Kinamchomsumbua Hananja ni wivu wa kuzidiwa 'trending' na Mfalme Zumaridi

Kinamchomsumbua Hananja ni wivu wa kuzidiwa 'trending' na Mfalme Zumaridi

Mfalme kwa andiko gani?
Imani ya zumaridi na yako ni tofauti , tukianza ku_question uhalali wa dini ya Zumaridi ze same to you tuulize uhalali na ukweli wa dini yako ,ndo mana hapa duniani kuna dini maelfu kila mmoja kivyake na Mungu wake , hatujui nani anamuabudu Mungu sahihi na nani anamuabudu Mungu miyeyusho cha msingi kila mmoja asivunje sheria , kusontesheana vidole kwenye masuala ya imani ambayo mostly ni myth story haitakuwa fresh
 
Hata Gwajima alienda viral kwa video ya sex. Nachojua, ni kwamba Zumaridi anazidi kujianika mbele za watu na ipo siku hata wafuasi wake watamkimbia.
Inashangaza unaamini kuwa Hananja yule mlevi atadumu milele
 
Imani ya zumaridi na yako ni tofauti , tukianza ku_question uhalali wa dini ya Zumaridi ze same to you tuulize uhalali na ukweli wa dini yako ,ndo mana hapa duniani kuna dini maelfu kila mmoja kivyake na Mungu wake , hatujui nani anamuabudu Mungu sahihi na nani anamuabudu Mungu miyeyusho cha msingi kila mmoja asivunje sheria , kusontesheana vidole kwenye masuala ya imani ambayo mostly ni myth story haitakuwa fresh

Kuna imani na kufuru au blasphemy. Yani kuchafua imani ya wengine. Anachofanya Zumaridi ni blasphemy. Unajiita Mungu , lakini kesho unadai Yesu Hana nguvu, kesho kutwa unadai ulitokewa na jua, baadae Tena unadai ulienda mbinguni na kuchumbiwa na Paulo. Maana nyingine anapingana na Biblia inayosema kuwa mbinguni hakuna kuoa Wala kuolewa.
 
Kuna imani na kufuru au blasphemy. Yani kuchafua imani ya wengine. Anachofanya Zumaridi ni blasphemy. Unajiita Mungu , lakini kesho unadai Yesu Hana nguvu, kesho kutwa unadai ulitokewa na jua, baadae Tena unadai ulienda mbinguni na kuchumbiwa na Paulo. Maana nyingine anapingana na Biblia inayosema kuwa mbinguni hakuna kuoa Wala kuolewa.
Imani yake inamruhusu hvyo, na hawezi kuamini unachoamini mana hakijulikani kama ni cha kweli au ni propaganda , yeye anaamini hvyo na ana wafuasi na lyfe linaenda , wewe endelea kuamini unavyoamini katoe zaka kwa wachungaji wale maisha yaendelee kuchafuana kisa imani ya mwingine sio unyama
 
Zumaridi katake airtime , na ameenda viral inashangaza wachungaji wanojua siri ya urembo wamekaa kimya , kihere here cha hananja kudandia mwenzake , ikobhzi kama anjijua ana hoja ya msingi atafte hekima kama akili kubwa za mwakasege although lao ni moja
Fafanua hapo kwenye lao ni moja
 
Kuhusu Masanja sijui kwa sababu sijawahi sikia mahubiri yake. Ila Mwakasege ana shida gani, mbona anafundisha vizuri sana
Mafundisho yale baadhi ni nadharia not practical, ndo maana wafuasi wao hayawasaidii japo wanajaza notisi. Mfano mtu anaendelea na zinaa japo ana notisi za kutosha kuhusu zinaa
 
Hiyo siyo imani. Tofautisha imani na kufuru. Alikuja nabii Tito watu wakamsupport kwenye ile dini yake ya ulevi na uzinzi. Sasa nikuulize swali, utadai nabii Tito aachwe kisa ana imani kwenye kulala na house girl na kulewa pombe?.

Imani lazima iwe kanuni na utaratibu mliokubaliana Kama waumini mbele za Mungu. Sasa wewe uwe Mungu, hapohapo uwe kiongozi wa dhehebu na Tena uwe mchumba wa mtu hiyo sio imani, ni utaahira Kama yule Yesu wa tongoren Kenya au Jehovah wanyonyi.

