KINANA: CCM inatawala na itatawala kwa muda mrefu kwa sababu ya "demokrasia" iliyoko ndani ya CCM

KINANA: CCM inatawala na itatawala kwa muda mrefu kwa sababu ya "demokrasia" iliyoko ndani ya CCM

Hakuna mtu kakataa hili,
Isingekuwa the state kuwagomea Kuwa lazima katiba ipatikane UNAFIKIRI Chadema mngewaacha !!? Kama mlifikia hatua kuwakamata Hadi makanisani kwa kuvaa t-shirt za Katiba Mpya!!?

UNAFIKIRI ccm mnaitaka katiba!!?

Ili ccm ipone kisu cha katiba Namna PEKEE ni kuiua ccm na kuzalisha chama KIPYA ambacho wananchi watakiamini!!!




Ccm inaenda kufa Rasmi Baada ya katiba kupatikana!

ASANTE The state kwa Katiba mpya!!
 
View attachment 2304117

KINANA ATAJA SABABU CCM KUKAA MADARAKANI MUDA MREFU AKIZUNGUMZA NA WANA CCM KATAVI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Abdulrhman Kinana ametaja sababu tatu za kwanini Chama hicho kimekaa madarakani kwa muda mrefu na moja ya sababu ni uwepo wa demokrasia ya uhuru watu kujieleza na kutoa maoni yao.

Kinana ametoa sababu hizo leo Julai 25,2022 alipokuwa akizungumza na wana CCM Mkoa wa Katavi wakati wa kikao cha ndani wa wanachama hao wakingozwa na viongozi wa Chama na Serikali ngazi ya Mkoa.

Akizungumza kwenye kikao hicho Kinana amesema kuna watu wamekuwa wakijiuliza kwanini Chama hicho kimedumu muda mrefu.”Sababu ya kwanza lakini kuna demokrasia ndani ya CCM, watu wana uhuru wa kueleza na kutoa mawazo bila hofu bila woga.

“Vikao vya Chama watu wote ni sawa, hata Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa kwenye kikao yeye na wajumbe ni sawa.Hivyo kitu cha kwanza ni demokrasia unatoa nafasi watu kusema, kutoa maoni.Sababu ya pili uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa.

“Ndio maana kila kipindi watu wanachagua na kuchaguliwa, kila baada ya miaka mitano nafasi imeisha, nafasi zote zinagombewa hakuna usultani wala ufalme.Hata mimi nawashukuru wajumbe kunichagua kwa kura nyingi. Nafasi yangu ina uzuri na ubaya, anayeteua ni mmoja na anayetengua ni mmoja , asiporidhika huna pauliza, huwezi kushtaki wala kuhoji.Kwa hiyo Chama hiki sifa yake kubwa ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa,hakuna mwenye haki miliki.”

Awali akizungumza na wana CCM hao kwenye kikao cha ndani, Kinana amewapongeza wananchi wa Mkoa wa Katavi kwa kazi kubwa ya kuleta maendeleo ambayo wamekuwa wakiifanya na kwamba mkoa huo umepokea Sh.bilioni 295 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo na fedha hizo ameambiwa zimetokana na makusanyo ya mapato mbalimbali ya mkoa.

“Nimepokea taarifa kuhusu namna fedha za maendeleo zinavyotumika vizuri na nataka nieleze hapa Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kazi kubwa na nzuri ya kuleta na maendeleo , Rais wetu sio msemaji sana lakini ni mtu wa vitendo,”amesema Kinana huku akitumia nafasi hiyo kueleza namna akina mama walivyowachapa kazi, wanawake ni mahodari lakini ndio wanalea familia.

Aidha ametumia nafasi hiyo kuwashukuru wabunge kwa kazi nzuri ambayo wanaifanya kwani wamekuwa na mchango mkubwa katika kuomba fedha wanapokuwa bungeni kwa kujenga hoja na wamekuwa wakipata fedha hizo ambazo ndizo zinatumika kufanya maendeleo hayo.

“Leo nimetembelea jimbo moja la Nsimbo, Mbunge wa lile jimbo amafanya kazi nzuri sana na nimemwambia ameotesha mizizi kwenda chini itakuwa ngumu kiong’oa lakini naamini na wabunge wengine nao wanafanya kazi nzuri.Pia nawapongeza madwani, watumishi wa umma , wakurugenzi wa halmashauri kwa kazi nzuri mnayofanya.

