master of cities
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 429
- 625
- Thread starter
-
- #121
Una matatizo makubwa ya akili kakojoe ulaleAcha ujuha. Huwezi kulinganisha kenge na tembo mwanangu. Hananja si mganganjaa wala tapeli kama hao miungu wako majuha kama Zumali
Fwaki you. Wewe ni taa hiraaa na seeeengeeeUna matatizo makubwa ya akili kakojoe ulale
Mwenye degree zake anaenda kumsikiliza la saba na kutoa comment , hapo ni nani mpumbavu ,Zumaridi ana mental health disorders. Elimu hana. Hajasoma chochote kuhusu theology. Ni std seven failure. Ni kama nabii Tito. Sasa useme mtu amuonee wivu nabii Tito?
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Kanywe henesy na hananja yupo nimemuacha pale kitambaa cheupe tikiti maji weweFwaki you. Wewe ni taa hiraaa na seeeengeee
Hapa hoja si nani bali nini kimesemwa mwanangu. Ficha ujinga na kufichua busara japo kiduchu au siyo?Mwenye degree zake anaenda kumsikiliza la saba na kutoa comment , hapo ni nani mpumbavu ,
Nasema tena fwaki you in your mouthKanywe henesy na hananja yupo nimemuacha pale kitambaa cheupe tikiti maji wewe
Yaani huyu zumaridi dishi lishayumba zamani tu.Ila wanadami sisi badala hao wafuasi wamsaidie apate tiba wao wamekuwa mstari wa mbele kumshanhilia.Mungu tusaidieZUMARIDI ataondoka na wengi. Kama mawazo ndio haya. Alianza kujiita Mungu, baadae kabadilika kasema alienda mbinguni na kuchumbiwa na Petro akamkataa.
Ukikomment kwa mjinga basi unakuwa mpumbavu pevuka basiHapa hoja si nani bali nini kimesemwa mwanangu. Ficha ujinga na kufichua busara japo kiduchu au siyo?
Mie saizi ya baba yako aliyesimika kitu ukatokaUkikomment kwa mjinga basi unakuwa mpumbavu pevuka basi
Dishi lililoyumba haliwezi sababisha TCRA wakae kikaoYaani huyu zumaridi dishi lishayumba zamani tu.Ila wanadami sisi badala hao wafuasi wamsaidie apate tiba wao wamekuwa mstari wa mbele kumshanhilia.Mungu tusaidie
Sibishani na kengeMie saizi ya baba yako aliyesimika kitu ukatoka
Nami sibishani na mseeenge kama veve kumbaff kato. mbweeee hukoSibishani na kenge
Nabii tito huyu alikua na wafuasi?? Mbna sina habariiii khaaahZUMARIDI namfananisha na nabii Tito, wengi walimsupport nabii Tito ila baadae wakamkimbia baada ya kukili kwamba yeye Ni shoga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahZUMARIDI anakwambia aliona wadada wanaokula nauli za wanaume wakichomwa moto mbinguni [emoji4]
Wee ndo umemaliza kila kitu.Hii ni biashara huru, uzuri wa zumaridi ajawahi waponda wenzake.
Yeye na wafuasi wake.
SAsa hivi ajitahidi awe karibu na walamba asali Ili jela imuogope kama wafanyavyo wajasiliadini wenzake.
Kila mtu apite njia yake, Hananja aache wivu.Mtu akiongea ujinga asionywe au kushauriwa?. Mtu Leo anajiita Mungu , kesho anadai ametokewa na jua , mara amekutana na Petro akataka kumchumbia etc. Uongee yote hayo ya kujicontradict na watu wakae kimya?. No please.
Sasa wee unaumia nn hapo? Si uwe buzz na hiyo imani yako.Kuna imani na kufuru au blasphemy. Yani kuchafua imani ya wengine. Anachofanya Zumaridi ni blasphemy. Unajiita Mungu , lakini kesho unadai Yesu Hana nguvu, kesho kutwa unadai ulitokewa na jua, baadae Tena unadai ulienda mbinguni na kuchumbiwa na Paulo. Maana nyingine anapingana na Biblia inayosema kuwa mbinguni hakuna kuoa Wala kuolewa.
Ufia dini unakusumbua poleeeee, muacheni zumaridi na wafuasi wake, kwan mnateseka na kipi? Su mbaki na imani zenu??Hiyo siyo imani. Tofautisha imani na kufuru. Alikuja nabii Tito watu wakamsupport kwenye ile dini yake ya ulevi na uzinzi. Sasa nikuulize swali, utadai nabii Tito aachwe kisa ana imani kwenye kulala na house girl na kulewa pombe?.
Imani lazima iwe kanuni na utaratibu mliokubaliana Kama waumini mbele za Mungu. Sasa wewe uwe Mungu, hapohapo uwe kiongozi wa dhehebu na Tena uwe mchumba wa mtu hiyo sio imani, ni utaahira Kama yule Yesu wa tongoren Kenya au Jehovah wanyonyi.
Tukikaa tukasema waache watu wafanye kufuru kesho yatatokea mambo ya ajabu tutabaki tumeshangaa hatuna Cha kufanya Kama ushoga ulivyoshamiri.