Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

Ccm imepagawa hiyo wanatapatapatu, Mabadiliko hayazuiliki
 
Magazeti mbona mnaandika uchochezi kwanini mmeshwindwa kabisa kuendesha mijadala nakuleta makada was vyama nakuchambua ilani zao nakuandika yalio jiri zidi ya makad hao
 
Maji ya shingo!

Muda wa lala salama, ccm tulibweteka sana
 
Magufuli ananishangaza sana, sasa hivi wakati wa kampeni zake tu kuna amri anazitoa kana kwamba tayari ameshatawazwa kuwa rais, je akishaapishwa hali itakuwaje? Kingine kinanishangaza Radio Clouds wanapiga wimbo wa taifa wakati wakitoa tangazo la Magufuli kuomba kura kama vile yeye tayari ni rais wa nchi. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa katiba ya nchi. Lakini tume ya taifa ya uchaguzi iko kimya.
 
Ndg Wanajamii,

Jana na leo vyombo vya habari vimejinasibu na habari ya Mgombea wa CCM ndg Magufuli kuteuwa jopo la wataalamu kwa ajili ya mchakato wa kumwezesha kutenda kazi vizuri akiwa ikulu. Kwa taarifa za kweli na rasmi ni propaganda tu, hakuna kitu kama hicho, ni mbinu tu ya wapambe kuona kama gia hiyo inaweza kuwaingia wananchi na kuona kama kweli inalipa kama ile ya tafiti za TWAWEZA kubuma.

Wakati Makamba anatangaza hayo kwa wandishi wa habari, alishindwa kubainisha wabobezi hao wametoka katika taasisi zipi na lead consultant ni nani? Ndio maana mambo muhimu hayajabainishwa katika ushauri wao. Pia mambo mengine kama Mishahara kwa utumishi wa umma uko wazi na kuna sera na tume maalum sasa ya kusimamia mishahara.

Ni vema UKAWA KUCOUNTER ATTACK MARA MOJA Propaganda hii.
magufulia aache kutisha watu, urais ana uhakika. ushauri kwake aache mbwembwe muda anao wa kuanza na kupanga mambo yake endapo ataupata. lakini watz wanataka mabadiliko toka nje ya ccm. kwahiyo yeye si mlengwa amuulize membe alivyokuwa na kiherehere mwishoni yakamkuta na jimbo keshakabidhi wapinzani, maana nnape lazima asahaulike kwenye sanduku la kura tar. 25/10/2015
 
ArGyyVtYbxYXW7Mes7jO9Ywwtstev2_i4YaZOuIgwKEl.jpg
 
magufulia aache kutisha watu, urais ana uhakika. ushauri kwake aache mbwembwe muda anao wa kuanza na kupanga mambo yake endapo ataupata. lakini watz wanataka mabadiliko toka nje ya ccm. kwahiyo yeye si mlengwa amuulize membe alivyokuwa na kiherehere mwishoni yakamkuta na jimbo keshakabidhi wapinzani, maana nnape lazima asahaulike kwenye sanduku la kura tar. 25/10/2015
ArGyyVtYbxYXW7Mes7jO9Ywwtstev2_i4YaZOuIgwKEl.jpg
 
magufulia aache kutisha watu, urais ana uhakika. ushauri kwake aache mbwembwe muda anao wa kuanza na kupanga mambo yake endapo ataupata. lakini watz wanataka mabadiliko toka nje ya ccm. kwahiyo yeye si mlengwa amuulize membe alivyokuwa na kiherehere mwishoni yakamkuta na jimbo keshakabidhi wapinzani, maana nnape lazima asahaulike kwenye sanduku la kura tar. 25/10/2015
Av2JBBOzwvgKrEMZVCVl-5n4vI1SG-iyFocGvMcVN3N8.jpg
 
magufulia aache kutisha watu, urais ana uhakika. ushauri kwake aache mbwembwe muda anao wa kuanza na kupanga mambo yake endapo ataupata. lakini watz wanataka mabadiliko toka nje ya ccm. kwahiyo yeye si mlengwa amuulize membe alivyokuwa na kiherehere mwishoni yakamkuta na jimbo keshakabidhi wapinzani, maana nnape lazima asahaulike kwenye sanduku la kura tar. 25/10/2015
AuUsEfc-Bck6GpKSN8AT8cNFzNx23qKVbW9t7xIcFEf7.jpg
 
Magufuli ananishangaza sana, sasa hivi wakati wa kampeni zake tu kuna amri anazitoa kana kwamba tayari ameshatawazwa kuwa rais, je akishaapishwa hali itakuwaje? Kingine kinanishangaza Radio Clouds wanapiga wimbo wa taifa wakati wakitoa tangazo la Magufuli kuomba kura kama vile yeye tayari ni rais wa nchi. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa katiba ya nchi. Lakini tume ya taifa ya uchaguzi iko kimya.
AuUsEfc-Bck6GpKSN8AT8cNFzNx23qKVbW9t7xIcFEf7.jpg
 

Haya majukumu yananipa shida sana

Mbona kama haya yalitakiwa yawe ndio source ya ilani ya CCM wakati huu wa uchaguzi?? ina maana ile ilani imeandikwa bila hiyo baseline info

Sometimes nadhani CCM ina wapishi wengi mno kiasi kwamba inaharibu mapishi

Je, sasa hicho kikosi kazi kitaifumua ilani ya ccm 2015-2020??
 
Back
Top Bottom