kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Akili za kisukuma bwana ,hananja bilionea umfananishe na zumaradi ,punguza upunguani wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini ya machizi 😀Sasa Zumaridi ni dini gani?🤣🤣🤣🤣
Hapo ndipo utagundua tatizo la afya ya akili ni kubwa kiasi gani kwa sasa hapa nchini.Zumarid anapataje watu wa kumtetea?
Usimfananishe mchungaji Hananja na mambo ya kijinga kama zumaridi. Idiot!Ieleweke kwamba wachungaji hawa maarufu na manabii maarufu, Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako, Hananja, Malisa, Gwajima, Kimaro na hata yule nabii wa Arusha na wengine wengi hunena yaliyo ya Mungu ila nyuma ya pazia wanaye mfalme wao wanayemtumikia.
Hii iko wazi kabisa, lakini kwa vile hapa duniani bhana kila mtu anapambana ili mkono uingie kinywani basi tunakausha maisha yaendelee Hananja hana lolote la kumkosoa Zumaridi mana na yeye ni wale wale wanajua wanayemtumikia sema kazidiwa tu ujanja wa ku_trend, thus why amekuja juu kumshambulia mwenzake.
Ni sawa na Zitto uone anamponda Mbowe au Mbowe amponde Zitto, kwa vyovyote hapo sababu ni kuzidiana kwenye ulambaji wa Asali.
We kima kweli , Billionare kwa lipi , tulete mali za mfalme zumaridi alaf ulete na za huyo hananja , yeye hananja atafte na yeye trending site yale ili aende mjini , sio kudandia hoja za mwenzake , mana tukifukunyua ya kwake na yeye ni wale wale P.O.BoX ..... Motoni ,Akili za kisukuma bwana ,hananja bilionea umfananishe na zumaradi ,punguza upunguani wako
Huyo unayemwamini ni mjanja anawezaje dandia hoja za mjinga , basi hananja atakuwa mpumbavu na ww unayemwamini utakuwa ni mwehuUsimfananishe mchungaji Hananja na mambo ya kijinga kama zumaridi. Idiot!
Wewe ni dini gani tuanzie hapo ili nikunyooshe vizurHapo ndipo utagundua tatizo la afya ya akili ni kubwa kiasi gani kwa sasa hapa nchini.
Mjinga sana wewe mfuasi wa ZumaridiHuyo unayemwamini ni mjanja anawezaje dandia hoja za mjinga , basi hananja atakuwa mpumbavu na ww unayemwamini utakuwa ni mwehu
Zumaridi katake airtime , na ameenda viral inashangaza wachungaji wanojua siri ya urembo wamekaa kimya , kihere here cha hananja kudandia mwenzake , ikobhzi kama anjijua ana hoja ya msingi atafte hekima kama akili kubwa za mwakasege although lao ni mojaHaya tusaidie pia kinacho msumbua zumaridi ni kipi ....ili mzani ikae sawa
Wewe mfuasi wa hananja mwehu na mlevi utakuwa ni mfuasi wa upinde wa mvuaMjinga sana wewe mfuasi wa Zumaridi
Juzi nilikuwa na pastor mmoja tukashare jinsi Zumarid alivyopata waumini. Afya ya akili ni tatizo kubwaHapo ndipo utagundua tatizo la afya ya akili ni kubwa kiasi gani kwa sasa hapa nchini.
Na ndivyo itakavyokuwaZUMARIDI anakwambia aliona wadada wanaokula nauli za wanaume wakichomwa moto mbinguni [emoji4]
Askari wa Zanzibar we mjingaWewe mfuasi wa hananja mwehu na mlevi utakuwa ni mfuasi wa upinde wa mvua
Hata ukimuona mtu anaenda kwa mwakasege , mwamposa , masanja , gwajima and be like , jua hyo ni manipulation na dishi limeyumbaJuzi nilikuwa na pastor mmoja tukashare jinsi Zumarid alivyopata waumini. Afya ya akili ni tatizo kubwa
Hiyo ni dhambi ya mwisho katika dhambi zote unazozijua huenda hata isihesabike kama dhambi ila ni hitirafu tu.Na ndivyo itakavyokuwa
Kuhusu Masanja sijui kwa sababu sijawahi sikia mahubiri yake. Ila Mwakasege ana shida gani, mbona anafundisha vizuri sanaHata ukimuona mtu anaenda kwa mwakasege , mwamposa , masanja , gwajima and be like , jua hyo ni manipulation na dishi limeyumba
Kula hela ya mwanume huo ni wizi na Mungu alisema usiibeHiyo ni dhambi ya mwisho katika dhambi zote unazozijua huenda hata isihesabike kama dhambi ila ni hitirafu tu.