisha zaidi ya Billion mia 7 bejeti ya Elimu ya juu kwa ajili ya kuwakopesha wanafunzi wa vyuo ili wapate Elimu na hapo bado sijazungumzia Elfu kumi ambayo wanavyuo wana pata kama pesa ya kujikimu kila siku..

Ni Mama huyu huyu ambaye amewapandisha madaraja na kuwaongeza mishahara na nyongeza ya kila mwaka watumishi wa umma wote hapa Nchini.ambao Awali walisota na kuona ajira na utumishi wa umma ni kama adhabu na utumwa. Lakini leo wana morali ya kufanya kazi na kuwahudumia watanzania kwa upendo na ukarimu wafikao katika ofisi za umma kupata huduma.

Ni Rais Samia huyu huyu ambaye mara baada ya kuingia tu madarakani alianza kumwaga ajira kwa vijana maelfu kwa maelfu ambazo hapo Awali ilikuwa ni kizungumkuti. Na kupelekea vijana wengi kuishi mitaani pasipo Matumaini zaidi ya kujikatia tamaa tu. Hata hivi sasa kuna ajira zaidi ya elfu 14 za ualimu zinasubiri vijana ili wakalitumikie Taifa lao baada ya kukamilika kwa usaili unaoendelea mikoani kwote na hapo sijazungumzia na zile ajira za afya.

Rais Samia amefanya mambo mengi sana ambayo siwezi kuyamaliza kuyataja hapa. Hii ndio maana hata CCM kwa kutambua uchapakazi wa Mama yetu imeamua kumpitisha Mama kuwa Mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera katika uchaguzi Mkuu wa hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu wa 2025.

Hili jambo ndilo lililomuumiza sana Mpina ambaye amejaa ukabila na chuki binafsi tu kwa Rais wetu. Embu muangalie hapa chini alivyokosa raha wakati wenzake wote wanashangilia pale ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma wakati wa mkutano mkuu maalumu uliompitisha Mama kugombea Urais

Yeye alishindwa hata kuvaa tu sare za chama na akaamua kuingia ukumbini utafikiri mvamizi wa kikao. Embu muangalie hapa ndio muelewe hiki ninachowaambieni.👎View attachment 3220283

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu kama ni kosa, kwa nini kwenye mkutano mkuu wa CCM uliopita hawakumfuta uanachama na ujumbe wake.

Punguza mahaba yanayo kuziba masikio na kugandisha fikra zako.

Kutofautiana mtizamo ndio ukomavu wa siasa
 
Watu wengi wanaoishi ukanda wa ziwa kuu ni wakabila sana ushaidi ni kinachoendelea goma Rwanda na the like
Mkuu sio kweli, usichokijua ni usiku wa giza. Kafanye utafiti wa kina kwanza.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msishangae Kwanini Luhaga Mpina Amekuwa akitoa taarifa za uzushi,uongo na uchonganishi mara kwa mara. Nyote ni mashahidi wa namna ambavyo amekuwa akitoa taarifa kuonyesha kana kwamba hakuna kilichofanyika awamu hii pamoja na kutoa maneno yenye kutaka kuleta na kujenga hofu kwa watanzania kwa taarifa na takwimu zisizo na ukweli wala uhalisia wa aina yoyote ile.

Amekuwa akijifanya kuzunguka zunguka kumshambulia waziri wa Fedha Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba. Lakini kiuhalisia huwa anamrenga Rais Samia kutaka kumchafua yeye binafsi pamoja na serikali yake.

Lengo lake ni kutamani kumuangusha au kumuondolea Imani aliyojijengea kwa watanzania, inayotokana na uchapakazi wake uliotukuka na uliogusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti ambao sasa wana sauti na nguvu katika Maisha yao ya kila siku.

Soma Pia: Luhaga Mpina: Wanaomsifia Rais Samia ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu

Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni Ukabila na chuki binafsi aliyo nayo na iliyomjaa kifuani pake zidi ya Rais Wetu. Ni mtu ambaye alitamani kutokuona Rais wetu na Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan akiapishwa na akikalia kiti cha Urais kuongoza Taifa hili.

Kama angekuwa na uwezo wa aina yoyote ile pengine angepindua hadi maelekezo na matakwa ya katiba yetu ili tu Mama yetu asiwe Rais. Ni mtu ambaye ana hasira kubwa sana hasa anapoona Rais wetu anaendelea kupata uungwaji mkono pamoja na kuendelea kukubalika,kupendwa na kupongezwa sana na watanzania kwa kazi kubwa aliyoifanya ndani ya muda mfupi.

