Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

Kwani wewe hujui bro kuwa rais ni to MAGUFURI,, hivi huoni tofauti za kiulinzi na stronie misafara ya magufuri ilivyo tofauti na ya lowassa?? Subiri amri zianze rasmi HAPA KAZI TU , kama bro ni mfanyakazi wa serikali na ulishazoea kukata nyaya sasa kazi imeanza andaa resignatio mapema mjomba maana wazalendo ndio wameshaingia ikulu sasa!!
 
ccm ni wajinga sana. ivi hii nchi inahitaji kuunda jopo lolote kugundua matatizo ya wananch kweli.? Mfano tatizo la umeme unaunda jopo la nini. ili wagagundue nini.! CCM ni ya kufutilia mbali maana inadharau watanzania. Kila sikukuunda tume na majopobila solutions. Pumbavu sana

Dah!

Ni kama ulikuwa kichwani mwangu aisee.

Ni mwendelezo ule ule wa nguvu ya soda na kupigana machanga ya macho.

Kuna nini cha kuchunguza ambacho hakijulikani?

Majinga kweli haya maCCM.
 
Angeunda kabla ya tar 25,ili kuanzia 26 anaanza kazi tuuu
 
Nini hiki?.... Ilani ama...... Mmekataliwa jamani...... Haya yalitakiwa kutokea hata kabla ya kukutana na upinzani mkubwa naona kama mnajaribu kuingiza nadharia saaanaa..... Tena nawaza tu kua hivi haya hayakuwezekana kufanyika ama kuanza kutekelezwa 2005? ,,,,,,kweli ni hali ya kuzidiwa hamna kingine na mengi hapa ni STORY tu.....
Nilikua NAIPENDA saaanaa CCM ila pale nilipoenda hospitali jina kapuni na wife akajifingue.....nilichoka nilichikutana nacho hamna gloves..... Hasira sana ila nilinunua dukani sh.2000 tu....asanteni kwa mlipotufikisha ngoja na LOWASSA ajaribu kama ataharibu karibuni tena 2020......tutawapa..

Wape vindonge vyao.
 
Mkuu hawa ni matapeli wa kutupwa. Miaka 10 ya Kikwete yote alishindwa kuangalia haya mambo leo wanakumbuka shuka wakati kumekecha

Mkuu, mbona unawapa udhuru hao wapuuzi?

Ukisema miaka 10 ni kana kwamba hawajatawala Tanzania tokea uhuru?

Vipi miaka 10 ya Mkapa? Mwinyi? Na ile 20 na kitu ya Nyerere?

Kuna madhila gani yaliyo mapya ambayo hayakuwepo wakati hao wengine walipokuwa wanatawala?
 
Hahaha! Kazi kwelikweli! Isije ikawa shuka inakumbukwa asubuhi! Huko watapokwenda hao wengine wasanii watakuwepo pia!? Huyo Kinana si alishazunguka nchi nzima ina maana hawakumuelewa!?


kinana kipind kile kiukweli hatukumuelewa anachozungumza, SABABU WATU TULI-CONCENTRATE KUANGALIA FISI na si kumsikiliza anachoongea.Safari hii akija na wasanii, basi tutajazana kuwatazama na kuwasikiliza wasanii.

KINANA=0 {workdone=0}
 
Hao wastaafu wajue hiyo prnsion wanayokula na familia zao inatoka kwa waTanzania ambao wanataka mabadiliko!

Maslahi yao yapo matatani , ndio maana MAKAMBA anakuja na mpango kambambe wa kukinusuru chama, mmoja ya mikakati ni wazee kwenda front.
 
Huko ni kuchanganyikiwa, ndo maana watanzania huwa hatufiki mbali,raisi wa nigeria juzi katimiza siku 100 akiwa state house akiwa bado hajateua waziri au katibu yeyote katika serikali yake, bado anatafakari na kupokea wadhifa wa watu wanaofaa kuliongoza taifa. Papara zetu ndo maana tumefika hapa, watalaam wazuri hawezi kuwapata kwa sasa, watalaam anaoweza kuwapata kwa sasa ni wale wanaotaka kula na wala sio kuleta maendeleo, ndo dizaini za kina makamba hizo, wao lengo lao ni kuteuliwa kuingia kwenye system. USA transition ya raisi huchukua zaidi ya miezi 5, angalieni kosa la ccm just within 2 days raisi kateua furani kuwa blablabla, huyo mtu umemchunguza lini? anadhamira ipi?
 
