Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #21
Ndiyo ninayo habari. CHADEMA hawana Hela hizo ni lazima zimetoka kwa watu wenuKuna rushwa inatembea huko. Una habari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ninayo habari. CHADEMA hawana Hela hizo ni lazima zimetoka kwa watu wenuKuna rushwa inatembea huko. Una habari?
Tupe vifungu vya Katiba ya CCM ktk muktadha huu....Mimi Huwa naona , watu wakitishwa kuwa tuna mgombea mmoja tu!Kwanza katiba ya CDM na CCM aifanani; kwenye kumpata mwenyekiti wa chama na taratibu mgombea uraisi.
Sasa kwa minajili gani internal political wars zitafanana.
Tofauti ya binadamu na wanyama wengine (ni reasonability). Ana uwezo wa kusoma mazingira yake kwa factors zake na kufanya maamuzi based on that understanding.
Siasa za CDM na CCM ni tofauti kwa namna nyingi sana.
Siasa za maendeleo Tanzania bado kuwa na choice, shida ni kwamba hatuna watu wa kuendesha.
Kuna jipya Mkuu huoni.....kule CCM incumbent president/ Mwenyekiti Huwa hapingwi !Chadema akili hamna, sasa uchaguzi umefika kwann mtu asigombee, kila chama na taratibu zake mbona nyie mnaongozwa na mbowe miaka yote na samia akimaliza muda wake napo patakuwa na kumchagua mwngn kama ilivyo sasa huko chadema, sasa hapo kuna jipya gani?
Never fo ccmIla kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.
Ni uwazi umefanya hili lijulikaneKuna rushwa inatembea huko. Una habari?
Mbona jamaa wanasema ni hela ya nauli tu?...CHADEMA hawana Hela hizo ni lazima zimetoka kwa watu wenu
😩😩🚮🚮CCM ni chama Kikubwa 🌹
Hapo Chadema ni kwamba Tundu Lisu analipa Kisasi cha Mbowe kuvunja makubaliano na kumletea Wenje 😂😂😂
Ulale unono🐼
Bado wanafanya uchaguzi tu? Kwanini wamefanya usiku namna hii?Subiri uchaguzi uishe halafu urudi hapa!
Hiyo siyo katiba ya CCM ni customary law. Over time inaheshimika.Tupe vifungu vya Katiba ya CCM ktk muktadha huu....Mimi Huwa naona , watu wakitishwa kuwa tuna mgombea mmoja tu!
Endelea kuuguza maumivuCCM HAIJAWAHI kuchagua Mwenyekiti wake TAIFA tangua ianzishwe mwaka 1977.
Huo n utaratibu wao, na nyie chagueni utaratibu wenu unaowafaa.Kuna jipya Mkuu huoni.....kule CCM incumbent president/ Mwenyekiti Huwa hapingwi !
Kwann mnazikubali?Ndiyo ninayo habari. CHADEMA hawana Hela hizo ni lazima zimetoka kwa watu wenu
Hayo maigizo au?CHADEMA kutokana na uimara wake ndiyo maana inapitia hii misukosuko ya kiuchaguzi na itavuka salama.
Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.
Unaweza kuwaza Majaliwa Kassim aseme hadharani kuwa na yeye anautaka uenyekiti wa CCM kwa kuwa Samia Suluhu Hassan haendeshi chama chao kuendeana na matarajio ya wana CCM wenzake?
Harakati hizi za kiuchaguzi ndani ya CHADEMA zimeonesha kweli CHADEMA Iko mbele Sana kidemokrasia kuliko CCM.
Ni kweli hii kitu HAIWEZI kutokea CCM kwasababu CCM ni chama kikubwa na kina utaratibu wake wa kumpata Mwenyekiti wake. Ushawahi kusikia kampeni za uwenyekiti wa Republicans au Democrats za Marekani? Ahahahahaha!!!CHADEMA kutokana na uimara wake ndiyo maana inapitia hii misukosuko ya kiuchaguzi na itavuka salama.
Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.
Unaweza kuwaza Majaliwa Kassim aseme hadharani kuwa na yeye anautaka uenyekiti wa CCM kwa kuwa Samia Suluhu Hassan haendeshi chama chao kuendeana na matarajio ya wana CCM wenzake?
Harakati hizi za kiuchaguzi ndani ya CHADEMA zimeonesha kweli CHADEMA Iko mbele Sana kidemokrasia kuliko CCM.
HaswaCHADEMA kutokana na uimara wake ndiyo maana inapitia hii misukosuko ya kiuchaguzi na itavuka salama.
Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.
Unaweza kuwaza Majaliwa Kassim aseme hadharani kuwa na yeye anautaka uenyekiti wa CCM kwa kuwa Samia Suluhu Hassan haendeshi chama chao kuendeana na matarajio ya wana CCM wenzake?
Harakati hizi za kiuchaguzi ndani ya CHADEMA zimeonesha kweli CHADEMA Iko mbele Sana kidemokrasia kuliko CCM.
CCM ni Chama dola ukishindana na mwenyekiti ujue unashindana na dola matokeo yake unapotezwa kwenye uso wa dunia.CCM ni chama Kikubwa 🌹
Hapo Chadema ni kwamba Tundu Lisu analipa Kisasi cha Mbowe kuvunja makubaliano na kumletea Wenje 😂😂😂
Ulale unono🐼
Customary Law ...halafu watu hutishiwa kuchukua fomu ? Basi sawa mjuzi wa siasa za CCM !Hiyo siyo katiba ya CCM ni customary law. Over time inaheshimika.
Hata kwenye mikataba ya biashara customary law inatumika.
Same kwa matakwa ya kiongozi kuwa diplomatic kwenye kuongea, kufikiria taasisi kwanza kabla ya ambitions zako and so forth (Lissu sio kiongozi).
Shida ni kwamba over 90% ya wachangiaji wa jukwaa la siasa; siasa zenyewe hamzijui.
Good night nina stress leo nimerudi kijijini kwetu, kufungua mlango tu nimekutana na barua za madeni luluki baada ya karibu miezi miwili.
👋
Aijawahi kutokea watu kutishiwa kuchukua form CCM kwa taratibu zao za (customary), zaidi ya fisadi Membe kutishia tu 2020 na akwenda.Customary Law ...halafu watu hutishiwa kuchukua fomu ? Basi sawa mjuzi wa siasa za CCM !
.....kama vipi,weka no Yass byMix tukuchsngie!