“Tunathamini kazi zenu, mnafanya kazi katika mazingira magumu na hamna majukwa ya kujitetea. Tunawashukuru mnafanya kazi nzuri sana na sisi tukipata majukwaa tutawasemea,tukiona mahali pameharibika tutasamehe, sio kila mahali unachukua hatua na sisi ni binadamu kuna mahali tunaweza kukosea.

“Madiwani pia tunawashukuru kwa kazi mnayofanya, hawana mshahara lakini wamekuwa wakipata posho ndogo ndogo, CCM tunafanya kazi kwa kujitolea, hata mimi najitolea ukiondoa hii nafasi ya Makamu Mwenyekiti nafasi hii haina mshahara.”
Iko siku atarudi kwao msumbiji.
 
Usishangae Kinana aliposema maneno hayo kuna wanaccm walishangilia huo utapeli!
Mkuu utapeli upi tena?

Sasa hivi mnaishi kwa kupnda raha baada ya dhalimu wenu kufariki!

Mnainjoi democrasia hata 2025 mtagawana pasu kwa pasu madaraka na ccm
 
View attachment 2304117

KINANA ATAJA SABABU CCM KUKAA MADARAKANI MUDA MREFU AKIZUNGUMZA NA WANA CCM KATAVI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Abdulrhman Kinana ametaja sababu tatu za kwanini Chama hicho kimekaa madarakani kwa muda mrefu na moja ya sababu ni uwepo wa demokrasia ya uhuru watu kujieleza na kutoa maoni yao.

Kinana ametoa sababu hizo leo Julai 25,2022 alipokuwa akizungumza na wana CCM Mkoa wa Katavi wakati wa kikao cha ndani wa wanachama hao wakingozwa na viongozi wa Chama na Serikali ngazi ya Mkoa.

Akizungumza kwenye kikao hicho Kinana amesema kuna watu wamekuwa wakijiuliza kwanini Chama hicho kimedumu muda mrefu.”Sababu ya kwanza lakini kuna demokrasia ndani ya CCM, watu wana uhuru wa kueleza na kutoa mawazo bila hofu bila woga.

“Vikao vya Chama watu wote ni sawa, hata Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa kwenye kikao yeye na wajumbe ni sawa.Hivyo kitu cha kwanza ni demokrasia unatoa nafasi watu kusema, kutoa maoni.Sababu ya pili uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa.

“Ndio maana kila kipindi watu wanachagua na kuchaguliwa, kila baada ya miaka mitano nafasi imeisha, nafasi zote zinagombewa hakuna usultani wala ufalme.Hata mimi nawashukuru wajumbe kunichagua kwa kura nyingi. Nafasi yangu ina uzuri na ubaya, anayeteua ni mmoja na anayetengua ni mmoja , asiporidhika huna pauliza, huwezi kushtaki wala kuhoji.Kwa hiyo Chama hiki sifa yake kubwa ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa,hakuna mwenye haki miliki.”

Awali akizungumza na wana CCM hao kwenye kikao cha ndani, Kinana amewapongeza wananchi wa Mkoa wa Katavi kwa kazi kubwa ya kuleta maendeleo ambayo wamekuwa wakiifanya na kwamba mkoa huo umepokea Sh.bilioni 295 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo na fedha hizo ameambiwa zimetokana na makusanyo ya mapato mbalimbali ya mkoa.

“Nimepokea taarifa kuhusu namna fedha za maendeleo zinavyotumika vizuri na nataka nieleze hapa Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kazi kubwa na nzuri ya kuleta na maendeleo , Rais wetu sio msemaji sana lakini ni mtu wa vitendo,”amesema Kinana huku akitumia nafasi hiyo kueleza namna akina mama walivyowachapa kazi, wanawake ni mahodari lakini ndio wanalea familia.

Aidha ametumia nafasi hiyo kuwashukuru wabunge kwa kazi nzuri ambayo wanaifanya kwani wamekuwa na mchango mkubwa katika kuomba fedha wanapokuwa bungeni kwa kujenga hoja na wamekuwa wakipata fedha hizo ambazo ndizo zinatumika kufanya maendeleo hayo.

“Leo nimetembelea jimbo moja la Nsimbo, Mbunge wa lile jimbo amafanya kazi nzuri sana na nimemwambia ameotesha mizizi kwenda chini itakuwa ngumu kiong’oa lakini naamini na wabunge wengine nao wanafanya kazi nzuri.Pia nawapongeza madwani, watumishi wa umma , wakurugenzi wa halmashauri kwa kazi nzuri mnayofanya.