Wadau hakuna namna nyingine ya kuchanganyikiwa zaidi ya hii!

Labda kwa jicho moja tuone hivyo,Labda kwa jicho lingine tuone kama matokeo yalishaamuliwa kabla ya kampeni kuanza.Watoto wa mjini wanasema "CCM walikuwa wanatuejoy, walishapanga matokeo kabla ya mechi".

Soma hapa

Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli ameunda jopo maalumu la wanataaluma na wataalamu kutoka kada mbali mbali ikiwa ni maandalizi ya uundaji wa serikali yake endapo atashinda urais.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, January Makamba alisema kuwa jopo hilo la wanataaluma na wataalamu wa uchumi, biashara, utawala na sheria, kutoka kwenye taasisi za elimu ya juu, asasi zisizo za kiraia, na sekta binafsi, wamepewa majukumu maalumu ya kufanya mabadiliko makubwa serikalini kuanzia siku ya kwanza ambayo Magufuli atakuwa madarakani.
Makamba ameyataja baadhi ya majukumu hayo kuwa ni kuchunguza na kupendekeza maeneo ambayo Serikali itabana matumizi, ikiwemo manunuzi ya umma, posho za vikao na matumizi ya magari, ili Magufuli aweze kufanya maamuzi ya haraka kuyatatua matatizo hayo.
Majukumu mengine ambayo jopo hilo limepewa ni pamoja na kuchunguza na kupendekeza maeneo ambayo Serikali itaongeza mapato mara moja bila hatua za kibajeti, kuchunguza na kupendekeza maboresho makubwa katika mfumo wa utendaji na utumishi na ufanisi katika Serikali.
"Kupitia kodi na ushuru wenye usumbufu kwa wafanyabiashara wa ngazi zote, wakulima, wafugaji na wavuvi iwapo unaweza kurekebishwa bila kuathiri bajeti ya Serikali inayotekelezwa sasa, kupitia sheria zote za nchi na kuorodhesha Sheria ambazo zinapaswa kubadilishwa haraka ili kuharakisha mabadiliko ya kweli na ya haraka ambayo ameyaahidi kwa Watanzania," alisema Makamba.
Kupitia na kuorodhesha masuala yote na kero zote zinazosubiri maamuzi ya Serikali ili atoe maamuzi kuanzia siku ya kwanza atakapoapishwa.
Kwa mujibu wa Makamba, Dk Magufuli ameazimia kuanza kazi kwa bidii na maarifa, ndiyo maana ameunda jopo hilo. Alisema jopo hilo linapaswa pia kupendekeza miundo na idadi ya Wizara na kutengeneza rasimu za mikataba ya kazi kwa Mawaziri, Makatibu Wakuu na watendaji wengine wakuu atakaowateua mara baada ya kuapishwa kuwa rais wa Tanzania.
Safi sana,
 
Karukwa na akili. Ikulu hatumpeleki kichaa.
Ikulu hatupeleki mgonjwa anayetetemeka mikono, hawezi hata kushika kipaza sauti kwa mkono wa kulia, anatembea kama nyani maana mwili wote unatetemeka. Ikulu hatupeleki mtu anayejinyea ovyo maana hatuna bajeti ya pampasi. Ukome kutukana tunajua udhaifu mwingi mno wa fisadi wenu lowasa.
 
Kweli mmenipa hasira...huyo mgombea wenu anatoa ahadi kibao kumbe hajui atatekeleza vipi!?matatizo ya nchi ccm haiyajui hadi iunde kamati!? Kwani ilani ya chama chenu inafanya kazi gani... daaah kwwli mmechoka..marais wwnu waliotangulia walifanya kazi gani!?
 
Back
Top Bottom