Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kiroho kwa tasfiri ya kimwili ni utumbo.Hananja ni mtu anayeongea sana ukweli na si mnafiki,ni mwalimu , ni kiongozi , ni mfariji anaongoza kimwili na kiroho , ni mshauri mzuri sana, juu ya kuwasilisha points zake kwa njia ya comedy, but myself namuelewa sana yaani.
Zumaridi ni mtu ambaye waliomzunguka hawajajua kama ana mental health,sijajua kama hawajui ,huenda Kuna manufaa wanapata pale,maana binadamu tunapenda sana mteremko,maana mtu mwenye akili timamu hawezi zungumza utumbo kama ule.
Zumaridi ni chenga tupu , na usanii mkubwa anafanya , sema ndo njia yake ya kujipatia kipato , kuna watu wanaliibia hili taifa kwa kufisadi na maisha yanaendelea na tunawaita wajanja , zumaridi ameamua afanye hvyo ajipatie kipato anakuja boya mmoja mlevi na dini yake feki , na saikolojia yake ya kuwabeba wahuni wenzake anakuja kumkosoa , anamkosoa kwa kile ambacho hata yeye anafanya ila kwa njia nyingine , Zumaridi wafuasi wake wamemuelewa na wanampa sadaka life linaenda madam havunji sheria , kama ambavyo wafuasi wa waganga na freemason wanatii na kutoa sadaka hata za kafara za watoto wao ili life liende ,Kwahiyo tumekubaliana kua Zumaridi alienda mbinguni au hakwenda?
Kwahiyo Paulo ni kweli alitaka kumuoa Zumaridi ila Zumaridi akakataa?
Na vipi kuhusu Jua kumtokea chumbani kwake usiku?
Nitarudi kusoma majibu.
SureHii ni biashara huru, uzuri wa zumaridi ajawahi waponda wenzake.
Yeye na wafuasi wake.
SAsa hivi ajitahidi awe karibu na walamba asali Ili jela imuogope kama wafanyavyo wajasiliadini wenzake.
Me naona wote Lao moja ....wana tafta attentionZumaridi katake airtime , na ameenda viral inashangaza wachungaji wanojua siri ya urembo wamekaa kimya , kihere here cha hananja kudandia mwenzake , ikobhzi kama anjijua ana hoja ya msingi atafte hekima kama akili kubwa za mwakasege although lao ni moja
Ila unapotuma nauli kwa mwanamke mkutane lodge kwa ajili ya kuzini siyo dhambi..?? [emoji848]Kula hela ya mwanume huo ni wizi na Mungu alisema usiibe
Na yenyewe ni dhambi mana imeandikwa usizini ,Ila unapotuma nauli kwa mwanamke mkutane lodge kwa ajili ya kuzini siyo dhambi..?? [emoji848]
MAKOBAZISasa Zumaridi ni dini gani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu nae za chini ya kapeti si nasikia etiii ni mkoboaji wa unga🤨
She is sick she needs medical attentionHananja ni mtu anayeongea sana ukweli na si mnafiki,ni mwalimu , ni kiongozi , ni mfariji anaongoza kimwili na kiroho , ni mshauri mzuri sana, juu ya kuwasilisha points zake kwa njia ya comedy, but myself namuelewa sana yaani.
Zumaridi ni mtu ambaye waliomzunguka hawajajua kama ana mental health,sijajua kama hawajui ,huenda Kuna manufaa wanapata pale,maana binadamu tunapenda sana mteremko,maana mtu mwenye akili timamu hawezi zungumza utumbo kama ule.
We kima kweli , Billionare kwa lipi , tulete mali za mfalme zumaridi alaf ulete na za huyo hananja , yeye hananja atafte na yeye trending site yale ili aende mjini , sio kudandia hoja za mwenzake , mana tukifukunyua ya kwake na yeye ni wale wale P.O.BoX ..... Motoni ,
Huyo unayemwamini ni mjanja anawezaje dandia hoja za mjinga , basi hananja atakuwa mpumbavu na ww unayemwamini utakuwa ni mwehu
Wewe ni dini gani tuanzie hapo ili nikunyooshe vizur
Zumaridi katake airtime , na ameenda viral inashangaza wachungaji wanojua siri ya urembo wamekaa kimya , kihere here cha hananja kudandia mwenzake , ikobhzi kama anjijua ana hoja ya msingi atafte hekima kama akili kubwa za mwakasege although lao ni moja