“Tunathamini kazi zenu, mnafanya kazi katika mazingira magumu na hamna majukwa ya kujitetea. Tunawashukuru mnafanya kazi nzuri sana na sisi tukipata majukwaa tutawasemea,tukiona mahali pameharibika tutasamehe, sio kila mahali unachukua hatua na sisi ni binadamu kuna mahali tunaweza kukosea.

“Madiwani pia tunawashukuru kwa kazi mnayofanya, hawana mshahara lakini wamekuwa wakipata posho ndogo ndogo, CCM tunafanya kazi kwa kujitolea, hata mimi najitolea ukiondoa hii nafasi ya Makamu Mwenyekiti nafasi hii haina mshahara.”
Kama kitaendelea kutawala so what?
 
View attachment 2304117

KINANA ATAJA SABABU CCM KUKAA MADARAKANI MUDA MREFU AKIZUNGUMZA NA WANA CCM KATAVI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Abdulrhman Kinana ametaja sababu tatu za kwanini Chama hicho kimekaa madarakani kwa muda mrefu na moja ya sababu ni uwepo wa demokrasia ya uhuru watu kujieleza na kutoa maoni yao.

Kinana ametoa sababu hizo leo Julai 25,2022 alipokuwa akizungumza na wana CCM Mkoa wa Katavi wakati wa kikao cha ndani wa wanachama hao wakingozwa na viongozi wa Chama na Serikali ngazi ya Mkoa.

Akizungumza kwenye kikao hicho Kinana amesema kuna watu wamekuwa wakijiuliza kwanini Chama hicho kimedumu muda mrefu.”Sababu ya kwanza lakini kuna demokrasia ndani ya CCM, watu wana uhuru wa kueleza na kutoa mawazo bila hofu bila woga.

“Vikao vya Chama watu wote ni sawa, hata Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa kwenye kikao yeye na wajumbe ni sawa.Hivyo kitu cha kwanza ni demokrasia unatoa nafasi watu kusema, kutoa maoni.Sababu ya pili uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa.

“Ndio maana kila kipindi watu wanachagua na kuchaguliwa, kila baada ya miaka mitano nafasi imeisha, nafasi zote zinagombewa hakuna usultani wala ufalme.Hata mimi nawashukuru wajumbe kunichagua kwa kura nyingi. Nafasi yangu ina uzuri na ubaya, anayeteua ni mmoja na anayetengua ni mmoja , asiporidhika huna pauliza, huwezi kushtaki wala kuhoji.Kwa hiyo Chama hiki sifa yake kubwa ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa,hakuna mwenye haki miliki.”

Awali akizungumza na wana CCM hao kwenye kikao cha ndani, Kinana amewapongeza wananchi wa Mkoa wa Katavi kwa kazi kubwa ya kuleta maendeleo ambayo wamekuwa wakiifanya na kwamba mkoa huo umepokea Sh.bilioni 295 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo na fedha hizo ameambiwa zimetokana na makusanyo ya mapato mbalimbali ya mkoa.

“Nimepokea taarifa kuhusu namna fedha za maendeleo zinavyotumika vizuri na nataka nieleze hapa Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kazi kubwa na nzuri ya kuleta na maendeleo , Rais wetu sio msemaji sana lakini ni mtu wa vitendo,”amesema Kinana huku akitumia nafasi hiyo kueleza namna akina mama walivyowachapa kazi, wanawake ni mahodari lakini ndio wanalea familia.

Aidha ametumia nafasi hiyo kuwashukuru wabunge kwa kazi nzuri ambayo wanaifanya kwani wamekuwa na mchango mkubwa katika kuomba fedha wanapokuwa bungeni kwa kujenga hoja na wamekuwa wakipata fedha hizo ambazo ndizo zinatumika kufanya maendeleo hayo.

“Leo nimetembelea jimbo moja la Nsimbo, Mbunge wa lile jimbo amafanya kazi nzuri sana na nimemwambia ameotesha mizizi kwenda chini itakuwa ngumu kiong’oa lakini naamini na wabunge wengine nao wanafanya kazi nzuri.Pia nawapongeza madwani, watumishi wa umma , wakurugenzi wa halmashauri kwa kazi nzuri mnayofanya.

“Tunathamini kazi zenu, mnafanya kazi katika mazingira magumu na hamna majukwa ya kujitetea. Tunawashukuru mnafanya kazi nzuri sana na sisi tukipata majukwaa tutawasemea,tukiona mahali pameharibika tutasamehe, sio kila mahali unachukua hatua na sisi ni binadamu kuna mahali tunaweza kukosea.

