Kinachonikera Mimi mwanamke ni mitongozo ya asubuhi

Basi itakua una sura mbaya ila una tako!! This is a statistically speaking.... Just kidding
 
Daaah hapa kweli tutatimiza lengo la kuwa na uchumi wa viwanda coz kuna raia zinatembea na viwanda vyao vya kuwapatia pesa, dinner, vijizawadi etc.. katikati ya miguu yao na kwenye sura zao.

Wanawake mtuonee huruma jamani, hali ngumu. Sasa kama tu ili unisikilize ni mpaka nikupeleke dinner, nikununulie zawadi na nikuhonge, Je ili nikuingize ghetto 6×6 si ntakua nimesha filisika. nyie ni viumbe vya ajabu sana
 
Ngoja mimi nije PM mchana huu
 
Hivi kuna watu bado wanatongoza karne hii yenye wanawake wanaojitongozesha?
 
Sema unakutana na wanaume wale wale kila uchao ndio maana unajinunisha, ila ukikutana na mhuni unalishwa kihuni
 
Sema ukweli unataka utolewe Dina ukapigwa na ukuni
 
Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…