Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni ukabila na chuki binafsi kwa Rais Samia

Lucas sometimes punguza upuuzi na upumbavu.. Punguza mahaba kwa mtu na zingatia zaidi masilahi ya Taifa..
Kwani nani kakwambia naandika kwa ajili ya maslahi ya mtu binafsi? Mimi ni mzalendo kwa Taifa langu
 
Wewe ni chawa! Chawa! Chawa! Unaandika gazeti ukidhani kuna mtu wa kupoteza muda kusoma nnnyaaa yako! Mxiuuuh!
 
Hopeless skinny hungry nigga...chawa! Kwenye ubora wake.
 
basi sawa
Tuma salamu kwa watu wawili
basi sawa, tuma salamu kwa watu wawili
 
Wewe kijana ni hasara kwa familia yako, na Taifa kwa ujumla. Yaani ukipewa kazi ya kulamba miguu ya watu, unapitiliza na kuing'a na kabisa.
 
Sikiliza Kwa makini Hoja za MPINA Kisha ingia Ndani somaa ,Tafuta uhakika wa taarifa za MPINA Kisha njooo umpinge .

Hivi Kwa akili ya kawaida kabisa , unadhan MPINA anapata wapi taarifa nyeti kama hizo??.
 
Lucas sometimes punguza upuuzi na upumbavu.. Punguza mahaba kwa mtu na zingatia zaidi masilahi ya Taifa..


Hawa ndio wale wanaosababisha ugaidi .

Unajua magaidi mara nyingi ni wajinga wenye mahaba na utawala fulani utafikiri bila wanachokishabikia ndicho kinachowapa hewa ya oksijeni.


Yaani huyu Lucas hana tofauti na chakula kilichotumika tumboni .
Anamtuliza binadamu kuliko Mungu.

Yaani utafikiri bila huyo Rais ambaye hataki hata huo urais analazimishiwa tu na Watanganyika wapenda rushwaa kwa sababu wamepata uchochoro wa kupiga pesa maana mama wa watu hajawahi hata kuchukua fomu za kugombea urais kwa sababu hana maono na hajui chochote kuhusu matakwimu aliyokua anayaonyesha Mpina . Yaani ripoti ya mpina ina data halafu mtu analeta siasa .
Huyo mama wanasema aendelee mpaka 2035 lakini CCM iachokwa mpaka na vyombo vya dola na kitakachofuata ni kupotea kabisa kwa hicho chama kwenye historia . Yaani ni aibu kubwa sana kwa kijana wa kitanzania kuwa chawa dhidi ya uzalendo. Hali hii itampa wakati mgumu sana huko Mbeleni kwa sababu ni wazi kuwa Vijana wa kitanzania wasio na vyama ni zaidi ya mil 28 na wengi hawaridhishwi na ukuaji wa uchumi ,matumizi ya fedha za umma na suala la ajira .

Hivi rais mwenye uchungu na Watanganyika anaweza akamuacha Chalamila kwenye ofisi ya umma mpaka leo.? Hiyo si dharau,chuki kubwa na kuwaona Watanganyika ni kama nyani tu ?. Huyo ndiye rais anayependwa na watanzania au Wataka giza kama Lucas.?

Aibu kubwa sana kwa kijana wa kitanzania mwenye akili za kiintarahamwe.
 
Oyaaa sometimes uache Ukuma, Sikiliza Kwa makini Hoja za MPINA Kisha ingia Ndani somaa ,Tafuta uhakika wa taarifa za MPINA Kisha njooo umpinge .

Hivi Kwa akili ya kawaida kabisa , unadhan MPINA anapata wapi taarifa nyeti kama hizo??.
Kwanini unatukana matusi? Wewe ni mgonjwa wa akili? umechangayikiwa?
 
Umewahi kusoma habari za Galileo? Au wewe ukweli unapima kwa kuangalia wangapi wapo upande wa hoja fulani?
nmesoma hadi na yule GALIJANA ila pia kwenye wengi sometimes kuna mantiki coz uksema bi kizimkaz anapendwa na wa tz walio wengi xi kweli. fanya research kwanza
 
Wewe ushaamua kugeuza kichwa kifuniko cha shingo.

Hujawahi hata kujua shida wanazopitia wananchi, tarumbeta mda wote tu.

Tushushe kwanza.
 
nmesoma hadi na yule GALIJANA ila pia kwenye wengi sometimes kuna mantiki coz uksema bi kizimkaz anapendwa na wa tz walio wengi xi kweli. fanya research kwanza
Rais Samia anapendwa sana tena sana na watanzania. Ni kiongozi ambaye amefanikiwa kuiteka mioyo ya mamilioni ya watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…