Kinachowazuia wanasiasa wetu kutumia JF kutupasha habari ni kitu gani?

Kinachowazuia wanasiasa wetu kutumia JF kutupasha habari ni kitu gani?

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Barangumu limelia..

Nchi tajiri zinaona zinafilisi kodi za wananchi wao kwa kuisaidia Africa misaada ya "kishenzi" wakati viongozi wetu wakielea kwenye matumizi ya " anasa"

Burkinafaso Imeonyesha mfano wa kutaka kujitegemea na kuondokana na wakoloni mazima... Wameanza na kutengeneza magari yao..

Vikwazo walivyopigwa N.Korea, Urusi, Iran na Venezuela ingekuwa Africa tungekula nyasi kwa umbumbu au kujibwetekea kwetu .

Moja ya dalili za nchi ambazo hazina mpango wa kujitegemea angalia matendo ya viongozi wake ... lakini zaidi ustaarabu wa jamii yake .. logic katika kutunga sheria nk..

Long story short, hivi kwanin viongoz wetu karibu wote, Upinzani na Serikalini... Hawatumii ubunifu wa Watanzania katika kuhabarisha jamii, ikiwemo JF? Kuna uzito gani?

Wapo radhi walipie Badge kwenye social media nyingine na kutupiga bla bla huko ... Na mara nyingine kufunga comments..

Sasa JF kujiunga na kuitumia ni bure... Kwanin hatutaki vya nyumbani?

Kiongozi wangu Pascal Mayalla nashukuru huwa unafanya hivyo

Tatizo lipo wapi?
 
Barangumu limelia..

Nchi tajiri zinaona zinafilisi kodi za wananchi wao kwa kuisaidia Africa misaada ya "kishenzi" wakati viongozi wetu wakielea kwenye matumizi ya " anasa"

Burkinafaso Imeonyesha mfano wa kutaka kujitegemea na kuondokana na wakoloni mazima... Wameanza na kutengeneza magari yao..

Vikwazo walivyopigwa N.Korea, Urusi, Iran na Venezuela ingekuwa Africa tungekula nyasi kwa umbumbu au kujibwetekea kwetu .

Moja ya dalili za nchi ambazo hazina mpango wa kujitegemea angalia matendo ya viongozi wake ... lakini zaidi ustaarabu wa jamii yake .. logic katika kutunga sheria nk..

Long story short, hivi kwanin viongoz wetu karibu wote, Upinzani na Serikalini... Hawatumii ubunifu wa Watanzania katika kuhabarisha jamii, ikiwemo JF? Kuna uzito gani?

Wapo radhi walipie Badge kwenye social media nyingine na kutupiga bla bla huko ... Na mara nyingine kufunga comments..

Sasa JF kujiunga na kuitumia ni bure... Kwanin hatutaki vya nyumbani?

Kiongozi wangu Pascal Mayalla nashukuru huwa unafanya hivyo

Tatizo lipo wapi?
Kudukuliwa🤣
Sie wengine tupo humu kwa sababu we luv JF to the core come what may!
 
Miaka ya nyuma kabla utoto haujawa mwingi wanasiasa wengi walikuwepo humu.
Na pia miaka hiyo Jf ilikua imestaarabika sana kwa kua na maturity peoples sio kama leo.
Mwisho wengi walikimbia ili kutunza heshma zao kwasababu walikua ni verified users.
Na kama mama alivyo wahi kusema kwamba.... anapita pita humu na anasoma yanayo andikwa, ndivyo pia wengi wao hupita na fake ID kama kawaida na wanasoma yote hadi kwenye kulana kimaskhara...😜
 
Kudukuliwa🤣
Sie wengine tupo humu kwa sababu we luv JF to the core come what may!
Sasa wadukuliwe na nani?
Wamejificha kwenye IDs lakin habari hawatupi😂 wanapost hukoo, alafu tukaziokote tuzilete huku, kwel?
 
