Kinachonikera Mimi mwanamke ni mitongozo ya asubuhi

Kinachonikera Mimi mwanamke ni mitongozo ya asubuhi

Basi itakua una sura mbaya ila una tako!! This is a statistically speaking.... Just kidding
 
Yaani hakuna kitu kinachonikera Mimi binafsi sijui wanawake wengine ni kutongozwa asubuhi

Tena mbaya zaidi unakutana na mwanaume asubuhi unatoka dukani anaanza kukutongoza huwa nachukia balaa

Au unaamka tu wakati unaswaki unaletewa taarifa kuna mtu anakuita getini ,kwenda unasikia anaanza stories za kukutongoza,dah huwa najisikia vibaya mpaka basi bora wa kunitongoza kwa njia ya sim au SMS maana najijua stajibu

Huwa nakuwa makini kusikiliza mitongozo yake pale utakapo nitoa out hasa jioni kuanzia SAA 12 hadi SAA mbili,na ukanipa dinner inayoeleweka ,wakati nakula unaniambia hizo stories,hapo huwa nipo makini kukusikiliza na sio kwamba ndo nimekukubalia ,kukubalia ni suala lingine

Na ili uonekane upo serious,vizawadi vikiwa vingi hapo utakuwa umeanza kuingia moyoni

Mambo mengine hayahitaji uingie darasani bwana!!!

Acheni mambo ya kututongoza asubuhi,tunachukia sana
Daaah hapa kweli tutatimiza lengo la kuwa na uchumi wa viwanda coz kuna raia zinatembea na viwanda vyao vya kuwapatia pesa, dinner, vijizawadi etc.. katikati ya miguu yao na kwenye sura zao.

Wanawake mtuonee huruma jamani, hali ngumu. Sasa kama tu ili unisikilize ni mpaka nikupeleke dinner, nikununulie zawadi na nikuhonge, Je ili nikuingize ghetto 6×6 si ntakua nimesha filisika. nyie ni viumbe vya ajabu sana
 
Yaani hakuna kitu kinachonikera Mimi binafsi sijui wanawake wengine ni kutongozwa asubuhi

Tena mbaya zaidi unakutana na mwanaume asubuhi unatoka dukani anaanza kukutongoza huwa nachukia balaa

Au unaamka tu wakati unaswaki unaletewa taarifa kuna mtu anakuita getini ,kwenda unasikia anaanza stories za kukutongoza,dah huwa najisikia vibaya mpaka basi bora wa kunitongoza kwa njia ya sim au SMS maana najijua stajibu

Huwa nakuwa makini kusikiliza mitongozo yake pale utakapo nitoa out hasa jioni kuanzia SAA 12 hadi SAA mbili,na ukanipa dinner inayoeleweka ,wakati nakula unaniambia hizo stories,hapo huwa nipo makini kukusikiliza na sio kwamba ndo nimekukubalia ,kukubalia ni suala lingine

Na ili uonekane upo serious,vizawadi vikiwa vingi hapo utakuwa umeanza kuingia moyoni

Mambo mengine hayahitaji uingie darasani bwana!!!

Acheni mambo ya kututongoza asubuhi,tunachukia sana
Ngoja mimi nije PM mchana huu
 
Hivi kuna watu bado wanatongoza karne hii yenye wanawake wanaojitongozesha?
 
Sema unakutana na wanaume wale wale kila uchao ndio maana unajinunisha, ila ukikutana na mhuni unalishwa kihuni
 
Yaani hakuna kitu kinachonikera Mimi binafsi sijui wanawake wengine ni kutongozwa asubuhi

Tena mbaya zaidi unakutana na mwanaume asubuhi unatoka dukani anaanza kukutongoza huwa nachukia balaa

Au unaamka tu wakati unaswaki unaletewa taarifa kuna mtu anakuita getini ,kwenda unasikia anaanza stories za kukutongoza,dah huwa najisikia vibaya mpaka basi bora wa kunitongoza kwa njia ya sim au SMS maana najijua stajibu

Huwa nakuwa makini kusikiliza mitongozo yake pale utakapo nitoa out hasa jioni kuanzia SAA 12 hadi SAA mbili,na ukanipa dinner inayoeleweka ,wakati nakula unaniambia hizo stories,hapo huwa nipo makini kukusikiliza na sio kwamba ndo nimekukubalia ,kukubalia ni suala lingine

Na ili uonekane upo serious,vizawadi vikiwa vingi hapo utakuwa umeanza kuingia moyoni

Mambo mengine hayahitaji uingie darasani bwana!!!

Acheni mambo ya kututongoza asubuhi,tunachukia sana
Sema ukweli unataka utolewe Dina ukapigwa na ukuni
 
Yaani hakuna kitu kinachonikera Mimi binafsi sijui wanawake wengine ni kutongozwa asubuhi

Tena mbaya zaidi unakutana na mwanaume asubuhi unatoka dukani anaanza kukutongoza huwa nachukia balaa

Au unaamka tu wakati unaswaki unaletewa taarifa kuna mtu anakuita getini ,kwenda unasikia anaanza stories za kukutongoza,dah huwa najisikia vibaya mpaka basi bora wa kunitongoza kwa njia ya sim au SMS maana najijua stajibu

Huwa nakuwa makini kusikiliza mitongozo yake pale utakapo nitoa out hasa jioni kuanzia SAA 12 hadi SAA mbili,na ukanipa dinner inayoeleweka ,wakati nakula unaniambia hizo stories,hapo huwa nipo makini kukusikiliza na sio kwamba ndo nimekukubalia ,kukubalia ni suala lingine

Na ili uonekane upo serious,vizawadi vikiwa vingi hapo utakuwa umeanza kuingia moyoni

Mambo mengine hayahitaji uingie darasani bwana!!!

Acheni mambo ya kututongoza asubuhi,tunachukia sana
Pole
 
Back
Top Bottom