Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

Magufuli ni mgombea binafsi, kaja na Ilani mpya katikati ya safari.
 
kama anaunda serikali wakati serekali halali ya JK bado ipo kikatiba basi ni uhaini.
 

----- mtupu. Ataongoza ile nchi ya kwenye kitabu cha kusadikika cha marehemu shaban robert, lakini sio hii tanzania. Mtu anaongea bila breki, ivi ana familia??????????
 
Hiyo mtoa mada anaejiita chomoa chupi matakoni(ccm) nae kaishiwa pumzi!!!!! Magufuli aunde jopo la nguvu za Giza!!!
 

----- mtupu. Ataongoza ile nchi ya kwenye kitabu cha kusadikika cha marehemu shaban robert, lakini sio hii tanzania. Mtu anaongea bila breki, ivi ana familia??????????
 
CCM kweli mna hali mbaya ile timu kampeni yenu watu 32 Imefia wapi?Mmeamua kujimaliza wenyewe Mkapa anakuja kutusaidia UKAWA kuizika rasmi ccm tarehe 25.10.2015 .


LOWASA HUYO ANAKUJA NA TANZANIA MPYA.
 
Hayo ni maandalizi mazuri. Hakuna sababu ya kupoteza muda baada ya uchaguzi. Wananchi wanakiu ya mabadiliko. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 

Tuondoe wakuu wa wilaya wrote.tuondoe mishahara ya wabunge kazi ya kujitolea
 
tupo pamoja sana! na mimi invisible fun of MAGUFULI nimeshatembea mikoa ya Mtwara, Pwani, Mwanza na Morogoro... nimeweza kushawishi na kuwabadilisha wafuasi 100 wa UKAWA kumpigia KURA YA NDIO MAGUFULI....na natumaini kila mmoja ataweza kushawishi wengine 5.... target yangu ni Kumpatia magufuli Kura 1000 + za ndio....
 
Ikiwa wamejidhihirishia ushindi, hawa wengine wanazunguka ili iweje kama si kumaliza pesa za walipa kodi bila sababu. Ushindi wenu, mna uhakika, mnaranda nini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…