Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Status
Not open for further replies.
Huwezi kujua tuache speculation, Hapana chezea chama chenye asili ya kikominist,ni balaa tupu,hakuna mtu mkubwa kuliko chama chao.
Maamuzi ya Politburo hayatabiriki.
 
Mtu akichukuliwa hatua bila kusikilizwa atasema sikupewa nafasi ya kusikilizwa.
Kaitwa asikilizwe anaona anaonewa kuitwa kusikilizwa Kama mtu anamalalamiko Lazima aitwe asikilizwe. Ili aeleze malalamiko yake.
Anataka aitwe Musiba kwenye chama ndio nayeye aitwe? Naona kama hoja hainamashiko kabisa ya kuitwa Musiba huenda Musiba anakesi mahakamani na chama hakiingilii hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati Membe akitamba kuwa alienda mbele ya kamati ya maadili ya CCM kuwafunda na kuwaelimisha kuhusu mambo mbalimbali, Kinana amegoma kufika mbele ya kamati hiyo.

Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, Kinana ameona ni kama kudharauliwa kwa kuitwa kuhojiwa mambo ambayo kimsingi ni malalamiko aliyotoa kuhusu namna alivyokuwa akipakwa matope na mtu anayejiita Cyprian Musiba. Inaelezwa kuwa aliyetakiwa kuitwa ni Musiba na siyo Kinana.

Tusubiri tuone.
Bwashee acha urongo Kinana zamu yake bado!
 
Zama za hovyo sanaa hizi, comrade amefanya uamuzi sahihi kabisa.
 
Ameogopa kwani anajua kosa lake. Huu ndiyo ulikuwa wakati mzuri wa yeye kwenda kuelezea upande wake wa shilingi. Kuitwa na kamati siyo kudharauliwa bali ni kusikilizwa!
Sasa unavosema ameogopa, kaogopa kitu gani, kwani kuna mauaji mle huwa mnafanya?

Ujumbe wa Kinana upo wazi, he doesn't take the f**k, kama wana mpango wa kumfukuza wamfukuze, na kama wana mpango wa kumwua wamwue maana ndo imeshakuwa kawaida yenu sasa
 
Kinachotokea chaman
Screenshot_20200208-113020.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Mpya, Mambo yame zidi kuwaka moto CCM, Bashiru , Polepole na wanahusika na hili sakata la barua za kina makamba na Kinana, limechukua sura mpya

Mk, awafokea Bashiru na Pole Pole , ataka kujua aliyevujisha habari, huku akijua kina Kinana waliombwa wasiseme kitu na wakajibu, isitokee kwenu.

Inavyosemekana anayeshukiwa sana ni PolePole kwani yeye alibanwa vizuri sana na Kinana, na hapendi kabisa.

Bashiru amefokewa vibaya sana hadi ameamua kuondoka officine na kwenda nyumbani, pressure imempanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu akichukuliwa hatua bila kusikilizwa atasema sikupewa nafasi ya kusikilizwa.
Kaitwa asikilizwe anaona anaonewa kuitwa kusikilizwa Kama mtu anamalalamiko Lazima aitwe asikilizwe. Ili aeleze malalamiko yake.
Anataka aitwe Musiba kwenye chama ndio nayeye aitwe? Naona kama hoja hainamashiko kabisa ya kuitwa Musiba huenda Musiba anakesi mahakamani na chama hakiingilii hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
kesi yake ni ya membe ,ambaye anadai kuchafuliwa kupitia gazeti la musiba,, ya kinana ni ishu nyingine haipo mahakamani
 
Habari Mpya, Mambo yame zidi kuwaka moto CCM, Bashiru , Polepole na wanahusika na hili sakata la barua za kina makamba na Kinana, limechukua sura mpya

Mk, awafokea Bashiru na Pole Pole , ataka kujua aliyevujisha habari, huku akijua kina Kinana waliombwa wasiseme kitu na wakajibu, isitokee kwenu.

Inavyosemekana anayeshukiwa sana ni PolePole kwani yeye alibanwa vizuri sana na Kinana, na hapendi kabisa.

Bashiru amefokewa vibaya sana hadi ameamua kuondoka officine na kwenda nyumbani, pressure imempanda.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni nini hiki umeandika Mkuu?
 
Angeza ekewa vitu kunako mic... ukatili wasasa ni hatari mmno unaitwa msaliti unatendwa mbaya. Atulie zake hko Canada ale maisha!!
Hivi ajabu nini mbona mnayesema amesemwa yeye hutukana viongozi kuwa ni wapumbafu tena hadharani yeye akiitwa hivyo kwenye mazungumzo yawatu simuni (sio hadharani) mnawashwawashwa nanini!!
Nyerere alitufundisha binadamu wote ni sawa...usifanye usichopenda kufanyiwa
 
Habari Mpya, Mambo yame zidi kuwaka moto CCM, Bashiru , Polepole na wanahusika na hili sakata la barua za kina makamba na Kinana, limechukua sura mpya

Mk, awafokea Bashiru na Pole Pole , ataka kujua aliyevujisha habari, huku akijua kina Kinana waliombwa wasiseme kitu na wakajibu, isitokee kwenu.

Inavyosemekana anayeshukiwa sana ni PolePole kwani yeye alibanwa vizuri sana na Kinana, na hapendi kabisa.

Bashiru amefokewa vibaya sana hadi ameamua kuondoka officine na kwenda nyumbani, pressure imempanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
sijakuelewa mkuu
 
Kwa hakika kabisa kwenye zile sauti Membe hajatenda kosa lolote la jinai wala la kinidhamu.
Labda harakati zake zingine au kama kuna sauti zingine hatukuwekewa hadharani.

Sasa huyu mzee Kinana kajua ana makosa tena makubwa tu ya kisheria, hawezi kujileta mtegoni kama mjinga.
Huwezi kusema raisi wa nchi kachanganyikiwa wakati wewe sio daktari wake, hata kama wewe ni daktari hupaswi kusema hadharani taarifa za mgonjwa bila utaratibu rasmi, sasa hiyo ni kwa mtu yeyote yule jiulize kwa mkuu wa nchi inakuwaje?

Kinana akijileta kaisha, atachukuliwa hatua za kisheria.
Nawaza kitoto zaidi wakubwa mnisaidie kutafakari.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom