Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

kwa kweli kwa upande wa vikosi kazi na organization ccm wako vizuri kuliko UKAWA.nawashauri ukawa ndani ya hizi wiki mbili zilizobaki waingize field vikosi vitatu kimoja kiongozwe na LEMA kingine kiongozwe na mbowe au lissu na cha tatu kiongozwe na mdee. wakichelewa wameliwa. hongereni sana ccm...
 
hzo nne za nini? Na hao wataonaje matatizo ya wananchi? Mavuvuzela tu hamna lolote na namba mmeshaisoma mpaka muda huu

mkuu ccm wameona hatari inayowakabili ndo maana wameingiza vikosi kuikabili hii hali. ni vizuri ukawa wakaiga hii...
 
Amesahau kuunda japo la ma Tsen see au walimu wa judo ili kuwakusanya wabunge wote wa CCM ili wasimamie zoezi la kupiga pushapu na atakayeweza kupiga pushapu nyingi zaidi achaguliwe kuwa waziri mkuu .
Na watakaofuata kwa pushapu nyingi wawe mawaziri na manaibu waziri .
Mana hakuna namna ya kumpata kiongozi bora ndani ya CCM. Pushapu tu . Eeeh.CCM Wamechoka sana.
 
Katika awamu ya nne vyeo kama uwaziri, ukurugenzi wa taasisi, ukuu wa wilaya/mikoa na hata urais wenyewe umefanywa kuwa kitu rahisi sana.
Ni mwendelezo huo huo ndio unapelekea taarifa kama hii kwenye vyombo vya habari, yaani kuonyesha kuwa watu waliostahili umonita wa darasa kushika vyeo vya kitaifa!
 
hakuna namna awe mkapa/awe mwinyi hawana jipya tunamchagua lowassa
 

Magufuli ni dawa ya hayo yote.
 
Nimesoma taarifa ya January Makamba akieleza Rais mtaafu Benjamin Mkapa ataingia kuongeza nguvu ya katika Campaign za Maghufuri.
Je kuingia kwa Mkapa kutaleta mabadiriko kwa wapiga kura?au CCM imeishiwa pumzi?
 
Magufuli amejipanga ataweza kutusaidia sana watanzania kila la kheri magufuli.
 
Umechelewa mkuu tayari taarifa kwa vyombo vya habari imetolewa
 
mzani umeelemea upande mmoja hata wakiongezeka kueweka sawa mzani itakuwa vigumu labda waache matusi jukwaani
 
Jopo la wataalam! ha ha ha! PHD za kisanii ha ha ha! Dr.Dimond, Porofesa Ali Kiba!! ha ha ha
 
Hiyo Ya 5 Kama Kuna Cha Kubadilisha,mchunguze Pia Sheria Ya Mtandao Watu Wawe Huru,ifutwe Au Irekebishwe Maana Imewafanya Watu Weng Kuwa Waoga Hata Kama Walikuwa Na Uwezo Wa Kukosoa Wamejawa Na Uoga.

Huwezi kubadili sheria hizo bila kwanza kutuletea katiba mpya, ile ya Warioba. Sheria mbovu zilishaainishwa na tume ya Jaji Nyalali Francis. Wasome hiyo ripoti na kuitekeleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…