Kinamchomsumbua Hananja ni wivu wa kuzidiwa 'trending' na Mfalme Zumaridi

Kinamchomsumbua Hananja ni wivu wa kuzidiwa 'trending' na Mfalme Zumaridi

Wewe ni dini gani tuanzie hapo ili nikunyooshe vizur
Sidhani kama kujua dini yangu kutafanya uninyooshe maana sijapinda. Lakini msisitizo wangu uko palepale "afya ya akili:". Nilipoona ile 'clip' ya 'Makerubi' wa Mfalme Zumaridi Binti Bundala walivyokuwa wakiruka sarakasi siku alipokuwa anakamatwa nikakumbuka maneno ya BWANA MUNGU ya kuwa "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa". Hapohapo nikakumbuka tukio la Kanungu, Rukungiri kule Uganda mnamo tarehe 18 Machi mwaka 2000, Nikawakumbuka Joseph kibwetere, Credonia Mwerinde, Angelina Mugisha na viongozi Wenzao wa The Movement for the Restoration of the Ten Commandments of God. Nikawakumbuka waliyoyafanya akina Charles Manson na Jim Jones miaka ya nyuma kule Amerika. Nikawaza habari za imani za Davidian (Davidian faith) na Ukapoliptiki (Apocapyptic belief and Apocalyptic ism).

Juzi tena nilipoona na kusikiliza 'clip' ya mahojiano ya Zumaridi katika mtandao wa Millad Ayo kuhusu jua liwakalo usiku, tughorofa turefu twa dhahabu, magari ya mbinguni nikahitimisha tu kuwa kuna kitu hakiko sawa katika jamii hii na nikawaza sana Serikali za Afrika zilijifunza nini tukio la Kanungu la tarehe 18, Machi mwaka 2000?
 
Mambo ya dini Ni magumu Sana..
Unaweza kukuta mungu anamkubali zumalidi
Basi tuu , ndo mana mafarisayo walianza kushangaa Yesu kula sahani moja na makahaba na wahuni wengine , wakaconclude huyu mtu hakutoka kwa Mungu mana hula na watoza ushuru.....

Hawa wanaojiita wachungaji wanajifanya sana ni maexpert wa kumjua Mungu wakat mostly waongo watupu , wanafiki na wachumia tumbo , na kilingeni tunapishana nao
 
Yaani Mch. Hananja umlinganishe na huo Utopolo???

You must be sick!
Dhibitisha kuwa imani ya hananja inazidi ya zumaridi ....!!! Na kuwa hananja ni mwenye haki kuzidi Zumaridi alafu nije na gazeti la hananja ndo utajua unaamini mtu mbayuwayu zaid ya ze king wa mchongo zumaridi .... Funguka akili wewe usiwe zuzu
 
Sidhani kama kujua dini yangu kutafanya uninyooshe maana sijapinda. Lakini msisitizo wangu uko palepale "afya ya akili:". Nilipoona ile 'clip' ya 'Makerubi' wa Mfalme Zumaridi Binti Bundala walivyokuwa wakiruka sarakasi siku alipokuwa anakamatwa nikakumbuka maneno ya BWANA MUNGU ya kuwa "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa". Hapohapo nikakumbuka tukio la Kanungu, Rukungiri kule Uganda mnamo tarehe 18 Machi mwaka 2000, Nikawakumbuka Joseph kibwetere, Credonia Mwerinde, Angelina Mugisha na viongozi Wenzao wa The Movement for the Restoration of the Ten Commandments of God. Nikawakumbuka waliyoyafanya akina Charles Manson na Jim Jones miaka ya nyuma kule Amerika. Nikawaza habari za imani za Davidian (Davidian faith) na Ukapoliptiki (Apocapyptic belief and Apocalyptic ism).

