Mnamuonea tu jamaa tu hamna uthibitishoTembo watashughulikiwa kwa KISHINDO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamuonea tu jamaa tu hamna uthibitishoTembo watashughulikiwa kwa KISHINDO
Pale mtangulizi wake alipoona WAHUNI hawafai yeye akaona wanafaa! Hata kama hujaenda shule kabisa wala hakuhitaji kutafsiri!Amemsemea wapi ?!!
Hizo ni tafsiri zenu zinazohanikizwa na wanaomchukia mh.Rais SSH.....
#Siempre JMT🙏
Wapi ulikota hela barabarani wewe??!!.Mbowe anaokoteza Hela za wananchi mitaani wakati yeye anapanda V8
Hilo neno lilikuwa ni tafsiri ya mtangulizi wake....kwani ni lazima naye awe na TAFSIRI hiyo ?!!!Pale mtangulizi wake alipoona WAHUNI hawafai yeye akaona wanafaa! Hata kama hujaenda shule kabisa wala hakuhitaji kutafsiri!
Huwa nakumbuka comments zako kuhusu "hawa maveterani wa ujamaa" ambao bado wamekamata usukani wa maamuzi kwenye chama na serikali.A Caboodle of swindlers......
Hiyo nchi yenu kama mtu hana connection kwenye matukio kama hayo utaishia tu kuwa mpiga makelele bila sababu za msingi.MATUKIO KATIKA PICHA
Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara ambaye ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Shina namba tisa tawi la Masaki, kata ya Msasani, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam Komredi Abdulrahman Omari Kinana Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.
#CCMImara
#KaziIendelee
View attachment 2182511View attachment 2182512View attachment 2182513View attachment 2182514View attachment 2182515View attachment 2182516View attachment 2182517
Sasa unapinga nini na una kubali niniHilo neno lilikuwa ni tafsiri ya mtangulizi wake....kwani ni lazima naye awe na TAFSIRI hiyo ?!!!
Kwani mtangulizi wake ndiye SI UNIT ya taifa hili ?!!!😳😳😳
#Siempre JMT🙏
#Tanzania Ipo Milele 🙏
MATUKIO KATIKA PICHA
Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara ambaye ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Shina namba tisa tawi la Masaki, kata ya Msasani, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam Komredi Abdulrahman Omari Kinana Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.
#CCMImara
#KaziIendelee
View attachment 2182511View attachment 2182512View attachment 2182513View attachment 2182514View attachment 2182515View attachment 2182516View attachment 2182517
Unaendesha vx V8 up unaenda kumpigia hodi mjand kalala njaa unamuomba Hela?!