Kinachotokea CHADEMA Kamwe hakiwezi kutokea CCM

Kinachotokea CHADEMA Kamwe hakiwezi kutokea CCM

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
CHADEMA kutokana na uimara wake ndiyo maana inapitia hii misukosuko ya kiuchaguzi na itavuka salama.

Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.

Unaweza kuwaza Majaliwa Kassim aseme hadharani kuwa na yeye anautaka uenyekiti wa CCM kwa kuwa Samia Suluhu Hassan haendeshi chama chao kuendeana na matarajio ya wana CCM wenzake?

Harakati hizi za kiuchaguzi ndani ya CHADEMA zimeonesha kweli CHADEMA Iko mbele Sana kidemokrasia kuliko CCM.
 
CCM ni chama Kikubwa 🌹

Hapo Chadema ni kwamba Tundu Lisu analipa Kisasi cha Mbowe kuvunja makubaliano na kumletea Wenje 😂😂😂

Ulale unono🐼
 
Kwanza katiba ya CDM na CCM aifanani; kwenye kumpata mwenyekiti wa chama na taratibu mgombea uraisi.

Sasa kwa minajili gani internal political wars zitafanana.

Tofauti ya binadamu na wanyama wengine (ni reasonability). Ana uwezo wa kusoma mazingira yake kwa factors zake na kufanya maamuzi based on that understanding.

Siasa za CDM na CCM ni tofauti kwa namna nyingi sana.

Siasa za maendeleo Tanzania bado kuwa na choice, shida ni kwamba hatuna watu wa kuendesha.
 
Chadema akili hamna, sasa uchaguzi umefika kwann mtu asigombee, kila chama na taratibu zake mbona nyie mnaongozwa na mbowe miaka yote na samia akimaliza muda wake napo patakuwa na kumchagua mwngn kama ilivyo sasa huko chadema, sasa hapo kuna jipya gani?
 
Huko kwenye fomu moja ukirefusha bega UNAFUKUZWA MARA MOJA kM Jasusi alivyo fukuzwa....
Siasa ina customary law, ndio maana watu awakutaka kumvaa Biden (japo it was obvious to many, he was mentally incapable). Hiyo inategemea na nchi pia, uingereza wangemvaa hatoshi.

Ila huyu mama ni kudra ajapitia mchakato wa uchujaji kwa katiba ya CCM na hana uwezo hata chembe.

Yes vyombo vya usalama vina utaratibu wa kumlinda raisi (uncompromisingly), raisi ni taasisi ina watu wa kumshauri, raisi ana madaraka ya kuteua (which makes a person all powerful) given the established laws and customs.

Lakini tu ache huu upuuzi uhalisia ni kwamba Samia hana uwezo wa kusimamia hata wilaya. Liwe somo kwa CCM imekuwaje huyu mtu anaongoza nchi leo.
 
Chadema akili hamna, sasa uchaguzi umefika kwann mtu asigombee, kila chama na taratibu zake mbona nyie mnaongozwa na mbowe miaka yote na samia akimaliza muda wake napo patakuwa na kumchagua mwngn kama ilivyo sasa huko chadema, sasa hapo kuna jipya gani?
CCM HAIJAWAHI kuchagua Mwenyekiti wake TAIFA tangua ianzishwe mwaka 1977.
 
CHADEMA kutokana na uimara wake ndiyo maana inapitia hii misukosuko ya kiuchaguzi na itavuka salama.

Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.

Unaweza kuwaza Majaliwa Kassim aseme hadharani kuwa na yeye anautaka uenyekiti wa CCM kwa kuwa Samia Suluhu Hassan haendeshi chama chao kuendeana na matarajio ya wana CCM wenzake?

Harakati hizi za kiuchaguzi ndani ya CHADEMA zimeonesha kweli CHADEMA Iko mbele Sana kidemokrasia kuliko CCM.
Acha kujipa moyo. CCM ina desturi zake. Utaona mwaka 2030 mtifuano wa kuutaka Urais utakavyokuwa. Kumbuka mwaka 2015 walijitokeza wanachama 38 wakiutaka urais wakati CHADEMA ilibidi waazime toka CCM.
 
CCM imepoteza mvuto ndio maana inategemea mapolisi na vyombo vingine kubaki madarakani.
 
Acha kujipa moyo. CCM ina desturi zake. Utaona mwaka 2030 mtifuano wa kuutaka Urais utakavyokuwa. Kumbuka mwaka 2015 walijitokeza wanachama 38 wakiutaka urais wakati CHADEMA ilibidi waazime toka CCM.
Hapa tunazungumzia uongozi wa CCM siyo Urais. Mambo madogo kama hili mnashindwa kuelewa hoja yake, ndiyo mtajua kuwa mkataba na DP tumeinguzwa Chaka?
 
Back
Top Bottom