“Madiwani pia tunawashukuru kwa kazi mnayofanya, hawana mshahara lakini wamekuwa wakipata posho ndogo ndogo, CCM tunafanya kazi kwa kujitolea, hata mimi najitolea ukiondoa hii nafasi ya Makamu Mwenyekiti nafasi hii haina mshahara.”
Ukimsikia kiongozi wa chama anaongea hivi na mwelekeo wadunia + aina ya uchumi tunao nadhani unaanza kulia bila kupigwa. Wengi hawajuwi najuwa ila siku ikifika itakuaa siku ngumu sana ole wao watakao kuwa na mimba au wanaumwa itakuwa siku mbaya sana nibora leo kama Taifa tuome kesho natuseme tunaondokana na siasa za chama dola.
 
Ukimsikia kiongozi wa chama anaongea hivi na mwelekeo wadunia + aina ya uchumi tunao nadhani unaanza kulia bila kupigwa. Wengi hawajuwi najuwa ila siku ikifika itakuaa siku ngumu sana ole wao watakao kuwa na mimba au wanaumwa itakuwa siku mbaya sana nibora leo kama Taifa tuome kesho natuseme tunaondokana na siasa za chama dola.
Upinzani hoja yenu ni ipi hasa?
 
View attachment 2304117

KINANA ATAJA SABABU CCM KUKAA MADARAKANI MUDA MREFU AKIZUNGUMZA NA WANA CCM KATAVI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Abdulrhman Kinana ametaja sababu tatu za kwanini Chama hicho kimekaa madarakani kwa muda mrefu na moja ya sababu ni uwepo wa demokrasia ya uhuru watu kujieleza na kutoa maoni yao.

Kinana ametoa sababu hizo leo Julai 25,2022 alipokuwa akizungumza na wana CCM Mkoa wa Katavi wakati wa kikao cha ndani wa wanachama hao wakingozwa na viongozi wa Chama na Serikali ngazi ya Mkoa.

Akizungumza kwenye kikao hicho Kinana amesema kuna watu wamekuwa wakijiuliza kwanini Chama hicho kimedumu muda mrefu.”Sababu ya kwanza lakini kuna demokrasia ndani ya CCM, watu wana uhuru wa kueleza na kutoa mawazo bila hofu bila woga.

“Vikao vya Chama watu wote ni sawa, hata Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa kwenye kikao yeye na wajumbe ni sawa.Hivyo kitu cha kwanza ni demokrasia unatoa nafasi watu kusema, kutoa maoni.Sababu ya pili uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa.

“Ndio maana kila kipindi watu wanachagua na kuchaguliwa, kila baada ya miaka mitano nafasi imeisha, nafasi zote zinagombewa hakuna usultani wala ufalme.Hata mimi nawashukuru wajumbe kunichagua kwa kura nyingi. Nafasi yangu ina uzuri na ubaya, anayeteua ni mmoja na anayetengua ni mmoja , asiporidhika huna pauliza, huwezi kushtaki wala kuhoji.Kwa hiyo Chama hiki sifa yake kubwa ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa,hakuna mwenye haki miliki.”

Awali akizungumza na wana CCM hao kwenye kikao cha ndani, Kinana amewapongeza wananchi wa Mkoa wa Katavi kwa kazi kubwa ya kuleta maendeleo ambayo wamekuwa wakiifanya na kwamba mkoa huo umepokea Sh.bilioni 295 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo na fedha hizo ameambiwa zimetokana na makusanyo ya mapato mbalimbali ya mkoa.

“Nimepokea taarifa kuhusu namna fedha za maendeleo zinavyotumika vizuri na nataka nieleze hapa Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kazi kubwa na nzuri ya kuleta na maendeleo , Rais wetu sio msemaji sana lakini ni mtu wa vitendo,”amesema Kinana huku akitumia nafasi hiyo kueleza namna akina mama walivyowachapa kazi, wanawake ni mahodari lakini ndio wanalea familia.

Aidha ametumia nafasi hiyo kuwashukuru wabunge kwa kazi nzuri ambayo wanaifanya kwani wamekuwa na mchango mkubwa katika kuomba fedha wanapokuwa bungeni kwa kujenga hoja na wamekuwa wakipata fedha hizo ambazo ndizo zinatumika kufanya maendeleo hayo.