Tukikaa tukasema waache watu wafanye kufuru kesho yatatokea mambo ya ajabu tutabaki tumeshangaa hatuna Cha kufanya Kama ushoga ulivyoshamiri.
 
Hananja ni mtu anayeongea sana ukweli na si mnafiki,ni mwalimu , ni kiongozi , ni mfariji anaongoza kimwili na kiroho , ni mshauri mzuri sana, juu ya kuwasilisha points zake kwa njia ya comedy, but myself namuelewa sana yaani.

Zumaridi ni mtu ambaye waliomzunguka hawajajua kama ana mental health,sijajua kama hawajui ,huenda Kuna manufaa wanapata pale,maana binadamu tunapenda sana mteremko,maana mtu mwenye akili timamu hawezi zungumza utumbo kama ule.
Sio Ana mental health 😂😂 Sema Ana mental disorder
 
Ieleweke kwamba wachungaji hawa maarufu na manabii maarufu, Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako, Hananja, Malisa, Gwajima, Kimaro na hata yule nabii wa Arusha na wengine wengi hunena yaliyo ya Mungu ila nyuma ya pazia wanaye mfalme wao wanayemtumikia kwa uaminifu mkubwa , huku wakijifunika kwa vifungu vya biblia ambavyo concept yake inarelate na mafundisho ya kijamii na ulimwengu

Hii iko wazi kabisa, lakini kwa vile hapa duniani bhana kila mtu anapambana ili mkono uingie kinywani basi tunakausha maisha yaendelee Hananja hana lolote la kumkosoa Zumaridi mana na yeye ni wale wale wanajua wanayemtumikia sema kazidiwa tu ujanja wa ku_trend, thus why amekuja juu kumshambulia mwenzake ili atembee na upepo

Ni sawa na Zitto uone anamponda Mbowe au Mbowe amponde Zitto, kwa vyovyote hapo sababu ni kuzidiana kwenye ulambaji wa Asali gia ya kutetea wananchi hiyo ni mindset cover
Weka picha ya hananja
 
Imani yake inamruhusu hvyo, na hawezi kuamini unachoamini mana hakijulikani kama ni cha kweli au ni propaganda , yeye anaamini hvyo na ana wafuasi na lyfe linaenda , wewe endelea kuamini unavyoamini katoe zaka kwa wachungaji wale maisha yaendelee kuchafuana kisa imani ya mwingine sio unyama

Halafu jifunze kuongea kwa staha. Kama zaka inaliwa kwenu usinihusishe Mimi?
 
Huwa sifuatilii hawa watu lakini nimeona kwa mara ya kwanza clip za huyo mchungaji
Kwa kweli ana hoja na ni comedy pia
Namfuatilia kucheka tu
Ila anaongea jamaa na ukweli ni mwingi sana

Sasa akihoji huyo mama aseme alienda na usafiri gani mbinguni ni wivu?
Anamfagilia pia ila hakubali huyo mama anayoongea ni kama kachanganyikiwa tu
Kichwa kama ugali
Screenshot_20230317_125607_Instagram.jpg
 
Mafundisho yale baadhi ni nadharia not practical, ndo maana wafuasi wao hayawasaidii japo wanajaza notisi. Mfano mtu anaendelea na zinaa japo ana notisi za kutosha kuhusu zinaa

Mwalimu kashafanya kazi yake hadaiwi, maana kakufundisha kuacha zinaa wewe hutaki.
 
Mwalimu kashafanya kazi yake hadaiwi, maana kakufundisha kuacha zinaa wewe hutaki.
Ni mafundisho yanayokosa uhalisia mfano toa ubarikiwe watu wanatoa lakini hawapati kitu maana mtu anafanya maombi siku tatu kazi siku mbili hajitumi wala hana ubunifu mwusho hapati matokeo japo alitoa kweli mbegu na zaka. Tubahitaji walimu watakaotufundisha vitu practical vyenye uhalisia
 
Ni mafundisho yanayokosa uhalisia mfano toa ubarikiwe watu wanatoa lakini hawapati kitu maana mtu anafanya maombi siku tatu kazi siku mbili hajitumi wala hana ubunifu mwusho hapati matokeo japo alitoa kweli mbegu na zaka. Tubahitaji walimu watakaotufundisha vitu practical vyenye uhalisia

Practical unafanya wewe baada ya mafundisho.
 
Back
Top Bottom