Mtu anayejitambua hapimi chama kwa ukubwa tena unaotokana na sababu za kihistoria, bali hupima ubora wa chama.CCM ni chama Kikubwa ๐น
Hapo Chadema ni kwamba Tundu Lisu analipa Kisasi cha Mbowe kuvunja makubaliano na kumletea Wenje ๐๐๐
Ulale unono๐ผ
Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.CHADEMA kutokana na uimara wake ndiyo maana inapitia hii misukosuko ya kiuchaguzi na itavuka salama.
Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.
Unaweza kuwaza Majaliwa Kassim aseme hadharani kuwa na yeye anautaka uenyekiti wa CCM kwa kuwa Samia Suluhu Hassan haendeshi chama chao kuendeana na matarajio ya wana CCM wenzake?
Harakati hizi za kiuchaguzi ndani ya CHADEMA zimeonesha kweli CHADEMA Iko mbele Sana kidemokrasia kuliko CCM.
Unaweza kuwaza Majaliwa Kassim aseme hadharani kuwa na yeye anautaka uenyekiti wa CCM kwa kuwa Samia Suluhu Hassan haendeshi chama chao kuendeana na matarajio ya wana CCM wenzake?CHADEMA kutokana na uimara wake ndiyo maana inapitia hii misukosuko ya kiuchaguzi na itavuka salama.
Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.
Unaweza kuwaza Majaliwa Kassim aseme hadharani kuwa na yeye anautaka uenyekiti wa CCM kwa kuwa Samia Suluhu Hassan haendeshi chama chao kuendeana na matarajio ya wana CCM wenzake?
Harakati hizi za kiuchaguzi ndani ya CHADEMA zimeonesha kweli CHADEMA Iko mbele Sana kidemokrasia kuliko CCM.
Harakati hizi za kiuchaguzi ndani ya CHADEMA zimeonesha kweli CHADEMA Iko mbele Sana kidemokrasia kuliko CCM.CHADEMA kutokana na uimara wake ndiyo maana inapitia hii misukosuko ya kiuchaguzi na itavuka salama.
Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.
Unaweza kuwaza Majaliwa Kassim aseme hadharani kuwa na yeye anautaka uenyekiti wa CCM kwa kuwa Samia Suluhu Hassan haendeshi chama chao kuendeana na matarajio ya wana CCM wenzake?
Harakati hizi za kiuchaguzi ndani ya CHADEMA zimeonesha kweli CHADEMA Iko mbele Sana kidemokrasia kuliko CCM.
This is not the right analysis.Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.
CHADEMA kutokana na uimara wake ndiyo maana inapitia hii misukosuko ya kiuchaguzi na itavuka salama.
Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.
Unaweza kuwaza Majaliwa Kassim aseme hadharani kuwa na yeye anautaka uenyekiti wa CCM kwa kuwa Samia Suluhu Hassan haendeshi chama chao kuendeana na matarajio ya wana CCM wenzake?
Harakati hizi za kiuchaguzi ndani ya CHADEMA zimeonesha kweli CHADEMA Iko mbele Sana kidemokrasia kuliko CCM.
Ccm hii hii ambayo watu walikuwa wanaishindanisha na Chadema kwa nyomi ya watu kwenye kipindi cha kampeni?CCM bila police hata nje hawawezi toka
Lazima wasindikizwe na police
Mara inategemea polisi kubaki madarakani mara inatumia ujinga wa wananchi kubaki madarakani.CCM imepoteza mvuto ndio maana inategemea mapolisi na vyombo vingine kubaki madarakani.
Unaweza kushindanisha nyomi, lakini ukidadavua hizo nyomi zimepatikanaje, unagundua nyomi ya CCM ni ya kutengenezwa kwa kusomba watu kwa magari bila hiyari yao, wakati nyomi ya CHADEMA watu wamekuja wenyewe kwa hiyari wakiwa na hamu ya kusikia matumaini ya mabadiliko.Ccm hii hii ambayo watu walikuwa wanaishindanisha na Chadema kwa nyomi ya watu kwenye kipindi cha kampeni?
Yote mawili yanatumiwa na CCM kubaki madarakani.Mara inategemea polisi kubaki madarakani mara inatumia ujinga wa wananchi kubaki madarakani.
Yani umbebe mtu kwenye gari bila hiari yake na bado uende ukamsimamishe juani bila hiari? Ina maana sio kwamba hao watu hufuata kuona wasanii wa muziki kama mnavyosema bali wamelazimishwa kwenda?Unaweza kushindanisha nyomi, lakini ukidadavua hizo nyomi zimepatikanaje, unagundua nyomi ya CCM ni ya kutengenezwa kwa kusomba watu kwa magari bila hiyari yao, wakati nyomi ya CHADEMA watu wamekuja wenyewe kwa hiyari wakiwa na hamu ya kusikia matumaini ya mabadiliko.
Usiongee kama ni mgeni wa jinsi CCM inavyoendesha mikutano yake ya hadhara ya kisiasa kilazimishi (by force).Yani umbebe mtu kwenye gari bila hiari yake na bado uende ukamsimamishe juani bila hiari? Ina maana sio kwamba hao watu hufuata kuona wasanii wa muziki kama mnavyosema bali wamelazimishwa kwenda?
Sio kwamba mimi hayo siyajui ila je yanaingia akilini? Yani kwamba uniambie zile nyomi za kwenye mikutano ya ccm kwamba asilimia kubwa ni watumishi wale wa serikali au kwamba ni raia tu wa kawaida wasio watumishi wa serikali ila wamelazimishwa kuacha shughuli na mambo yao na kulazimishwa kwenda kwenye mikutano ya ccm.Usiongee kama ni mgeni wa jinsi CCM inavyoendesha mikutano yake ya hadhara ya kisiasa kilazimishi (by force).
Kama hujui kuwa CCM huwa inasomba watu na kupeleka kwenye mikutano yake na kulazimisha watumishi wa umma kuhudhuria mikutano hiyo, basi wewe hujui chochote kuhusu siasa za CCM.
Huna hojaHapa tunazungumzia uongozi wa CCM siyo Urais. Mambo madogo kama hili mnashindwa kuelewa hoja yake, ndiyo mtajua kuwa mkataba na DP tumeinguzwa Chaka?
Ili iwe hoja ilitakiwa iweje?Huna hoja
Amina!!Huu ni Mwaka wa kumjua Mungu na kuomba Sana kwa ajili ya Taifa na UONGOZI wote wa kitaifa .
CCM huwa tunachagua mkt taifa wakati wa kuchagua mgombea urais!CCM HAIJAWAHI kuchagua Mwenyekiti wake TAIFA tangua ianzishwe mwaka 1977.
Ukweli ni kwamba huwezi kubisha.Mara inategemea polisi kubaki madarakani mara inatumia ujinga wa wananchi kubaki madarakani.
Tangu lini ccm wakawa na demokrasia?CHADEMA kutokana na uimara wake ndiyo maana inapitia hii misukosuko ya kiuchaguzi na itavuka salama.
Ila kwa kuwa CCM ni chama dhaifu kinachotegemea dola kujiendesha, hakiwezi Kamwe kupitia njia hii ya kidemokrasia inayopitia CHADEMA.
Unaweza kuwaza Majaliwa Kassim aseme hadharani kuwa na yeye anautaka uenyekiti wa CCM kwa kuwa Samia Suluhu Hassan haendeshi chama chao kuendeana na matarajio ya wana CCM wenzake?
Harakati hizi za kiuchaguzi ndani ya CHADEMA zimeonesha kweli CHADEMA Iko mbele Sana kidemokrasia kuliko CCM.