Ndio Maana kwa hasira , Ukabila na chuki zake binafsi alizonazo anaamua kutafutiza na kuunganisha vitakwimu vya uongo ili kujaribu kumchafua RAIS wetu. Bila kujua kuwa Watanzania siyo mambumbumbu wala mazuzu.

Kwa sababu kila mtanzania anafahamu ya kuwa miradi mikubwa na ya kimkakati kama vile Bwawa la Mwalimu Nyerere liliachwa na Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli likiwa 34% lakini kwa sasa limekamilika na lipo tayari kwa uzalishaji wa umeme wa takribani megawati 2115.

Mradi wa SGR ulikuwa ndio unaanza wakati wa Hayati Dkt John Magufuli lakini kwa sasa watu wanasafiri utafikiri wapo ulaya kutoka Dar es salaam hadi Dodoma ndani ya muda mfupi sana. Watu wanatambua mikoa mbalimbali ilikuwa haijaunganishwa katika Grid ya Taifa lakini sasa imeunganishwa.

Watanzania wanatambua ni Rais Samia ambaye amepandisha mapato ya TRA bila kukimbizana na kushikiana mitutu ya bunduki katika kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa tangia kupata uhuru wa Taifa letu. Ni Rais Samia kwa juhudi zake kupitia Royal Tour Amepelekea watalii kuongezeka na kufikia Millioni 1.8 na hivyo kuongeza mapato maradufu.

Rais Samia ameongeza Bajeti ya kilimo kutoka Billioni 250 na sasa ni zaidi ya Trilioni moja. Jambo ambalo limegusa maisha ya watanzania moja kwa moja hasa kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi ni wakulima na hivyo ukiinua kilimo unakuwa umewainua mamilioni ya watanzania. Hapo hapo ikumbukwe Mama amekuwa akitoa Mabilioni ya pesa kama Ruzuku katika kilimo hususan pembejeo hasa mbolea. Jambo lililopelekea mbolea kuwa na bei ambayo mwananchi anaweza kuimudu.

Rais Samia ni yeye ambaye anatoa zaidi ya Bilioni 33 kila mwezi kama Ruzuku kwa ajili ya kugharamia Elimu bure ili watoto wote hadi wa maskini wapate Elimu na kutimiza ndoto zao. Ni Mama huyu huyu ambaye amefikisha zaidi ya Billion mia 7 bejeti ya Elimu ya juu kwa ajili ya kuwakopesha wanafunzi wa vyuo ili wapate Elimu na hapo bado sijazungumzia Elfu kumi ambayo wanavyuo wana pata kama pesa ya kujikimu kila siku..

Ni Mama huyu huyu ambaye amewapandisha madaraja na kuwaongeza mishahara na nyongeza ya kila mwaka watumishi wa umma wote hapa Nchini.ambao Awali walisota na kuona ajira na utumishi wa umma ni kama adhabu na utumwa. Lakini leo wana morali ya kufanya kazi na kuwahudumia watanzania kwa upendo na ukarimu wafikao katika ofisi za umma kupata huduma.

Ni Rais Samia huyu huyu ambaye mara baada ya kuingia tu madarakani alianza kumwaga ajira kwa vijana maelfu kwa maelfu ambazo hapo Awali ilikuwa ni kizungumkuti. Na kupelekea vijana wengi kuishi mitaani pasipo Matumaini zaidi ya kujikatia tamaa tu. Hata hivi sasa kuna ajira zaidi ya elfu 14 za ualimu zinasubiri vijana ili wakalitumikie Taifa lao baada ya kukamilika kwa usaili unaoendelea mikoani kwote na hapo sijazungumzia na zile ajira za afya.

Rais Samia amefanya mambo mengi sana ambayo siwezi kuyamaliza kuyataja hapa. Hii ndio maana hata CCM kwa kutambua uchapakazi wa Mama yetu imeamua kumpitisha Mama kuwa Mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera katika uchaguzi Mkuu wa hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu wa 2025.

Hili jambo ndilo lililomuumiza sana Mpina ambaye amejaa ukabila na chuki binafsi tu kwa Rais wetu. Embu muangalie hapa chini alivyokosa raha wakati wenzake wote wanashangilia pale ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma wakati wa mkutano mkuu maalumu uliompitisha Mama kugombea Urais

Yeye alishindwa hata kuvaa tu sare za chama na akaamua kuingia ukumbini utafikiri mvamizi wa kikao. Embu muangalie hapa ndio muelewe hiki ninachowaambieni.👎View attachment 3220283

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas Mwashambwa mjibu Luhanga Mphina kwa hoja kuliko shambulio la kibinafsi, (character assassination), uzuri wengine humu tuna uwezo mzuri tu wa kutafsiri mambo
 
Kundi kubwa la mamilioni ya wana CCM tupo nyuma ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ndio maana tulimpitisha kwa kishindo kikuu kugombea Urais uchaguzi Mkuu wa mwaka Huu.
Mkuu kama ndio hivyo kwa nini mumpitishe kwa hati ya dharura kinyume na katiba yenu???

