Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandalizi ya Kuleta Mabadiliko ya Haraka na ya Kweli. Pia, tunapenda kutoa taarifa kwamba, mgombea wetu, Dkt. John Pombe Magufuli, ameunda jopo la wanataaluma na wataalamu huru magwiji wazalendo wa uchumi, biashara, utawala na sheria, kutoka kwenye taasisi za elimu ya juu, asasi zisizo za kiraia, na sekta binafsi, kwa ajili ya maandalizi ya kufanya mabadiliko makubwa Serikalini kuanzia siku ya kwanza atakayokuwa madarakani.
Maji yamezidi unga, hakuna ugali tena sasa unapikwa uji. Tayari watanzania wameshaamua kufanya MABADILIKO. Hakuna namna tena ya kubadilisha mambo.