Kinamchomsumbua Hananja ni wivu wa kuzidiwa 'trending' na Mfalme Zumaridi

Kinamchomsumbua Hananja ni wivu wa kuzidiwa 'trending' na Mfalme Zumaridi

master of cities

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2015
Posts
429
Reaction score
625
Ieleweke kwamba wachungaji hawa maarufu na manabii maarufu, Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako, Hananja, Malisa, Gwajima, Kimaro na hata yule nabii wa Arusha na wengine wengi hunena yaliyo ya Mungu ila nyuma ya pazia wanaye mfalme wao wanayemtumikia kwa uaminifu mkubwa , huku wakijifunika kwa vifungu vya biblia ambavyo concept yake inarelate na mafundisho ya kijamii na ulimwengu

Hii iko wazi kabisa, lakini kwa vile hapa duniani bhana kila mtu anapambana ili mkono uingie kinywani basi tunakausha maisha yaendelee Hananja hana lolote la kumkosoa Zumaridi mana na yeye ni wale wale wanajua wanayemtumikia sema kazidiwa tu ujanja wa ku_trend, thus why amekuja juu kumshambulia mwenzake ili atembee na upepo

Ni sawa na Zitto uone anamponda Mbowe au Mbowe amponde Zitto, kwa vyovyote hapo sababu ni kuzidiana kwenye ulambaji wa Asali gia ya kutetea wananchi hiyo ni mindset cover
 
Hananja ni mtu anayeongea sana ukweli na si mnafiki,ni mwalimu , ni kiongozi , ni mfariji anaongoza kimwili na kiroho , ni mshauri mzuri sana, juu ya kuwasilisha points zake kwa njia ya comedy, but myself namuelewa sana yaani.

Zumaridi ni mtu ambaye waliomzunguka hawajajua kama ana mental health,sijajua kama hawajui ,huenda Kuna manufaa wanapata pale,maana binadamu tunapenda sana mteremko,maana mtu mwenye akili timamu hawezi zungumza utumbo kama ule.
 
Ieleweke kwamba wachungaji hawa maarufu na manabii maarufu, Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako, Hananja, Malisa, Gwajima, Kimaro na hata yule nabii wa Arusha na wengine wengi hunena yaliyo ya Mungu ila nyuma ya pazia wanaye mfalme wao wanayemtumikia.

Hii iko wazi kabisa, lakini kwa vile hapa duniani bhana kila mtu anapambana ili mkono uingie kinywani basi tunakausha maisha yaendelee Hananja hana lolote la kumkosoa Zumaridi mana na yeye ni wale wale wanajua wanayemtumikia sema kazidiwa tu ujanja wa ku_trend, thus why amekuja juu kumshambulia mwenzake.

Ni sawa na Zitto uone anamponda Mbowe au Mbowe amponde Zitto, kwa vyovyote hapo sababu ni kuzidiana kwenye ulambaji wa Asali.

ZUMARIDI Ni kichekesho. Ana trend kwa ujinga. Anakwambia malaika wanaongea kisukuma.
 
Back
Top Bottom