Vipi umeogopa?Nimesoma taarifa ya January Makamba akieleza Rais mtaafu Benjamin Mkapa ataingia kuongeza nguvu ya katika Campaign za Maghufuri.
Je kuingia kwa Mkapa kutaleta mabadiriko kwa wapiga kura?au CCM imeishiwa pumzi?
Mkapa atamharibia magufuri, style yake ya maongezi kwenye jukwaa haina mvuto
safi sana nakuhakikshia na Mimi nitaendelea na kampeni huku kijini kwetu ili rais wetu ashide kwa kishindooo