Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mtu anayejitambua hapimi chama kwa ukubwa tena unaotokana na sababu za kihistoria, bali hupima ubora wa chama.CCM ni chama Kikubwa 🌹
Hapo Chadema ni kwamba Tundu Lisu analipa Kisasi cha Mbowe kuvunja makubaliano na kumletea Wenje 😂😂😂
Ulale unono🐼