Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

Hakuna madiliko hapo lowassa anataka ikulu tu, amechemkaa!!
 



Nini hiki?.... Ilani ama...... Mmekataliwa jamani...... Haya yalitakiwa kutokea hata kabla ya kukutana na upinzani mkubwa naona kama mnajaribu kuingiza nadharia saaanaa..... Tena nawaza tu kua hivi haya hayakuwezekana kufanyika ama kuanza kutekelezwa 2005? ,,,,,,kweli ni hali ya kuzidiwa hamna kingine na mengi hapa ni STORY tu.....
Nilikua NAIPENDA saaanaa CCM ila pale nilipoenda hospitali jina kapuni na wife akajifingue.....nilichoka nilichikutana nacho hamna gloves..... Hasira sana ila nilinunua dukani sh.2000 tu....asanteni kwa mlipotufikisha ngoja na LOWASSA ajaribu kama ataharibu karibuni tena 2020......tutawapa..
 
Hotuba ndefu hivyo haijatamka neno UMEME, nyie ccm mmechanganyikiwa kabisa. Mkifikisha kura milioni mbili chinjeni kuchi
 
Sheria ya matumizi wakati wa kampeni iko wapi. Hata mkiafanya nini tumeshamua kuchagua mabadiliko.
 
Siiamini ccm,hata uniahidi kitu gani,jamani mabadiliko ya kweli yapo kwa lowasa,mbona mambo ya mikataba mibovu haiongelewi wakati ndicho ambacho kinaligharimu taifa hilii .
 
Saaafi maana tumefika hapa kwa sababu yao,ngoma itanoga pale watakapo panda jukwaani kuelezea utumbo wao halafu atakapopanda JPM ataanza kuwaponda vibaya kwa kushangaa viwanda kufa,hospitali kukosa dawa,shule kukosa madawati,vijiji kukosa maji,na ufisadi.
 
Mkapa yupo vichochoroni hapa mtwara na priyanka chopra
 
Wana bodi!
Hali ya CCM ni mbaya sana. Hawakutegemea kabisa kuwa watanzania watawakataa kama inavyotokea sasa. Na katika ku-panic na kuonyesha taharuki wamejikuta wanafanya mambo yanayozidi kuwafumbua wananchi macho na kuiona CCM ni kundi la matapeli:
1; Matusi ndio imekuwa ilani yao ya uchaguzi.
2: Magufuli ameshindwa kujinadi kwa kutumia jina la CCM na badala yake anajinadi kama mgombea binafsi.
3: Na kali ya funga kazi ni hii iliyotokea leo: wamekuja na mpango wa maandalizi ya ilani mpya huku ile ya zamani wakiwa wameitupa. Hebu oneni huu utapeli:

Dkt. Magufuli amelipa jopo hili majukumu yafuatayo:

My take: CCM wanazidi kuonyesha utapeli, ulaghai na kuwa ni wale wale wala hawakuwa wamejiandaa. Hivi kweli inaweza kuingia akilini mtu kusema Chama kilichotawala muda wote huu haya mambo kilikuwa hakiyajui na sasa ndio wameshtuka na wanaanza kuchunguza? Si ni kwasababu wameona hali ni mbaya ndio maana wanakuja na mipango mipya huku hata iliyopo kwenye ilani haijatekelezwa?
 
Kwahiyo unatuambia ili iweje?? Peleka kwenye tovuti ya ccm

Kuwa mstaarabu wanaoweka humu taarifa za lowassa na ukawa kwani hawaijui ile tovuti ya chadema ilikowekwa hotuba ya uzinduzi wa kampeni na ilani ya chama???
Ndorobhoo wewe
 

Naona maji ya shingo mpaka Ofisi ya Lumumba wameamua kufungua akaunti leo. P.umbavu!!!!!
 

Attachments

  • 1444574773612.jpg
    9.1 KB · Views: 117
Tumewachoka na hizo nyimbo mmeimba miaka nenda rudi lakini hakuna mabadiliko yeyote ni mpumzike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…