“Leo nimetembelea jimbo moja la Nsimbo, Mbunge wa lile jimbo amafanya kazi nzuri sana na nimemwambia ameotesha mizizi kwenda chini itakuwa ngumu kiong’oa lakini naamini na wabunge wengine nao wanafanya kazi nzuri.Pia nawapongeza madwani, watumishi wa umma , wakurugenzi wa halmashauri kwa kazi nzuri mnayofanya.

“Tunathamini kazi zenu, mnafanya kazi katika mazingira magumu na hamna majukwa ya kujitetea. Tunawashukuru mnafanya kazi nzuri sana na sisi tukipata majukwaa tutawasemea,tukiona mahali pameharibika tutasamehe, sio kila mahali unachukua hatua na sisi ni binadamu kuna mahali tunaweza kukosea.

“Madiwani pia tunawashukuru kwa kazi mnayofanya, hawana mshahara lakini wamekuwa wakipata posho ndogo ndogo, CCM tunafanya kazi kwa kujitolea, hata mimi najitolea ukiondoa hii nafasi ya Makamu Mwenyekiti nafasi hii haina mshahara.”
Tulishuhudia JPM akiprint form moja hapa juzi tu. Aliyeonyesha nia ya kugombea uraisi bwana membe alifukuzwa chamani hapa ndiyo demokrasia hiyo? Kununua wapinzani na kuwapa nafasi ya kugombea majimbo yaleyale nayo ni demokrasia?
Embu tuacheni bhana
Nyie mnatawala muda mrefu kwa ujinga wa watanzania
 
View attachment 2304117

KINANA ATAJA SABABU CCM KUKAA MADARAKANI MUDA MREFU AKIZUNGUMZA NA WANA CCM KATAVI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Abdulrhman Kinana ametaja sababu tatu za kwanini Chama hicho kimekaa madarakani kwa muda mrefu na moja ya sababu ni uwepo wa demokrasia ya uhuru watu kujieleza na kutoa maoni yao.

Kinana ametoa sababu hizo leo Julai 25,2022 alipokuwa akizungumza na wana CCM Mkoa wa Katavi wakati wa kikao cha ndani wa wanachama hao wakingozwa na viongozi wa Chama na Serikali ngazi ya Mkoa.

Akizungumza kwenye kikao hicho Kinana amesema kuna watu wamekuwa wakijiuliza kwanini Chama hicho kimedumu muda mrefu.”Sababu ya kwanza lakini kuna demokrasia ndani ya CCM, watu wana uhuru wa kueleza na kutoa mawazo bila hofu bila woga.

“Vikao vya Chama watu wote ni sawa, hata Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa kwenye kikao yeye na wajumbe ni sawa.Hivyo kitu cha kwanza ni demokrasia unatoa nafasi watu kusema, kutoa maoni.Sababu ya pili uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa.

“Ndio maana kila kipindi watu wanachagua na kuchaguliwa, kila baada ya miaka mitano nafasi imeisha, nafasi zote zinagombewa hakuna usultani wala ufalme.Hata mimi nawashukuru wajumbe kunichagua kwa kura nyingi. Nafasi yangu ina uzuri na ubaya, anayeteua ni mmoja na anayetengua ni mmoja , asiporidhika huna pauliza, huwezi kushtaki wala kuhoji.Kwa hiyo Chama hiki sifa yake kubwa ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa,hakuna mwenye haki miliki.”

Awali akizungumza na wana CCM hao kwenye kikao cha ndani, Kinana amewapongeza wananchi wa Mkoa wa Katavi kwa kazi kubwa ya kuleta maendeleo ambayo wamekuwa wakiifanya na kwamba mkoa huo umepokea Sh.bilioni 295 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo na fedha hizo ameambiwa zimetokana na makusanyo ya mapato mbalimbali ya mkoa.

“Nimepokea taarifa kuhusu namna fedha za maendeleo zinavyotumika vizuri na nataka nieleze hapa Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kazi kubwa na nzuri ya kuleta na maendeleo , Rais wetu sio msemaji sana lakini ni mtu wa vitendo,”amesema Kinana huku akitumia nafasi hiyo kueleza namna akina mama walivyowachapa kazi, wanawake ni mahodari lakini ndio wanalea familia.

Aidha ametumia nafasi hiyo kuwashukuru wabunge kwa kazi nzuri ambayo wanaifanya kwani wamekuwa na mchango mkubwa katika kuomba fedha wanapokuwa bungeni kwa kujenga hoja na wamekuwa wakipata fedha hizo ambazo ndizo zinatumika kufanya maendeleo hayo.

