MANKA MUSA
JF-Expert Member
- Jul 9, 2014
- 924
- 1,096
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya majukumu yananipa shida sana
Mbona kama haya yalitakiwa yawe ndio source ya ilani ya CCM wakati huu wa uchaguzi?? ina maana ile ilani imeandikwa bila hiyo baseline info
Sometimes nadhani CCM ina wapishi wengi mno kiasi kwamba inaharibu mapishi
Je, sasa hicho kikosi kazi kitaifumua ilani ya ccm 2015-2020??
Sijafahamu hv na kwenye majimbo yaliyosimamisha wale aliowaita mawaziri mizigo atafikako?
Haya majukumu yananipa shida sana
Mbona kama haya yalitakiwa yawe ndio source ya ilani ya CCM wakati huu wa uchaguzi?? ina maana ile ilani imeandikwa bila hiyo baseline info
Sometimes nadhani CCM ina wapishi wengi mno kiasi kwamba inaharibu mapishi
Je, sasa hicho kikosi kazi kitaifumua ilani ya ccm 2015-2020??
Magufuli ananishangaza sana, sasa hivi wakati wa kampeni zake tu kuna amri anazitoa kana kwamba tayari ameshatawazwa kuwa rais, je akishaapishwa hali itakuwaje? Kingine kinanishangaza Radio Clouds wanapiga wimbo wa taifa wakati wakitoa tangazo la Magufuli kuomba kura kama vile yeye tayari ni rais wa nchi. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa katiba ya nchi. Lakini tume ya taifa ya uchaguzi iko kimya.
Magazeti mbona mnaandika uchochezi kwanini mmeshwindwa kabisa kuendesha mijadala nakuleta makada was vyama nakuchambua ilani zao nakuandika yalio jiri zidi ya makad hao
magufulia aache kutisha watu, urais ana uhakika. ushauri kwake aache mbwembwe muda anao wa kuanza na kupanga mambo yake endapo ataupata. lakini watz wanataka mabadiliko toka nje ya ccm. kwahiyo yeye si mlengwa amuulize membe alivyokuwa na kiherehere mwishoni yakamkuta na jimbo keshakabidhi wapinzani, maana nnape lazima asahaulike kwenye sanduku la kura tar. 25/10/2015
Haya majukumu yananipa shida sana
Mbona kama haya yalitakiwa yawe ndio source ya ilani ya CCM wakati huu wa uchaguzi?? ina maana ile ilani imeandikwa bila hiyo baseline info
Sometimes nadhani CCM ina wapishi wengi mno kiasi kwamba inaharibu mapishi
Je, sasa hicho kikosi kazi kitaifumua ilani ya ccm 2015-2020??
Magufuli ananishangaza sana, sasa hivi wakati wa kampeni zake tu kuna amri anazitoa kana kwamba tayari ameshatawazwa kuwa rais, je akishaapishwa hali itakuwaje? Kingine kinanishangaza Radio Clouds wanapiga wimbo wa taifa wakati wakitoa tangazo la Magufuli kuomba kura kama vile yeye tayari ni rais wa nchi. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa katiba ya nchi. Lakini tume ya taifa ya uchaguzi iko kimya.
JPM kwa Tanzania mpya
Huyu huyu alouza nyumba za serikali au mwingine
The Revival of Tanzania. Karibu Magufuli uionyooshe nchi na kusafisha vibaka waliotufikisha hapa