Sophia Simba ni Msomi wa Shahada mbili za Sheria University of Dar es salaam miaka ya mwanzo ya 1990s. kwny Siasa una behave kulingana na eneo unalofanyia SiasaHivi huyu Chongolo ana elimu gani au naye ni zile design za kina Sofia Mjema......!!?
kuna watu mnawaona vilaza kumbe wana wachora na kuwacheka tu mnavyojiona mnajua sana, ku behave vile wanavyo behave kumewafanya hata hao wanaojiona wana akili kutamani kuwa kama wao
Ally Saleh na Sophia Simba kama sijakosea walikuwepo Udsm 1991 na walikuwa wanafunzi bora tu