Kinana: CCM ni kubwa kuliko Serikali

Kinana: CCM ni kubwa kuliko Serikali

Hii dunia haipo fair tunaongozwa na watu wasio na akili..
 
"Kasema CCM sio chombo cha serikali, CCM haitokani na Serikali, ila Serikali zote mbili (Tanzania na Zanzibar) zinatokana na CCM, CCM haipokei maagizo kutoka Serikalini, ila Serikali inapokea maagizo kutoka CCM, hii ni kupitia ilani na sera zilizotungwa na viongozi mbali mbali wa Serikali!"

Huu ni ujumbe mzito samaa kwa team sukuma Gang

Hapa naona kuna watu wanaenda kunyooshwa

Kunyooshwa?!

 
Chama ndicho kinaunda serikali.. kwa hiyo ni sahihi: kwa sasa CCM ndiyo maboss na wana haki ya kuisimamia serikali kuhakikisha wanatekeleza ilani yake.
Mbona Bunge huwa linapokea maelekezo toka serikalini.
Tozo,
Kikokoto,
Wabunge hewa,
Kudemka au msidemke hadi serekale iseme.
Tuchanje au tusichanje(Serekale itamke)
Mtendaji mkuu wa chama ni katibu mkuu,kweli atamwelekeza aliyemteua kuwa CCM ndio inatoa mwongozo?
 
"Kasema CCM sio chombo cha serikali, CCM haitokani na Serikali, ila Serikali zote mbili (Tanzania na Zanzibar) zinatokana na CCM, CCM haipokei maagizo kutoka Serikalini, ila Serikali inapokea maagizo kutoka CCM, hii ni kupitia ilani na sera zilizotungwa na viongozi mbali mbali wa Serikali!"

Huu ni ujumbe mzito samaa kwa team sukuma Gang

Hapa naona kuna watu wanaenda kunyooshwa
We endelea kushabikia huu uozo, bora kupitia bwana yule hiki chama kilivurugwa hata kingekufa. Sasa tegemea ile sisiem mbele kwa mbele.
Serkali ni mhuri wao wa kuthibitishia wanachotaka. Hutakaa usikie katiba mpya wala ya zamani
 
Kumbe una akili za kutosha ila zamani za jiwe ulikuwa unajitoa ufahamu tu!
Ni. Kweli kwamba kwa mfumo wetu ili ushike dola inakupasa kuwa na chama.

Na kwenye uchaguzi huwa sera zinanadiwa za vyama mbali mbali.

Lakini sasa ukishashika dola kinachoangaliwa ni interest za Wananchi na sio za Chama.

Hivyo kusema kwamba Chama Kipo juu ya serikali huko ni kujipa mamlaka makubwa sana yanayokwenda kinyume cha katiba.

Serikali haipaswi kusikiliza maagizo ya chama, kwani yenyewe ndio taasisi yenye mamlaka ya juu kikatiba.

Bali chama kinapaswa Kuishauri serikali.
 
ccm kubwa kuliko serikali? serikali ina jeshi. ccm haina jeshi. serikali ina polisi. ccm haina polisi. kama ni kweli kinana ungeyasema haya mbele ya jpm wakati hujajiuzulu ili upate majibu ya jpm kama ccm ni kubwa kuliko serikali mbona uliondolewa na serikali katika chama
 
"Kasema CCM sio chombo cha serikali, CCM haitokani na Serikali, ila Serikali zote mbili (Tanzania na Zanzibar) zinatokana na CCM, CCM haipokei maagizo kutoka Serikalini, ila Serikali inapokea maagizo kutoka CCM, hii ni kupitia ilani na sera zilizotungwa na viongozi mbali mbali wa Serikali!"

Huu ni ujumbe mzito samaa kwa team sukuma Gang

Hapa naona kuna watu wanaenda kunyooshwa

70800893_2390661374335659_2579538468711432192_n.jpg
 
Back
Top Bottom