Kinana atofautiana na Chongolo mkataba wa bandari

Kinana atofautiana na Chongolo mkataba wa bandari

Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Kinana ametofautiana msimamo na Katibu Mkuu wa CCM kuhusu mkataba wa bandari.

Kinana anasema wamejitokeza watu wameanza kuhoji, wako wanaohoji kwa nia njema ya kujenga ya uzalendo, hatuwezi kusema kila anayehoji anania mbaya, wako wanaotetea mkataba na wametoa ushauri mzuri, serikali imesema itapokea kila ushauri utakaotolewa, Chama Cha Mapinduzi kimesema serikali isikilize, kwa hiyo serikali inasikiliza ushauri, inasikiliza hoja, haya yote yatafanyiwa kazi, haiwezekani Rais akapuuza haya yote.



Lakini Chongolo yeye anasema Serikali ianze utekelezaji haraka na isisikilize kelele za wajinga wanaopinga mkataba huo.


Unyumbu ni tabia ya watu waliopewa ghamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kutumikia malengo ya kundi fulani, (conflict of interest), ama uoga, (amygdala), kuogopa viongozi wao
 
Ana kabachela ka hivi vyuo vya mchongo ( Open university).

Kithibitisho tosha kua ni mwenye matope kichwan.



Yaan hii CCM ya Samia, Anza na Samia mwenyewe, Njoo Nape, January, Chongolo, Akina Mwana FA.. , Hawa ni wamichongoooo tupuu


Vichwani ni Vitunguu maji !!.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Kinana ametofautiana msimamo na Katibu Mkuu wa CCM kuhusu mkataba wa bandari.

Kinana anasema wamejitokeza watu wameanza kuhoji, wako wanaohoji kwa nia njema ya kujenga ya uzalendo, hatuwezi kusema kila anayehoji anania mbaya, wako wanaotetea mkataba na wametoa ushauri mzuri, serikali imesema itapokea kila ushauri utakaotolewa, Chama Cha Mapinduzi kimesema serikali isikilize, kwa hiyo serikali inasikiliza ushauri, inasikiliza hoja, haya yote yatafanyiwa kazi, haiwezekani Rais akapuuza haya yote.



Lakini Chongolo yeye anasema Serikali ianze utekelezaji haraka na isisikilize kelele za wajinga wanaopinga mkataba huo.


Tayari wamepoana,ccm waache wafiche moto kwenye boxer.
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Kinana ametofautiana msimamo na Katibu Mkuu wa CCM kuhusu mkataba wa bandari.

Kinana anasema wamejitokeza watu wameanza kuhoji, wako wanaohoji kwa nia njema ya kujenga ya uzalendo, hatuwezi kusema kila anayehoji anania mbaya, wako wanaotetea mkataba na wametoa ushauri mzuri, serikali imesema itapokea kila ushauri utakaotolewa, Chama Cha Mapinduzi kimesema serikali isikilize, kwa hiyo serikali inasikiliza ushauri, inasikiliza hoja, haya yote yatafanyiwa kazi, haiwezekani Rais akapuuza haya yote.



Lakini Chongolo yeye anasema Serikali ianze utekelezaji haraka na isisikilize kelele za wajinga wanaopinga mkataba huo.

Chongolo ndio nani mkuu?
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Kinana ametofautiana msimamo na Katibu Mkuu wa CCM kuhusu mkataba wa bandari.

Kinana anasema wamejitokeza watu wameanza kuhoji, wako wanaohoji kwa nia njema ya kujenga ya uzalendo, hatuwezi kusema kila anayehoji anania mbaya, wako wanaotetea mkataba na wametoa ushauri mzuri, serikali imesema itapokea kila ushauri utakaotolewa, Chama Cha Mapinduzi kimesema serikali isikilize, kwa hiyo serikali inasikiliza ushauri, inasikiliza hoja, haya yote yatafanyiwa kazi, haiwezekani Rais akapuuza haya yote.



Lakini Chongolo yeye anasema Serikali ianze utekelezaji haraka na isisikilize kelele za wajinga wanaopinga mkataba huo.


Acha uzushi Chongolo alisema mapema kabisa kwamba Serikali ilishasema inapokea maoni na watoa maoni wayawasilishe.

Mwisho Kinana ni mnufaika wa Bandari ukae ukijua so ana nongwa zake
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Kinana ametofautiana msimamo na Katibu Mkuu wa CCM kuhusu mkataba wa bandari.