Miaka ya nyuma kabla utoto haujawa mwingi wanasiasa wengi walikuwepo humu.
Na pia miaka hiyo Jf ilikua imestaarabika sana kwa kua na maturity peoples sio kama leo.
Mwisho wengi walikimbia ili kutunza heshma zao kwasababu walikua ni verified users.
Na kama mama alivyo wahi kusema kwamba.... anapita pita humu na anasoma yanayo andikwa, ndivyo pia wengi wao hupita na fake ID kama kawaida na wanasoma yote hadi kwenye kulana kimaskhara...😜
Je, twitter, instagram, na facebook hakuna utoto?
 
Je, twitter, instagram, na facebook hakuna utoto?
Huko hadi mambo ya Chumbani yapo Live ... Unakuta Kiongoz mkubwa tu ana verified badge...
Hayo matusi huko ndio nyumbani .

Ila mkuu Ushimen pengine ana hoja... Kwamba kuna mabadiliko kias tofaut na zamani..

Ila ni kwa SM zote, kama ilivyokuwa X/Twitter zamani .

Sikuiz ni hovyo kuliko inavyofikirika
 
Miaka ya nyuma kabla utoto haujawa mwingi wanasiasa wengi walikuwepo humu.
Na pia miaka hiyo Jf ilikua imestaarabika sana kwa kua na maturity peoples sio kama leo.
Mwisho wengi walikimbia ili kutunza heshma zao kwasababu walikua ni verified users.
Na kama mama alivyo wahi kusema kwamba.... anapita pita humu na anasoma yanayo andikwa, ndivyo pia wengi wao hupita na fake ID kama kawaida na wanasoma yote hadi kwenye kulana kimaskhara...😜
Akina tibaijuka Nape Nnauye mwigulu nchemba Marehemu Mzee Nondo (sijui ndio alikua anaitwa hivyo) aliwahi kuwa Waziri, Mzeee Mwapachuz Mzee Mark Mwandosya, Dr Slaa Mzee freeman Mbowe Tundu Lissu GODBLESS LEMA na wengine
 
Miaka ya nyuma kabla utoto haujawa mwingi wanasiasa wengi walikuwepo humu.
Na pia miaka hiyo Jf ilikua imestaarabika sana kwa kua na maturity peoples sio kama leo.
Mwisho wengi walikimbia ili kutunza heshma zao kwasababu walikua ni verified users.
Na kama mama alivyo wahi kusema kwamba.... anapita pita humu na anasoma yanayo andikwa, ndivyo pia wengi wao hupita na fake ID kama kawaida na wanasoma yote hadi kwenye kulana kimaskhara...😜
Kuna mtu kanifata pm et anasema mimi ni mtu flan mkubwa hapa tz.
Kila nikimwelekeza haelewi..

Hv mtu ni mbunge kabisa anaweza kuomba connection ya mashangazi wakuu
 
Miaka ya nyuma kabla utoto haujawa mwingi wanasiasa wengi walikuwepo humu.
Na pia miaka hiyo Jf ilikua imestaarabika sana kwa kua na maturity peoples sio kama leo.
Mwisho wengi walikimbia ili kutunza heshma zao kwasababu walikua ni verified users.
Na kama mama alivyo wahi kusema kwamba.... anapita pita humu na anasoma yanayo andikwa, ndivyo pia wengi wao hupita na fake ID kama kawaida na wanasoma yote hadi kwenye kulana kimaskhara...😜
😀😀😀😀 kuna mheshimiwa mmoja hivi muandiko wake najua. Nahisi ashatoa ushuhuda kwenye ule uzi wa kimasihara
 
Jf imevamiwa na watoto. Nakumbuka miaka ya ya nyuma mpaka kule kwenye jukwaa la MMU kulikua na mada nzuri za kujenga ila sasa hivi ukipitia uko kila uzi ni ujinga mtupu.
 
Back
Top Bottom