“Leo nimetembelea jimbo moja la Nsimbo, Mbunge wa lile jimbo amafanya kazi nzuri sana na nimemwambia ameotesha mizizi kwenda chini itakuwa ngumu kiong’oa lakini naamini na wabunge wengine nao wanafanya kazi nzuri.Pia nawapongeza madwani, watumishi wa umma , wakurugenzi wa halmashauri kwa kazi nzuri mnayofanya.

“Tunathamini kazi zenu, mnafanya kazi katika mazingira magumu na hamna majukwa ya kujitetea. Tunawashukuru mnafanya kazi nzuri sana na sisi tukipata majukwaa tutawasemea,tukiona mahali pameharibika tutasamehe, sio kila mahali unachukua hatua na sisi ni binadamu kuna mahali tunaweza kukosea.

“Madiwani pia tunawashukuru kwa kazi mnayofanya, hawana mshahara lakini wamekuwa wakipata posho ndogo ndogo, CCM tunafanya kazi kwa kujitolea, hata mimi najitolea ukiondoa hii nafasi ya Makamu Mwenyekiti nafasi hii haina mshahara.”
Huyu mzee aache kuongea sana..alambe asali akisubiri kifo.

Kijani inabebwa na vyombo vya dola..ukiindolea vyombo vya dola hata wakishindanishwa na anc ile ya dovutwa wanapigwa mchana mweupe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huyu mzee aache kuongea sana..alambe asali akisubiri kifo.

Kijani inabebwa na vyombo vya dola..ukiindolea vyombo vya dola hata wakishindanishwa na anc ile ya dovutwa wanapigwa mchana mweupe.

#MaendeleoHayanaChama
Huyu mzee aache kuongea sana..alambe asali akisubiri kifo.

Kijani inabebwa na vyombo vya dola..ukiindolea vyombo vya dola hata wakishindanishwa na anc ile ya dovutwa wanapigwa mchana mweupe.

#MaendeleoHayanaChama
Huyu mzee aache kuongea sana..alambe asali akisubiri kifo.

Kijani inabebwa na vyombo vya dola..ukiindolea vyombo vya dola hata wakishindanishwa na anc ile ya dovutwa wanapigwa mchana mweupe.

#MaendeleoHayanaChama
Huenda ukafa ukamuacha, Mzee Kinana Chapa kazi
 
Sio kwamba itatawala muda mrefu kwa vile Mungu aliamua ugomvi!? (kwa sauti ya Nape)!
 
Simba na Yanga zinanua marefa na wachezaji wa wapinzani wao. Baadaye wanatamba kuhusu ushindi ambao wanajua kwamba wametumia njia haramu.
Hao ndiwo sisi, Watanzania.
 
Ni kazi ya upinzani kupandikiza ushawishi mbadala.
Vyama vya upinzani sijuhi vinafeli wapi??Yaani kwa katiba tuliyonayo ,tume ya uchaguzi na Sheria nyingine nyingi wanakuwa na ujasiri gani wa kushindana na CCM??Mimi ata sisi wananchii tumelisariti taifa vya kutosha hakuna haja ya kuwalalamikia viongozi.Unawezaje kudhubutu kuanzisha CHAMA au kuingia kwenye uchaguzi ukiwa unajua hakuna Sheria ya kukulinda??Yaani mechi ya Simba na YANGA refa ni Manara unategemea nini?Chaguzi Zote tangu mwaka 1995 ni kuchezea rasilimali za umma ni ufisadi ambao hautajwi.mimi nikipata mamlaka lazima walioidhinisha fedha za uchaguzi wangezirudisha ningewafilisi.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Vyama vya upinzani sijuhi vinafeli wapi??Yaani kwa katiba tuliyonayo ,tume ya uchaguzi na Sheria nyingine nyingi wanakuwa na ujasiri gani wa kushindana na CCM??Mimi ata sisi wananchii tumelisariti taifa vya kutosha hakuna haja ya kuwalalamikia viongozi.Unawezaje kudhubutu kuanzisha CHAMA au kuingia kwenye uchaguzi ukiwa unajua hakuna Sheria ya kukulinda??Yaani mechi ya Simba na YANGA refa ni Manara unategemea nini?Chaguzi Zote tangu mwaka 1995 ni kuchezea rasilimali za umma ni ufisadi ambao hautajwi.mimi nikipata mamlaka lazima walioidhinisha fedha za uchaguzi wangezirudisha ningewafilisi.
Hii nchi ilikuwa ya chama kimoja. Vyama vingi ni matakwa ya kimataifa sidhani kama ni matakwa yetu.
 
Back
Top Bottom