Mliogopa nini kumshindanisha na wagombea wengine ndani ya chama kama kweli ana wafuasi wengi kiasi hicho???

Kama kweli ana wafuasi lukuki aliogopa nini kutoka nje ya ukumbi kama utaratibu unavyotaka ili ajadiliwe na wanachama???

Tafadhali jibu maswali haya.
 
Lakini mbona ukikaa na kuisikiliza Sauti na kauli za huyu jamaa na kuzitafakari ni kama zna kaukweli,chukulia ishu ya Huseni?.

Hao wanaoshindwa kumjibu ni kwa vile Mpina anaongea ukweli.
 
Mtu akiwa na tatizo la afya ya akili ni nadra kujitambua kuwa ni mgonjwa. Ndugu yetu Lucas hujachelewa, nakushauri ukaonane na mtaalamu wa afya ya akili.
Kundi kubwa la mamilioni ya wana CCM tupo nyuma ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ndio maana tulimpitisha kwa kishindo kikuu kugombea Urais uchaguzi Mkuu wa mwaka Huu.T
 
Mkuu kama ndio hivyo kwa nini mumpitishe kwa hati ya dharura kinyume na katiba yenu???

Mliogopa nini kumshindanisha na wagombea wengine ndani ya chama kama kweli ana wafuasi wengi kiasi hicho???

Kama kweli ana wafuasi lukuki aliogopa nini kutoka nje ya ukumbi kama utaratibu unavyotaka ili ajadiliwe na wanachama???

Tafadhali jibu maswali haya.
Wanaoongoza kumpenda Chura ni Mabango aliyoyaweka kila kona ya nchi na Machawa wanaogalagala wakimtukuza Mama yao.
 
Mnahangaika kutumia nguvu sana kulazimisha kwamba huyo Rais wenu anakubalika, wakati kiuhalisia hakuna kitu! Ukweli utabaki palepale, hakuna kiongozi humo! Ukabila ni kisingizio tu!
 
Nina hakika kwa asilimia 10000 hujui nini maana ya uzalendo na kuwa mzalendo
Mimi ni mzalendo ambaye nipo tayari hata kulifia Taifa langu na Nchi yangu. Japo sina uhakika kama una akili za kuelewa maana ya Taifa na Nchi😀😀
 
Mnahangaika kutumia nguvu sana kulazimisha kwamba huyo Rais wenu anakubalika, wakati kiuhalisia hakuna kitu! Ukweli utabaki palepale, hakuna kiongozi humo! Ukabila ni kisingizio tu!
Kachukue Fomu ya Urais kwenye chama chako uje ushindane naye kwenye sanduku la kura uone utakavyo pigwa kipigo cha mbwa koko.
 
Lakini mbona ukikaa na kuisikiliza Sauti na kauli za huyu jamaa na kuzitafakari ni kama zna kaukweli,chukulia ishu ya Huseni?.

Hao wanaoshindwa kumjibu ni kwa vile Mpina anaongea ukweli.
Unasikiliza sauti au hoja? Embu acha umbumbumbu
 
Mkuu kama ndio hivyo kwa nini mumpitishe kwa hati ya dharura kinyume na katiba yenu???

Mliogopa nini kumshindanisha na wagombea wengine ndani ya chama kama kweli ana wafuasi wengi kiasi hicho???

Kama kweli ana wafuasi lukuki aliogopa nini kutoka nje ya ukumbi kama utaratibu unavyotaka ili ajadiliwe na wanachama???

Tafadhali jibu maswali haya.
Hao wagombea wengine ni akina nani waliokwambia kuwa wanataka kugombea Urais? Embu wataje hapa tupate kuwajua na uweke na ushahidi.

Nani kakuambia kuwa alipitishwa kwa dharula? Unaelewa majukumu na mamlaka iliyonayo mkutano mkuu wa CCM? Wana CCM ndio umeamua sasa inakuwaje wewe unaumia na kuwashwa washwa utafikiri umepakwa pilipili?
 
Back
Top Bottom