macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
mienendo yao inanipa mashaka, wanafanya kama ni chama kipya kabsaaa!!!
huku ndo kule mfa maji ..............
Binafsi siioni kwa mtazamo wako huo. Ni vizuri kufanya hivyo ili watekeleze bizuri yaliyomo kwenye ilani yao na ahadi za papo kwa papo wanazozitoa majukwaani - maana mhombea urais, makamu wake na wapambe wote wameenda wakiahidi! Kinachonisumbua katika hili ni dharau wanayoionyesha kwa Watanzania, kwamba wao hatatusipowapihia kura tayari wameshinda! Hii kwangu ni dharau kubwa kwa demokrasia, anagalabu wangeyafanya kimyakimya. Najua hii ni mojawapo ya mkakayi wao kuwakatisha tamaa wapiga kura walio kinyume na wao lakini hawakuiangalia vyema upande mwingine
mienendo yao inanipa mashaka, wanafanya kama ni chama kipya kabsaaa!!!
huku ndo kule mfa maji ..............
Ccm Ni Sikio La Kufa
Ukikuta Ccm Inapambana Na Nyoka Porini Msaidie Nyoka Ili Kuiuwa Ccm Maana Mbele Ya Safari Najua Nyoka Atakusaidia Siyo Ccm.
Wana bodi!
Hali ya CCM ni mbaya sana. Hawakutegemea kabisa kuwa watanzania watawakataa kama inavyotokea sasa. Na katika ku-panic na kuonyesha taharuki wamejikuta wanafanya mambo yanayozidi kuwafumbua wananchi macho na kuiona CCM ni kundi la matapeli:
1; Matusi ndio imekuwa ilani yao ya uchaguzi.
2: Magufuli ameshindwa kujinadi kwa kutumia jina la CCM na badala yake anajinadi kama mgombea binafsi.
3: Na kali ya funga kazi ni hii iliyotokea leo: wamekuja na mpango wa maandalizi ya ilani mpya huku ile ya zamani wakiwa wameitupa. Hebu oneni huu utapeli:
My take: CCM wanazidi kuonyesha utapeli, ulaghai na kuwa ni wale wale wala hawakuwa wamejiandaa. Hivi kweli inaweza kuingia akilini mtu kusema Chama kilichotawala muda wote huu haya mambo kilikuwa hakiyajui na sasa ndio wameshtuka na wanaanza kuchunguza? Si ni kwasababu wameona hali ni mbaya ndio maana wanakuja na mipango mipya huku hata iliyopo kwenye ilani haijatekelezwa?
Wanabodi.....nasikia hii ndo itakua fimbo ya mwisho kwa wapinzani wake kwa chama tajwa hapo juu kupitia mgombea wake kujinadi kua itairudisha rasimu ya Warioba.....Hii itasemwa siku ya Ufungaji wa Kampeni zake ili kuwanyima wapinzani wake muda wa kujadili hili....
Wanabodi.....nasikia hii ndo itakua fimbo ya mwisho kwa wapinzani wake kwa chama tajwa hapo juu kupitia mgombea wake kujinadi kua itairudisha rasimu ya Warioba.....Hii itasemwa siku ya Ufungaji wa Kampeni zake ili kuwanyima wapinzani wake muda wa kujadili hili....
Upo sawa mkuuUko kama mimi ninaimani na magufuli sana ntamchagua mapema kabisa.
FISADI=LOWASA LOWASA=JIZI NB:Huwezi kula matapishi yakoMAGUFULI=CCMCCM=MAGUFULI.Nb:huwezi ukaupenda mchuzi wa samaki alafu usiipende samaki.