Kinamchomsumbua Hananja ni wivu wa kuzidiwa 'trending' na Mfalme Zumaridi

View attachment 2558875
Huyu hapa , kila kukicha anazurura kwenye media , mwenzake kafanya interview moja tuu ya kibabe tena millard ayo kamfata home kwake , interview moja tuu imeenda mjini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyu mzee wivu wa nn? Si nayee akafanye intavoo na milard Ayo atrend town.

Atuache na Zuma wetu. Uwiiiih
 
Zumaridi jana alikua kwenye show ya rayvanny,sio shida zake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787],zumaridi mimi namchukulia kama.comedian fulani hivi unamsikiliza unacheka unaondoa stress,mengine unamuachia mwenyewe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiiii.
 
ukoo wenu
 
Zumaridi jana alikua kwenye show ya rayvanny,sio shida zake
🤣🤣🤣,zumaridi mimi namchukulia kama.comedian fulani hivi unamsikiliza unacheka unaondoa stress,mengine unamuachia mwenyewe!
Hana tofauti na mandonga mtu kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…