Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

AuUsEfc-Bck6GpKSN8AT8cNFzNx23qKVbW9t7xIcFEf7.jpg
 
Haya majukumu yananipa shida sana

Mbona kama haya yalitakiwa yawe ndio source ya ilani ya CCM wakati huu wa uchaguzi?? ina maana ile ilani imeandikwa bila hiyo baseline info

Sometimes nadhani CCM ina wapishi wengi mno kiasi kwamba inaharibu mapishi

Je, sasa hicho kikosi kazi kitaifumua ilani ya ccm 2015-2020??
AuUsEfc-Bck6GpKSN8AT8cNFzNx23qKVbW9t7xIcFEf7.jpg
 
Haya majukumu yananipa shida sana

Mbona kama haya yalitakiwa yawe ndio source ya ilani ya CCM wakati huu wa uchaguzi?? ina maana ile ilani imeandikwa bila hiyo baseline info

Sometimes nadhani CCM ina wapishi wengi mno kiasi kwamba inaharibu mapishi

Je, sasa hicho kikosi kazi kitaifumua ilani ya ccm 2015-2020??
Alpjm6Axzh5rtL5k5Of3h_jpRAzyBOcbVwGw4G9uMCtN.jpg
 
Magufuli ananishangaza sana, sasa hivi wakati wa kampeni zake tu kuna amri anazitoa kana kwamba tayari ameshatawazwa kuwa rais, je akishaapishwa hali itakuwaje? Kingine kinanishangaza Radio Clouds wanapiga wimbo wa taifa wakati wakitoa tangazo la Magufuli kuomba kura kama vile yeye tayari ni rais wa nchi. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa katiba ya nchi. Lakini tume ya taifa ya uchaguzi iko kimya.
Alpjm6Axzh5rtL5k5Of3h_jpRAzyBOcbVwGw4G9uMCtN.jpg
 
magufulia aache kutisha watu, urais ana uhakika. ushauri kwake aache mbwembwe muda anao wa kuanza na kupanga mambo yake endapo ataupata. lakini watz wanataka mabadiliko toka nje ya ccm. kwahiyo yeye si mlengwa amuulize membe alivyokuwa na kiherehere mwishoni yakamkuta na jimbo keshakabidhi wapinzani, maana nnape lazima asahaulike kwenye sanduku la kura tar. 25/10/2015
Alpjm6Axzh5rtL5k5Of3h_jpRAzyBOcbVwGw4G9uMCtN.jpg
 
Haya majukumu yananipa shida sana

Mbona kama haya yalitakiwa yawe ndio source ya ilani ya CCM wakati huu wa uchaguzi?? ina maana ile ilani imeandikwa bila hiyo baseline info

Sometimes nadhani CCM ina wapishi wengi mno kiasi kwamba inaharibu mapishi

Je, sasa hicho kikosi kazi kitaifumua ilani ya ccm 2015-2020??
AraTU3MgkLGgj3a4lu2I3BZc-GlkhU2snAW-34ZgGCZ4.jpg
 
Magufuli ananishangaza sana, sasa hivi wakati wa kampeni zake tu kuna amri anazitoa kana kwamba tayari ameshatawazwa kuwa rais, je akishaapishwa hali itakuwaje? Kingine kinanishangaza Radio Clouds wanapiga wimbo wa taifa wakati wakitoa tangazo la Magufuli kuomba kura kama vile yeye tayari ni rais wa nchi. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa katiba ya nchi. Lakini tume ya taifa ya uchaguzi iko kimya.
AraTU3MgkLGgj3a4lu2I3BZc-GlkhU2snAW-34ZgGCZ4.jpg
 
Uongozi mpya,Chama tawala kipya,maendeleo ya kasi,rais mpya,makamu wa rais mpya,baraza la mawaziri jipya,mafisadi watafunguliwa mashitaka upya,nyumba za serikali zilizouzwa zitarudishwa upya,viwanda vilivyouliwa vitarudishwa upya.Tunatarajia makubwa
 
The Revival of Tanzania. Karibu Magufuli uionyooshe nchi na kusafisha vibaka waliotufikisha hapa

DuppyConqueror, ukitaka kujua Magufuli ni kiongozi bora na siyo bora kiongozi skiliza mijadala ya upinzani wanahofu mno kwani wanajua kadiri siku zinavyokwenda mbele kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015, wanatetemeka na kujisemea, "Jamaa (Magufuli) anatisha!
 
Anauhakika gani wa kushinda UCHAGUZI???Au zile za GOAL LA MKONO???
 
Back
Top Bottom