Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hicho ndo unachotamani lakini YANGA haitotuangusha wananchiYanga anafungwa, hakuna namna wanaweza kuepuka kichapo
Uzuri waliokuwa na timu za Taifa ndio wenye faida kwa sababu wana mechi fitness kuliko waliotangulia.Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, hii ndio hofu yangu kwa mechi ya leo kwani baadhi ya wachezaji wetu wa humu ndani na wale wa kimataifa, walikuwa wanatumikia timu zao za Taifa katika kusaka nafasi ya kushiriki kombe la Dunia mwaka 2026.
Sasa sijui wamekaa kambini kwa siku ngapi ingawa bado nina imani na kikosi chetu kwa ujumla.
Mungu ibariki Yanga.
Mkuu ule uzi wako wa kupewa Ban haujazungumza muda wa Ban ili mechi ikiisha tusimamie hilo...Yanga anafungwa, hakuna namna wanaweza kuepuka kichapo
Mzize atachezea red card, yanga anapigwa tatu au nne leoLIKUD,
Huyu LIKUD alisema leo Mzinze atafunga magoli mawili ngoja tuone
Visingizio vya nini wakati tunasubiri muwapige TanoKama kichwa cha habari kinavyoeleza, hii ndio hofu yangu kwa mechi ya leo kwani baadhi ya wachezaji wetu wa humu ndani na wale wa kimataifa, walikuwa wanatumikia timu zao za Taifa katika kusaka nafasi ya kushiriki kombe la Dunia mwaka 2026.
Sasa sijui wamekaa kambini kwa siku ngapi ingawa bado nina imani na kikosi chetu kwa ujumla.
Mungu ibariki Yanga.
Msije kusema hio timu ni mbovu.Visingizio vya nini wakati tunasubiri muwapige Tano
Umemaliza ,siku nyingine naomba uwafundishe watu humu mpira unakuajeUzuri waliokuwa na timu za Taifa ndio wenye faida kwa sababu wana mechi fitness kuliko waliotangulia.
Mpira wa kisasa ni mfumo tu na approach ya kocha ndio vinaleta matokeo.
Ondoa shaka Yanga inabeba point 3 muhimu, au kupoteza kwetu ni sare tu.
Tuko pamoja kwenye hili mkuuKama kichwa cha habari kinavyoeleza, hii ndio hofu yangu kwa mechi ya leo kwani baadhi ya wachezaji wetu wa humu ndani na wale wa kimataifa, walikuwa wanatumikia timu zao za Taifa katika kusaka nafasi ya kushiriki kombe la Dunia mwaka 2026.
Sasa sijui wamekaa kambini kwa siku ngapi ingawa bado nina imani na kikosi chetu kwa ujumla.
Mungu ibariki Yanga.
Kimpira hkn tatizoKama kichwa cha habari kinavyoeleza, hii ndio hofu yangu kwa mechi ya leo kwani baadhi ya wachezaji wetu wa humu ndani na wale wa kimataifa, walikuwa wanatumikia timu zao za Taifa katika kusaka nafasi ya kushiriki kombe la Dunia mwaka 2026.
Sasa sijui wamekaa kambini kwa siku ngapi ingawa bado nina imani na kikosi chetu kwa ujumla.
Mungu ibariki Yanga.
Kolokhamsa kwenye ubora wake [emoji38]Mzize atachezea red card, yanga anapigwa tatu au nne leo
si Yanga Tu, hata hiyo Timu ina hali kama hiyoKama kichwa cha habari kinavyoeleza, hii ndio hofu yangu kwa mechi ya leo kwani baadhi ya wachezaji wetu wa humu ndani na wale wa kimataifa, walikuwa wanatumikia timu zao za Taifa katika kusaka nafasi ya kushiriki kombe la Dunia mwaka 2026.
Sasa sijui wamekaa kambini kwa siku ngapi ingawa bado nina imani na kikosi chetu kwa ujumla.
Mungu ibariki Yanga.
ππππMsije kusema hio timu ni mbovu.