macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
mienendo yao inanipa mashaka, wanafanya kama ni chama kipya kabsaaa!!!
huku ndo kule mfa maji ..............
Mkuu hata mmarekani aliyopo New York anaelewa matatizo yetu kuliko hawa CCM. Halafu vitu vingi wanavyoahidi kuvibadilisha inatakiwa kwanza wabadili katiba iwe kama ile ya Warioba. Jambo ambalöo hawataki