Kinachowazuia wanasiasa wetu kutumia JF kutupasha habari ni kitu gani?

Kinachowazuia wanasiasa wetu kutumia JF kutupasha habari ni kitu gani?

Barangumu limelia..

Nchi tajiri zinaona zinafilisi kodi za wananchi wao kwa kuisaidia Africa misaada ya "kishenzi" wakati viongozi wetu wakielea kwenye matumizi ya " anasa"

Burkinafaso Imeonyesha mfano wa kutaka kujitegemea na kuondokana na wakoloni mazima... Wameanza na kutengeneza magari yao..

Vikwazo walivyopigwa N.Korea, Urusi, Iran na Venezuela ingekuwa Africa tungekula nyasi kwa umbumbu au kujibwetekea kwetu .

Moja ya dalili za nchi ambazo hazina mpango wa kujitegemea angalia matendo ya viongozi wake ... lakini zaidi ustaarabu wa jamii yake .. logic katika kutunga sheria nk..

Long story short, hivi kwanin viongoz wetu karibu wote, Upinzani na Serikalini... Hawatumii ubunifu wa Watanzania katika kuhabarisha jamii, ikiwemo JF? Kuna uzito gani?

Wapo radhi walipie Badge kwenye social media nyingine na kutupiga bla bla huko ... Na mara nyingine kufunga comments..

Sasa JF kujiunga na kuitumia ni bure... Kwanin hatutaki vya nyumbani?

Kiongozi wangu Pascal Mayalla nashukuru huwa unafanya hivyo

Tatizo lipo wapi?
Tuna watawala sio viongozi..kiongozi ni mtu anaewashawishi wananchi ktk maono yake na kwa asilimia kubwa wakakakubaliana nae..sasa tuna viongozi ambao hawataki kuulizwa maswali na wananchi !!!wamekosa sifa za uongozi, ni Watawala..
 
Barangumu limelia..

Nchi tajiri zinaona zinafilisi kodi za wananchi wao kwa kuisaidia Africa misaada ya "kishenzi" wakati viongozi wetu wakielea kwenye matumizi ya " anasa"

Burkinafaso Imeonyesha mfano wa kutaka kujitegemea na kuondokana na wakoloni mazima... Wameanza na kutengeneza magari yao..

Vikwazo walivyopigwa N.Korea, Urusi, Iran na Venezuela ingekuwa Africa tungekula nyasi kwa umbumbu au kujibwetekea kwetu .

Moja ya dalili za nchi ambazo hazina mpango wa kujitegemea angalia matendo ya viongozi wake ... lakini zaidi ustaarabu wa jamii yake .. logic katika kutunga sheria nk..

Long story short, hivi kwanin viongoz wetu karibu wote, Upinzani na Serikalini... Hawatumii ubunifu wa Watanzania katika kuhabarisha jamii, ikiwemo JF? Kuna uzito gani?

Wapo radhi walipie Badge kwenye social media nyingine na kutupiga bla bla huko ... Na mara nyingine kufunga comments..

Sasa JF kujiunga na kuitumia ni bure... Kwanin hatutaki vya nyumbani?

Kiongozi wangu Pascal Mayalla nashukuru huwa unafanya hivyo

Tatizo lipo wapi?
Gentleman,
nadhani viongozi waaandamizi na taasisi mbalimbali za umma nyingi tu zimo karibu mitandao yote ya kijamii ikiwemo kwenye platform hii muhimu na ya heshima sana y JF,

huenda hujaridhika tu na kwamba ungependelea mambo mengi zaidi yatolewe taarifa kupitia platform hii,

hata hivyo,
ni kipi kizuri au kibaya ambacho kinawahusu viongozi waaandamizi wa umma au idara za kisekta za serikali halijatekelezwa na kuwekwa bayana humu JF?

Mi nadhani ubunifu na usanifu wa wadau wengi mno kutoka humu jukwaani hutumika kuongoza mambo mengi sana ndani na nje ya serikali 🐒
 
Wengi Waongo Hawaishi Majimboni, Watakachosema Kuna Members Wa JF Wapo Eneo Husika. Hakuna Uwajibikaji Mfano Nina Kisa Cha Mbunge Mmoja Miaka 5
Hajafanya Lolote Jimboni Mwisho Akalipwa Stahiri Zake Zote Na Hakugombea Tena


Jimbo Limedoda Yeye Kaondoka Na Cash Ya Jimbo, Salary Nono, Mafuta Tele, Sitting Allowance Yote, CCM Ipo Tuli Kama Mtungini
Sheria Zibadilishwe Atemeshwe Cash Anayoila
 
Mnawapiga maswali magumu
Mpaka wanakimbia

Ova
 
Barangumu limelia..

Nchi tajiri zinaona zinafilisi kodi za wananchi wao kwa kuisaidia Africa misaada ya "kishenzi" wakati viongozi wetu wakielea kwenye matumizi ya " anasa"

Burkinafaso Imeonyesha mfano wa kutaka kujitegemea na kuondokana na wakoloni mazima... Wameanza na kutengeneza magari yao..

Vikwazo walivyopigwa N.Korea, Urusi, Iran na Venezuela ingekuwa Africa tungekula nyasi kwa umbumbu au kujibwetekea kwetu .

Moja ya dalili za nchi ambazo hazina mpango wa kujitegemea angalia matendo ya viongozi wake ... lakini zaidi ustaarabu wa jamii yake .. logic katika kutunga sheria nk..

Long story short, hivi kwanin viongoz wetu karibu wote, Upinzani na Serikalini... Hawatumii ubunifu wa Watanzania katika kuhabarisha jamii, ikiwemo JF? Kuna uzito gani?

Wapo radhi walipie Badge kwenye social media nyingine na kutupiga bla bla huko ... Na mara nyingine kufunga comments..

Sasa JF kujiunga na kuitumia ni bure... Kwanin hatutaki vya nyumbani?

Kiongozi wangu Pascal Mayalla nashukuru huwa unafanya hivyo

Tatizo lipo wapi?
Sijaelewa umeandika nini. Kujitegemea au kutumia mtandao wa JF? Kwani JF ya Tanzania? Mbona mnasemaGA savers zake zipo Marekani?
 
Mkuu hebu jiheshimu bana..
Kweli mimi wa kufanana na bichwa komwe aaaah mkuu mbina unanikosea sana..

Kwanini usiseme wewe umefanana na braza chogo
dogo kwa huu uhandsome wangu usinifananishd na viumbe wa ajabu.
 
Back
Top Bottom