Kinana anasema wamejitokeza watu wameanza kuhoji, wako wanaohoji kwa nia njema ya kujenga ya uzalendo, hatuwezi kusema kila anayehoji anania mbaya, wako wanaotetea mkataba na wametoa ushauri mzuri, serikali imesema itapokea kila ushauri utakaotolewa, Chama Cha Mapinduzi kimesema serikali isikilize, kwa hiyo serikali inasikiliza ushauri, inasikiliza hoja, haya yote yatafanyiwa kazi, haiwezekani Rais akapuuza haya yote.



Lakini Chongolo yeye anasema Serikali ianze utekelezaji haraka na isisikilize kelele za wajinga wanaopinga mkataba huo.

SERIKALI NA CCM NI NDIMI MBILI
Screenshot_20230717-145853_Instagram%20Lite.jpg
 
Hivi huyu Chongolo ana elimu gani au naye ni zile design za kina Sofia Mjema......!!?
Mkuu.... kwani haujaskiaga habari zake kuhusu elimu yake..??
Na haujaskia yule binti alie jinasibu kama mtoto wa marehem kaka yake akitoa za ndaaani sana....😊
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Kinana ametofautiana msimamo na Katibu Mkuu wa CCM kuhusu mkataba wa bandari.

Kinana anasema wamejitokeza watu wameanza kuhoji, wako wanaohoji kwa nia njema ya kujenga ya uzalendo, hatuwezi kusema kila anayehoji anania mbaya, wako wanaotetea mkataba na wametoa ushauri mzuri, serikali imesema itapokea kila ushauri utakaotolewa, Chama Cha Mapinduzi kimesema serikali isikilize, kwa hiyo serikali inasikiliza ushauri, inasikiliza hoja, haya yote yatafanyiwa kazi, haiwezekani Rais akapuuza haya yote.



Lakini Chongolo yeye anasema Serikali ianze utekelezaji haraka na isisikilize kelele za wajinga wanaopinga mkataba huo.


Chongolo anatetea mshahara wake hajali masilahi ya nchi
 
Ana kabachela ka hivi vyuo vya mchongo ( Open university).

Kithibitisho tosha kua ni mwenye matope kichwan.



Yaan hii CCM ya Samia, Anza na Samia mwenyewe, Njoo Nape, January, Chongolo, Akina Mwana FA.. , Hawa ni wamichongoooo tupuu


Vichwani ni Vitunguu maji !!.
Hii ni hatari sana.
 
Mkuu.... kwani haujaskiaga habari zake kuhusu elimu yake..??
Na haujaskia yule binti alie jinasibu kama mtoto wa marehem kaka yake akitoa za ndaaani sana....😊
Mkuu, tafadhari tuwekee habari hapa. Wengine hatujazipata.

Binafsi nimegundua kuwa huyu Chongolo ni bure kabisa. No wonder Bashite alikuwa anamtreat kivile.

Huyo Sofia Mjema ndiyo kabisa. Hafai hata Ubalozi wa nyumba 10 ....!!
 
Umepewa kazi maalum ya kutetea wezi wa rasilimali za Taifa
Rasilmali ipi hiyo iliyoibiwa, nikaitetea?

Kama ni dhahabu wakichimba wanatupiga kwa kuwaruhusu kwa shangwe na vifijo, tulipowazuia pia kwa shangwe na vifijo na sheria mpya, sasa hizohizo wanatpiga nazo bila kuchimba, wakiwa juu ya meza na video wanatuchukuwa kutuonesha tulivyo wajinga. Hujayaona? yote hayo yalifanywa na mtu mmoja, humuelewi?
 
Rasilmali ipi hiyo iliyoibiwa, nikaitetea?

Kama ni dhahabu wakichimba wanatupiga kwa kuwaruhusu kwa shangwe na vifijo, tulipowazuia pia kwa shangwe na vifijo na sheria mpya, sasa hizohizo wanatpiga nazo bila kuchimba, wakiwa juu ya meza na video wanatuchukuwa kutuonesha tulivyo wajinga. Hujayaona? yote hayo yalifanywa na mtu mmoja, humuelewi?
Unashabikia kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika ufaidike na nini? Mnawauza watanganyika kwa waarabu kupitia bandari ili watoto wenu wanufaike zaidi?
 
Kujisahihisha ni Bunge kurudi na kufuta maadhimio yake, mchakato uanze UPYA Kihalali.

Kutuambia kuwa mkataba utarekebisha vifungu tata, ilhali mkataba Hauna chance kurekebishika ni hadaa.

Warudishe pesa za wenyewe kama walihongwa, Mkataba ufutwe, na mchakato uanze UPYA.
Kale ka betina kakijiita kasomi pekee Tanganyika katawezaje kukubali hili bungeni
 
Back
Top Bottom