Juzi tena nilipoona na kusikiliza 'clip' ya mahojiano ya Zumaridi katika mtandao wa Millad Ayo kuhusu jua liwakalo usiku, tughorofa turefu twa dhahabu, magari ya mbinguni nikahitimisha tu kuwa kuna kitu hakiko sawa katika jamii hii na nikawaza sana Serikali za Afrika zilijifunza nini tukio la Kanungu la tarehe 18, Machi mwaka 2000?
Imani yako ya biblia na ya zumaridi ni two different story , tudhibitishie kwanza kama imani yako ni ya kweli kuzidi zingine , nikwambie tuu kuwa kwenye biblia ambapo ndo ukristo umejengwa kuna madhehebu zaidi ya 400 na wote hawapatani kabisa , dhana ya kuwa nani ni mkweli kuzidi mwingine bado ni kizungumkuti...!!

Zumaridi anatumia mafungu hayo hayo ya biblia mnamuita mwehu , hananja na wewe mnatumia mafungu hayo hayo ya biblia mnajiita watakatifu , mbona hao manabii na mitume na wachungaji mlio nao makanisani wakitoa ushuhuda kuwa wameoteshwa mnapiga makofi na kusema Aminaaaaa.... Acheni unafiki wazee ,
 
Ieleweke kwamba wachungaji hawa maarufu na manabii maarufu, Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako, Hananja, Malisa, Gwajima, Kimaro na hata yule nabii wa Arusha na wengine wengi hunena yaliyo ya Mungu ila nyuma ya pazia wanaye mfalme wao wanayemtumikia kwa uaminifu mkubwa , huku wakijifunika kwa vifungu vya biblia ambavyo concept yake inarelate na mafundisho ya kijamii na ulimwengu

Hii iko wazi kabisa, lakini kwa vile hapa duniani bhana kila mtu anapambana ili mkono uingie kinywani basi tunakausha maisha yaendelee Hananja hana lolote la kumkosoa Zumaridi mana na yeye ni wale wale wanajua wanayemtumikia sema kazidiwa tu ujanja wa ku_trend, thus why amekuja juu kumshambulia mwenzake ili atembee na upepo

Ni sawa na Zitto uone anamponda Mbowe au Mbowe amponde Zitto, kwa vyovyote hapo sababu ni kuzidiana kwenye ulambaji wa Asali gia ya kutetea wananchi hiyo ni mindset cover
usimfananishe rich bilionea, raisi wa bajaji na boda, mwenyejiti mlezi wa wa wavuta bangi walangada, na mpuuzi zumaridi au wewe ndio zumaridi mwenyewe
 
Ieleweke kwamba wachungaji hawa maarufu na manabii maarufu, Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako, Hananja, Malisa, Gwajima, Kimaro na hata yule nabii wa Arusha na wengine wengi hunena yaliyo ya Mungu ila nyuma ya pazia wanaye mfalme wao wanayemtumikia kwa uaminifu mkubwa , huku wakijifunika kwa vifungu vya biblia ambavyo concept yake inarelate na mafundisho ya kijamii na ulimwengu

Hii iko wazi kabisa, lakini kwa vile hapa duniani bhana kila mtu anapambana ili mkono uingie kinywani basi tunakausha maisha yaendelee Hananja hana lolote la kumkosoa Zumaridi mana na yeye ni wale wale wanajua wanayemtumikia sema kazidiwa tu ujanja wa ku_trend, thus why amekuja juu kumshambulia mwenzake ili atembee na upepo

Ni sawa na Zitto uone anamponda Mbowe au Mbowe amponde Zitto, kwa vyovyote hapo sababu ni kuzidiana kwenye ulambaji wa Asali gia ya kutetea wananchi hiyo ni mindset cover
zumaridi una shida sana, baada ya kutoka mbinguni ndio imekuja tena huku,
hananja anakuambia wewe umeenda mbilinguni umerudi halafu unataka buku mbili yangu,
 
zumaridi una shida sana, baada ya kutoka mbinguni ndio imekuja tena huku,
hananja anakuambia wewe umeenda mbilinguni umerudi halafu unataka buku mbili yangu,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule mama sizani kama yupo sawa kichwani
 
Hananja ni mtu anayeongea sana ukweli na si mnafiki,ni mwalimu , ni kiongozi , ni mfariji anaongoza kimwili na kiroho , ni mshauri mzuri sana, juu ya kuwasilisha points zake kwa njia ya comedy, but myself namuelewa sana yaani.

