Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
@Istanbul ana uzi wake wa bukoba kama dubai kabla ya elfu mbili na ngapi sijui.Ngoja waje maana hawashindwi hoja wale instanbul na wenzake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Istanbul ana uzi wake wa bukoba kama dubai kabla ya elfu mbili na ngapi sijui.Ngoja waje maana hawashindwi hoja wale instanbul na wenzake
Hiyo mafisadi papa hayawezi kukubaliSio lazima majimbo,hata Kwa Mikoa hii hii inawezekana kuweka kanuni za mgawanyo mzuri kadiri ya mchango na kugatua madaraka mikoani.
So usikariri,hapo Kenya Kuna Kaunti,ni majimbo hayo? Cha muhimu tuwe na kanuni nzuri ya mgawanyo wa kekinya Taifa.
Hiyo namba 666 ndo tatizo linapoanziaKAGERA: "Kagera ni mkoa wenye biashara, una ardhi nzuri yenye rutuba, wasomi wa kutosha wakiwemo maprofesa 666, lakini ni mmoja wa mikoa yenye mapato madogo zaidi.
“Kila kitu mnacho kwa nini mapato ya mkoa huu yapo chini kuliko mikoa yote? amehoji Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana - Kagera, Desemba 11, 2023.
#HabarileoUPDATES
Inaonekana Kinana anamchukulia poa Chalamila🤣🤣Jibu la swali la Kinana alitoa Chalamila alipokuwa RC Kagera
Hiyo namba 666 ndo tatizo linapoanzia
Wapo wamejaa tele shida tu wanashindania kuzungumza "Engrish" ya Oxford ama Cambridge kutokea mitaa ya Goba Maghorofani🤣[emoji16] hiyo idadi walitakiwa wawe ma-trillionare
Zaidi ya kuwa na theories nyingi,mwambie abadili porojo kuwa hela hamna kitu chalii 😁😁Hakuna profesor tajiri duniani
Ukisoma sana uhitaji wa mali haupo tena
Yaani huwa wanaona kila kitu wamemaliza
Kadiri unavyozidi kusoma unakuwa muelewa wa jambo 1 na mengine yote unazidi kuwa mjinga.
Elimu haitaki biashara ila biashara inataka elimu ukishapata big capital
Wanashindania vitu vya kipumbavuWapo wanashindania kuzungumza "Engrish" ya Oxford ama Cambridge kutokea mitaa ya Goba Maghorofani🤣
Serikali Huwa haijengi viwanda Bali watu binafsi.Jengeni viwanda punguzeni mdomoHuyu naye ni mbumbu wa uchumi.
Tumuulize yeye serikali ya CCM imejenga viwanda vingapi, vyuo vingapi, kwa nini wanazuia mkulima wa kahawa asiuze Uganda wenye Bei nzuri.
Ukiona Dar, waliojenga uchumi siyo wazaramo.
Wawekezaji wanawekeza kulingana na mazingira mazuri yaliyoandaliwa na serikali
Utasikia anakuuliza: Una Masters ya nwinwi wowee?Wanashindania vitu vya kipumbavu
Meno ya temboKAGERA: "Kagera ni mkoa wenye biashara, una ardhi nzuri yenye rutuba, wasomi wa kutosha wakiwemo maprofesa 666, lakini ni mmoja wa mikoa yenye mapato madogo zaidi.
“Kila kitu mnacho kwa nini mapato ya mkoa huu yapo chini kuliko mikoa yote? amehoji Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana - Kagera, Desemba 11, 2023.
#HabarileoUPDATES
wewe umejenga vingapi?Serikali Huwa haijengi viwanda Bali watu binafsi.Jengeni viwanda punguzeni mdomo
Ninacho kiwanda Kimoja kidogowewe umejenga vingapi?
Umesahau visiwaniNdio maana napinga kabisa mfumo wa Utawala uliopo Kwa sababu hakuna maana wengine mvuje jasho harafu wafaidi wengine.
Mfano mzuri ni Mbeya,Ina GDP namba 3 Tanzania lakini Haina miundombinu inayofanana na jasho ambalo watu wake wanatoa,badala yake pesa zetu zinajengwa Dar,Dodoma,Arusha,Tanga na Mwanza.
Sasa kama hakuna uwekezaji wa kiserikali mapato yatapatikanaje? Hata hivyo hicho kinachopatikana kinatokana na juhudi binafsi za wana kagera! Hiyo hela inatoka moja kwa moja kutoka katika mikono na viganja vya wanakagera Sio kama Dar wachangiaji wa mapato ni matajiri wakubwa hili hali wengi makabwera!KAGERA: "Kagera ni mkoa wenye biashara, una ardhi nzuri yenye rutuba, wasomi wa kutosha wakiwemo maprofesa 666, lakini ni mmoja wa mikoa yenye mapato madogo zaidi.
“Kila kitu mnacho kwa nini mapato ya mkoa huu yapo chini kuliko mikoa yote? amehoji Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana - Kagera, Desemba 11, 2023.
#HabarileoUPDATES