Kinachotokea CHADEMA Kamwe hakiwezi kutokea CCM

Ukweli ni kwamba huwezi kubisha.
Nitabishaje kitu ambacho sijakielewa? Maana mara unasikia kwamba ccm inategemea polisi ina maana watu wameichoka ila tena unakuja kusikia inategemea ujinga wa wananchi kwamba wanapewa kanga.
 
Nitabishaje kitu ambacho sijakielewa? Maana mara unasikia kwamba ccm inategemea polisi ina maana watu wameichoka ila tena unakuja kusikia inategemea ujinga wa wananchi kwamba wanapewa kanga.
Labda unajirusha tu ufahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…