Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ndo maana mwenyekiti wa CCM anaagiza viongozi wa serikali wale kwa urefu wa kamba zao maana hiyo ni sera ya CCM.Chama ndicho kinaunda serikali.. kwa hiyo ni sahihi: kwa sasa CCM ndiyo maboss na wana haki ya kuisimamia serikali kuhakikisha wanatekeleza ilani yake.
Iko kimya.Katiba inasemaje kuhusu raisi aliyekataliwa na chama chake na kuvuliwa uanachama?
Katiba ipo kimya kuhusu raisi asiye na chama?Iko kimya.
Dunia imebadilika mno.
Mambo ya chama kushika hatamu yameshapitwa na wakati.
Tuambie sasa inavyosemaKatiba ipo kimya kuhusu raisi asiye na chama?
Huko chamani Jiwe alikuwa akiingia kama Rais wa nchi (mkuu wa serikali) ama kama Mwenyekiti wa chama?????
Hivi Rais akiamua kutokuifuta ilani ya chama chake wala kuwasikiliza kwa chochote, je, chama kina meno gani juu yake. Maana nikiiangalia Katiba ya nchi sioni chama kikitajwa katika yale mambo yanayoweza kumuondoa Rais madarakani.
JESUS IS LORD!
Ili chama kishike dola, kishinde chaguzi zakeDunia imebadilika mno.
Mambo ya chama kushika hatamu yameshapitwa na wakati.
Kinana anajisahau kuwa yeye ni makamu mwenyekiti, maana yake anasubiri kupangiwa kazi na mwenyekiti. Mtendaji mkuu ni katibu mkuu"Kasema CCM sio chombo cha serikali, CCM haitokani na Serikali, ila Serikali zote mbili (Tanzania na Zanzibar) zinatokana na CCM, CCM haipokei maagizo kutoka Serikalini, ila Serikali inapokea maagizo kutoka CCM, hii ni kupitia ilani na sera zilizotungwa na viongozi mbali mbali wa Serikali!"
Huu ni ujumbe mzito samaa kwa team sukuma Gang
Hapa naona kuna watu wanaenda kunyooshwa
Hauwezi kuwa raisi wa Tanzania bila chama cha siasa. Hatuna mgombea binafsi.Tuambie sasa inavyosema
Jesus is Lord
Kwani lengo la ccm ni nini?Kinana anajisahau kuwa yeye ni makamu mwenyekiti, maana yake anasubiri kupangiwa kazi na mwenyekiti. Mtendaji mkuu ni katibu mkuu
hujanielewa, Kinana ni makamu mwenyekiti, hana sauti kwenye chama kama alivyokuwa katibu. Yeye sasa hivi ni wa kusubiri kupangiwa majukumu pale mwenyekiti anapokuwa hana nafasi ya kutekeleza baadhi ya mambo.Kwani lengo la ccm ni nini?
Wao wanataka waendele kushika $
Ova
Ana maana ccm wakitaka vijana wao wapigaji wapewe uwaziri rais ukipinga utakiona.Sijajua anamaanisha nini. Aliyeelewa anisaidie!
YESU ndiye BWANA!!!
Baada ya kuwa Rais, akaamua kuachana na ilani na mambo ya chama, nini kitafuata kikatibaHauwezi kuwa raisi wa Tanzania bila chama cha siasa. Hatuna mgombea binafsi.
Hawezi kuachana na Ilani huku akijitambulisha kama mwanachama wa chama husika cha siasa. Ukishasema ww ni mwanaccm maana yake unafuata ilani ya ccm, kama ufanyayo hayapo ndani ya ilani basi utarekebisha hiyo ilani ili yawepo. Labda uulize akijivua unanachama ambapo jibu lake unalo tayari.Baada ya kuwa Rais, akaamua kuachana na ilani na mambo ya chama, nini kitafuata kikatiba
JESUS IS LORD