Zumaridi ni mtu ambaye waliomzunguka hawajajua kama ana mental health,sijajua kama hawajui ,huenda Kuna manufaa wanapata pale,maana binadamu tunapenda sana mteremko,maana mtu mwenye akili timamu hawezi zungumza utumbo kama ule.
Usifananishe Hananja anapoint za maana na anatoa kwenye maandiko sio huyu anaeropoka vitu vya ajabu ajabu
 
Imani yako ya biblia na ya zumaridi ni two different story , tudhibitishie kwanza kama imani yako ni ya kweli kuzidi zingine , nikwambie tuu kuwa kwenye biblia ambapo ndo ukristo umejengwa kuna madhehebu zaidi ya 400 na wote hawapatani kabisa , dhana ya kuwa nani ni mkweli kuzidi mwingine bado ni kizungumkuti...!!

Zumaridi anatumia mafungu hayo hayo ya biblia mnamuita mwehu , hananja na wewe mnatumia mafungu hayo hayo ya biblia mnajiita watakatifu , mbona hao manabii na mitume na wachungaji mlio nao makanisani wakitoa ushuhuda kuwa wameoteshwa mnapiga makofi na kusema Aminaaaaa.... Acheni unafiki wazee ,
Umeelewa nilichoandika lakini?
 
zumaridi una shida sana, baada ya kutoka mbinguni ndio imekuja tena huku,
hananja anakuambia wewe umeenda mbilinguni umerudi halafu unataka buku mbili yangu,
Zumaridi sio maskini kama unavyofkri , ni wajasiliadini wachache sana wanaweza mkalisha Zumaridi kimaslahi , alaf nguvu ya zumaridi huyo hananja anaingia mara 100, Mtu kama millard ayo anafunga safari kwenda kwa Zumaridi na TCRA wamekaa kikao kujadil interview ya Zumaridi and she is only 36 yrs old , mali alizo nazo Zumaridi mnachanga ukoo
 
Usifananishe Hananja anapoint za maana na anatoa kwenye maandiko sio huyu anaeropoka vitu vya ajabu ajabu
Maandiko yapi , ? Nani anahaki miliki ya hayo maandiko kiasi cha kumkosoa mwingine ? Kama hananja alishafika mbinguni aje amkosoe Zumaridi , kama anakunya vyoo vya kulenga daily hapa mjini afunge domo mara moja aliyeenda mbinguni alete mrejesho wa kumkosoa
 
Ieleweke kwamba wachungaji hawa maarufu na manabii maarufu, Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako, Hananja, Malisa, Gwajima, Kimaro na hata yule nabii wa Arusha na wengine wengi hunena yaliyo ya Mungu ila nyuma ya pazia wanaye mfalme wao wanayemtumikia kwa uaminifu mkubwa , huku wakijifunika kwa vifungu vya biblia ambavyo concept yake inarelate na mafundisho ya kijamii na ulimwengu

Hii iko wazi kabisa, lakini kwa vile hapa duniani bhana kila mtu anapambana ili mkono uingie kinywani basi tunakausha maisha yaendelee Hananja hana lolote la kumkosoa Zumaridi mana na yeye ni wale wale wanajua wanayemtumikia sema kazidiwa tu ujanja wa ku_trend, thus why amekuja juu kumshambulia mwenzake ili atembee na upepo

Ni sawa na Zitto uone anamponda Mbowe au Mbowe amponde Zitto, kwa vyovyote hapo sababu ni kuzidiana kwenye ulambaji wa Asali gia ya kutetea wananchi hiyo ni mindset cover
Acha ujuha. Huwezi kulinganisha kenge na tembo mwanangu. Hananja si mganganjaa wala tapeli kama hao miungu wako majuha kama Zumali
 
Back
Top Bottom