Kinachonishangaza kwa Katibu Mwenezi na Itikadi CCM Makonda ni kuona leo hii akipinga mabaya aliyowahi kuyafanya

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Dharau
2. Uonevu
3. Ubabe
4. Uwizi/ Ufisadi
5. Dhuluma
6. Rushwa
7. Uwongo/ Kudanganya

Haya GENTAMYCINE niwatakieni tu Kila la Kheri wale wote wenye Ubongo mfupi na hafifu wanaomuamini na kumsifu sasa wakati kwa Rekodi zake za kimatukio Kipindi chake yuko Madarakani/ Serikalini angekuwa katika Taifa linalojitambua na kufuata Misingi ya Sheria huenda hivi sasa (Makonda) angekuwa ama Kifungoni Jela / Gerezani au Udongoni/ Mavumbini nikimaanisha ameshanyongwa Kitambo sana na sasa kawa Historia tu.
 
Mimi nakushangaa wewe kumshangaa mwanasiasa..

Ulishaambiwa mwanasiasa akikuambia kumeshakucha, toka nje ukajihakikishie..
 
Wivu tu
 
S I A S A

Acha kabisa
Acha kabisa
Wakati naanza form 1, mwalimu wa siasa akauliza, Siasa ni nini?
Bingwa mmoja akasimama kwa kujiamini kabisa na kusema:
SIASA ni uongo uliokomaa.....
Alikula bakora sitasahau...
This is True Story....bila chenga
Yaani namkumbuka yule bingwa mpaka leo.....
 
Waliokua wanaumezea mate uraisi kina
Ngwalangwala
Madelu
Kipara
Rizla
Betina
Jobo nduguyai

Kwakweli hawajapenda.
 
Ni shetani anyejifanya malaika wa mwanga
 
Hivi ile Travel Ban aliyowahi kuwekewa na Serikali ya Marekani imeshaondolewa?
 
Nachelea kusema tulikuwa darasa moja, maana na mimi ilitokea hivyo hivyo enzi hizo! Na mpaka leo ninaamini hivyo!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Ukiona Muafrika bado hajafungiwa wala kuwekewa vikwazo na Mabeberu ujue huyo hayupo upande wetu ukiona Muafrika anasifiwa na Wazungu jua ameshatusaliti hii hasa kwa Wanasiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…