Kinana: Kagera Maprofesa 666 ila mapato kiduchu

Kinana: Kagera Maprofesa 666 ila mapato kiduchu

KAGERA: "Kagera ni mkoa wenye biashara, una ardhi nzuri yenye rutuba, wasomi wa kutosha wakiwemo maprofesa 666, lakini ni mmoja wa mikoa yenye mapato madogo zaidi.

“Kila kitu mnacho kwa nini mapato ya mkoa huu yapo chini kuliko mikoa yote? amehoji Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana - Kagera, Desemba 11, 2023.


#HabarileoUPDATES
666 namba ya mpinga kristo.

Lakini najiuliza, maprofesa ni vyanzo vya mapato ya mkoa au?

Kinana anazeeka vibaya kwa kasi ya 7G
 
KAGERA: "Kagera ni mkoa wenye biashara, una ardhi nzuri yenye rutuba, wasomi wa kutosha wakiwemo maprofesa 666, lakini ni mmoja wa mikoa yenye mapato madogo zaidi.

“Kila kitu mnacho kwa nini mapato ya mkoa huu yapo chini kuliko mikoa yote? amehoji Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana - Kagera, Desemba 11, 2023.


#HabarileoUPDATES
Kwani usomi ndio huboresha uchumi? Huyu mzee vipi mbona anazeeka vibaya!
 
Maprofessa 666 ni kwa ajili ya Tanzania na si kagera. Nyie ndo mnatuharibia nchi kwa mawazo ya umimi.
 
Wanawaza kutega senene muda wote watatoa wapi hela [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom