Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

Huko ni kuchanganyikiwa, kuunda kabla ya matokeo! Naona wanacheza na ujinga wa watu. Imekula kwao ccm safari hii hawachomoi n'go
 
Nilicho kujua ni kuwa magufuli hakuwa amejianda kuwania nafasi ya urais, hivyo chama chake kinge mbeba. Lakusikitisha ni kuwa hata chama hakikuwa na maandalizi!!!!.
 
Nilicho kujua ni kuwa magufuli hakuwa amejianda kuwania nafasi ya urais, hivyo chama chake kinge mbeba. Lakusikitisha ni kuwa hata chama hakikuwa na maandalizi!!!!.

Shida ni pale Mwenyekiti anapokuja kikaoni na majina yake mfukoni badala yale ya kikaoni.
 
Jopo la wehu kutoka kwa mshauri mwehu. So heri wangeunda jopo la kuwashauri wafanya nini chama chao kisipasuke mapande na kufa kabisa baada ya kushindwa uchaguzi mkuu
 
Hii ni kudharirisha Taaluma ya PHD. Yaani Unaenda Ikulu hujui matatizo ya watanzania. Ningekubaliana na Jopo kama kungekuwa na Term of Reference(TOR)
 
Hii ni kudharirisha Taaluma ya PHD. Yaani Unaenda Ikulu hujui matatizo ya watanzania. Ningekubaliana na Jopo kama kungekuwa na Term of Reference(TOR)
Lakini pia inadhihirisha ni namna gani huyu bwana hakujipanga kugombea Urais. Amekariri ilani ya CCM lakini hata hajui bado maeneo ya kubana matumizi! Anataka ma-profesa wamtajie majibu. Isipotekelezeka aje na zile za Kikwete - ameshauriwa vibaya.
 
Huko ni kuchanganyikiwa, kuunda kabla ya matokeo! Naona wanacheza na ujinga wa watu. Imekula kwao ccm safari hii hawachomoi n'go
Magufuli na ccm ni wagonjwa wanasubiri kukata roho tu wazikwe rasmi..halI alionayo kwa kweli ni mbaya si mijini wala vijijini..itakuwa aibu mwaka huu!
 
Uko sahihi Mkuu hii Taaluma ya PHD ni uchumi tumbo. Eti Dr. Pombe
 

Attachments

  • 1444649177993.jpg
    35.7 KB · Views: 123
Wamechelewa sana.Hayo yalitakiwa yawe yameshafanyiwa kazi zamani.Yalipaswa kuwa sehemu ya ilaani ya TANU ya 1954.Hizo sio ajenda za 2015.Hawa jamaa wametuchelewesha sana.They must be punished.
 
Magufuli mwenyewe keshafloat unafanya mchezo na nguvu ya umma
 
Jopo la wehu kutoka kwa mshauri mwehu. So heri wangeunda jopo la kuwashauri wafanya nini chama chao kisipasuke mapande na kufa kabisa baada ya kushindwa uchaguzi mkuu

PakiJinja, nakushauri utafute kazi ya kufanya. naona unajifunza siasa ila hujuwi madhara yake. kama una chuki, uchungu vile hadi unatoa matusi. jihadhari mkono wa dola mrefu sana. chunga sana, tuko nyakati za majeruhi. bado siku 13. hutavumiliwa. matokeo yatakushangaza lakini itakuwa imetoka.
 
Hata wewe mwenyewe hujui kinachoendelea unapelekwa tu kiushabiki...chopa 4 zimepangwa kutumika, na mgombea atatumia itakapomlazimu. Kwahiyo ccm halali, wengine haramu.

Mkuu mimi sio kama Nyumbu waendao MASAI MARA wakati wa masika, si unajua tena wao ni bendera fuata upepo,Watanzania wengi wanao ona mbali hawezi kufanya makosa ya kuwapa kura za ndio kudi ambalo halina msimamo, nilisha sema siku nyingi hatuwezi kukubali Taifa letu litumbukie kwenye unyang'au unao fanana Urusi wakati wa utawala wa Yeltsin.

Tukirudi kwenye mada, hapo wewe umekubali kwamba "MGOMBEA wa CCM atatumia Chopa itakapo LAZIMU" je mgombea wa AKAWA anatumia chopa wakati gani - muda wote yuko angani!! - kisa? hataki shida, hotuba zake dakika tatu tatu, party manifesto eti "mtaisoma kwenye mtandao"!! Mnakaa mnajidanganya eti akishida atawakumbuka walala hoi - hizi kama sio ndoto za mchana ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…