Kinachotokea CHADEMA Kamwe hakiwezi kutokea CCM

Tupe vifungu vya Katiba ya CCM ktk muktadha huu....Mimi Huwa naona , watu wakitishwa kuwa tuna mgombea mmoja tu!
 
Kuna jipya Mkuu huoni.....kule CCM incumbent president/ Mwenyekiti Huwa hapingwi !
 
CCM ni chama Kikubwa ๐ŸŒน

Hapo Chadema ni kwamba Tundu Lisu analipa Kisasi cha Mbowe kuvunja makubaliano na kumletea Wenje ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ulale unono๐Ÿผ
๐Ÿ˜ฉ๐Ÿ˜ฉ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Subiri uchaguzi uishe halafu urudi hapa!
 
Tupe vifungu vya Katiba ya CCM ktk muktadha huu....Mimi Huwa naona , watu wakitishwa kuwa tuna mgombea mmoja tu!
Hiyo siyo katiba ya CCM ni customary law. Over time inaheshimika.

Hata kwenye mikataba ya biashara customary law inatumika.

Same kwa matakwa ya kiongozi kuwa diplomatic kwenye kuongea, kufikiria taasisi kwanza kabla ya ambitions zako and so forth (Lissu sio kiongozi).

Shida ni kwamba over 90% ya wachangiaji wa jukwaa la siasa; siasa zenyewe hamzijui.

Good night nina stress leo nimerudi kijijini kwetu, kufungua mlango tu nimekutana na barua za madeni luluki baada ya karibu miezi miwili.

๐Ÿ‘‹
 
Hayo maigizo au?
 
Ni kweli hii kitu HAIWEZI kutokea CCM kwasababu CCM ni chama kikubwa na kina utaratibu wake wa kumpata Mwenyekiti wake. Ushawahi kusikia kampeni za uwenyekiti wa Republicans au Democrats za Marekani? Ahahahahaha!!!
 
Haswa
 
CCM ni chama Kikubwa ๐ŸŒน

Hapo Chadema ni kwamba Tundu Lisu analipa Kisasi cha Mbowe kuvunja makubaliano na kumletea Wenje ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ulale unono๐Ÿผ
CCM ni Chama dola ukishindana na mwenyekiti ujue unashindana na dola matokeo yake unapotezwa kwenye uso wa dunia.
 
Customary Law ...halafu watu hutishiwa kuchukua fomu ? Basi sawa mjuzi wa siasa za CCM !
.....kama vipi,weka no Yass byMix tukuchsngie!
 
Customary Law ...halafu watu hutishiwa kuchukua fomu ? Basi sawa mjuzi wa siasa za CCM !
.....kama vipi,weka no Yass byMix tukuchsngie!
Aijawahi kutokea watu kutishiwa kuchukua form CCM kwa taratibu zao za (customary), zaidi ya fisadi Membe kutishia tu 2020 na akwenda.

Uchaguzi wa 2025 sio customary, sema bi-tozo ambae alikuwa raisi wa mpito anatumia nguvu sana ionekane na yeye anastahili kupewa respect ya CCM tardion kuongoza mihula miwili.

Bi-Tozo akuandaliwa na CCM kuja kuwa raisi ni Kudra za mwenyezi mungu tu. Na raisi mamlaka yake ni sheria kote upande wa katiba ya nchi na ya CCM kama mwenyekiti. Ambayo akicheza karata sahihi anazotumia kuwa raisi mpaka 2030.

Lakini Samia akupikwa kwa hiyo nafasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