Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!


Huyo ndiye Magufuli, jembe @ katapila
 
Angalia waliotoa matusu hayo walisha r.i.p
 
tume inaundiwa tume?? wakati mwananyamala wanatibu tezi dume.....cc roma mkatoliki...viva ukawa vivaaaaaa
 

Da mwaka huu kaz ipo Mangufuli alisema anajua matatizo ya hii inchi sasa unaunda jobo la nini??

Mimi nasema watanzania tusifanye makosa ni kuwatoa tu maccm hamna mpya yale yaleeee.
 
Nyie watu mtaacha lini kudihaki watu, wenzio walishaacha kutoa maths km haya unataka kutangulia mbele za haki?
 
Magufuli ndio Rais wa awamu inayokuja

Mkuu bila kuegemea upande wowote ule, kwa nyakati tofauti na maeneo tofauti, huko uliko au popote pale unapotaka, fanya utafiti wako binafsi uone katika watu 10 ni wangapi wako na CCM (Magufuli) na wangapi wako na UKAWA (Lowassa). Majibu utakayoyapata ni siri yako. Mwaka huu ni tofauti na chaguzi zingine zote za nyuma. Tukutane 25 October.
 
Ccm lazima wakatwe safari hii. Watauba kura lkn bado hazitawatosha
 
Ccm Ni Sikio La Kufa

Ukikuta Ccm Inapambana Na Nyoka Porini Msaidie Nyoka Ili Kuiuwa Ccm Maana Mbele Ya Safari Najua Nyoka Atakusaidia Siyo Ccm.
live bila chenga na umeamua kuwapa ccm makavu
 
Jopo la uchunguzi la mikataba feki!

mitambo ya gesi naskia ni ya mtu binafsi! big no kura yangu UKAWA
 
Hahaha! Kazi kwelikweli! Isije ikawa shuka inakumbukwa asubuhi! Huko watapokwenda hao wengine wasanii watakuwepo pia!? Huyo Kinana si alishazunguka nchi nzima ina maana hawakumuelewa!?

Watu wamechoka, wanaelewa mabadiliko tu.

Ccm wana kazi ngumu.

#kazikwelikweli
 
Mnamshangaa Magufuri wakati yeye anaelewa alikuwa anafanya kazi na si maigizo kama nyie ..kapiga kazi na kazi imeisha mtaani sahivi kaanza na kupanga kikosi tayari, nyie endeleeni kutengeneza maigizo huko serengeti
Huyu ndo Magufuri, hapa ni kazi kwa kazi ..Hapa ni kazi tu.
 
Nikisikia neno ccm nakumbuka bunge la katiba chuki inazidi hasa nikimuona yule mama mwenza..hebu jaribu kukumbuka alivyokuwa naibu mwenyekiti maneno yake

Mwenza alikuwa anatema mitusi ya laana. Naona kule ccm ukiweza kuwatusi au kuwapiga wazee unapewa motisha ya uongozi.

Ccm kwangu ni kichefuchefu.
 

Ccm ni ile ile,
Ccm haina jipya,

#kazikwelikweli
#mabadiliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…